imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Ile strain ya mwanzo ilikuwa sio hatari sana kama hii ya South AfricaMbona kwenye kampen mlikuwa hamvai barakoa Wala kuzingatii hayo masharti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile strain ya mwanzo ilikuwa sio hatari sana kama hii ya South AfricaMbona kwenye kampen mlikuwa hamvai barakoa Wala kuzingatii hayo masharti
Ila Kuna watu walikimbia bungeni kwa kuogopa Corona halafu wakafanya kampeni bila barakoa wala tahadhari yoyoteIle strain ya mwanzo ilikuwa sio hatari sana kama hii ya South Africa
Kwahiyo ww unavyotaka utangaziwe vya wengine vinakuhusu???Inakuhusu?
Kajisaidie ulaleKwahiyo ww unavyotaka utangaziwe vya wengine vinakuhusu???
Khofu yao ilikuwa ni baada ya Kifo cha NdassaIla Kuna watu walikimbia bungeni kwa kuogopa Corona halafu wakafanya kampeni bila barakoa Wala tahadhar you're.
Wazungu wanakufa kwasababu walipuuzia na wanaishi maisha marefuIla Kuna watu walikimbia bungeni kwa kuogopa Corona halafu wakafanya kampeni bila barakoa Wala tahadhar you're.
Ila mungu atusaidie tu Kama wazungu pamoja na tahadhari zote zile ila bado Wana kufa sisi tuna jipya gani ambalo wao hawajalifanya na jinsi walivyo makini ila bado linawachachafya. Kwa kweli mungu aingikie kati
Vipi kuhusu france, usa, Denmark au bas kenya any changes...
Kwa mama yetu unajisumbua tu hana muda wa kufuatilia huku mtandaoniView attachment 1734818
Bi Samia Suluhu Vaa Barakoa
We kisister una mihasira sanaa na shujaa wa Afrika hebu katunze ndoa yako, labda nawewe umeshiriki.Matanzania majinga sana ni wazi huyu mzee alikuw mgonjwa yakamsikiliza mgonjwa.
Hata kupendelea chato alikuwa anaumwa siyo yeye.ule ufanyaji kazi ilikuwa kesha kata net work...
Rais alikuwa mgonjwa mliongozwa na mgonjwa wa mwili na akili. Alikuwa halali yule kutwa kucha anahangaika na moyo. Ndo maana alikuwa na hasira mno.
dodoma mmeburuzwa tu
Urasi ni taasisi nduguKwa mama yetu unajisumbua tu hana muda wa kufuatilia huku mtandaoni
Ni kweli mkuu, Ila kwa hekima ya mama sidhani kama atakuja kuwasilikiza waganga njaa huku.Urasi ni taasisi ndugu
Atakaekufa ni yeye, sisi tunacholalamika ni gharama za kutembeza miili ya maraisi waliokufani kweli mkuu, Ila kwa hekima ya mama sidhani kama atakuja kuwasilikiza waganga njaa huku.
Hizo fedha si alizikusanya mwenyewe, acha zitumike maana alizikusanya kwaakili yake.Atakaekufa ni yeye, sisi tunacholalamika ni gharama za kutembeza miili ya maraisi waliokufa
Fedha za kodi tunakamuliwa sisi eti.
Kuna watu watakuja kujuta kwa yale wanayoyafanya, kwa nchi. Watakosa hadi pa kukimbilia hakika.Atakaekufa ni yeye, sisi tunacholalamika ni gharama za kutembeza miili ya maraisi waliokufa
Fedha za kodi tunakamuliwa sisi eti.
Afadhari Wamarekani wanatoa takwimu za maambukizi ya Covid-19,sasa huku tangu April mwaka jana,hatujatoa takwimu zozote kuhusiana na maambukizi ya Covid-19.Kwa hiyo tuendelee kusubiri mwezi wa ngapi ndio corona itatufagia? Tulibiwa tutadondoka kama kuku wewe kideri....muda hujafika tu?
Korona inafyeka wamarekani wenye chanjo na barakoa na social distance kuliko changanyikeni ya tz...
Nashauri wewe vaa barakoa