- Thread starter
- #41
Ishu ilianzia huko huko mjini London sisi tulishindwa wakatusaidia kuwajua kina Chenge waliosainishana mikataba hotelini.Nakumbuka kashfa ya Radar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu ilianzia huko huko mjini London sisi tulishindwa wakatusaidia kuwajua kina Chenge waliosainishana mikataba hotelini.Nakumbuka kashfa ya Radar
Usicheze na hayo mashirika yanaweza kukuua kwa simu yako (pager) ukiwa shambani mwanerumango.1. CIA - Shirika la kijasusi la Marekani.
2.Mossad - Shirika la kijasusi la Israel.
3. M16 - Shirika la kijasusi la Uingereza.
4. KGB - Shirika la kijasusi la Urusi.
5. ISI - Shirika la kijasusi la Pakstani.
Usijichanganye nayo pamoja na tofauti zao huwa yanabadilishana taarifa. Muulize Yericko Nyerere.
Hawasaidii kwa sababu wanacho kihitaji huwa wanakipata. Wazungu wanajua nchi ghasia zikizidi maslahi yao yatakuwa hatarini. Maneno yao ni ishara ya chombo kimeanza kwenda mrama.Ni wajinga tu,mbona huwa hawatusaidii kura zinapoibiwa wazi wazi
Mwizi yule unasema clean.JPM aliwatukana kwa sababu he was clean..
Kuna wakati fulani udadisi wangu ulinifanya nipate muda wa kusoma jinsi CIA, KGB na Mossad zilivyoanzishwa baada ya vita kuu ya kwanza na ya pili ya Dunia.Kwa speech ile tumewachokoza wenyewe.
Hapa duniani kuna mashirika makubwa ya kijasusi ambayo yakihitaji kitu au kumhitaji mtu popote pale hayashindwi.
1. CIA - Shirika la kijasusi la Marekani.
2.Mossad - Shirika la kijasusi la Israel.
3. M16 - Shirika la kijasusi la Uingereza.
4. KGB - Shirika la kijasusi la Urusi.
5. ISI - Shirika la kijasusi la Pakstani.
Usijichanganye nayo pamoja na tofauti zao huwa yanabadilishana taarifa. Muulize Yericko Nyerere.
Ishu ya tukio la Tigo - Serikali ya Tanzania - Lissu kuvuja ni tone tuu kati ya mengi yatakayo vuja ikiwa tutaendelea kuwachokoza, tusije kushangaa hata makubaliano ya kuuzwa kwa bandari kwa DP-World na kuuzwa kwa Loliondo kwa falme za kiarabu yatavuja kama kutakuwa na kesi zitakazofunguliwa, nani alihusika nani alipata nini kwa maslahi ya nani. Tuwe waangalifu na kile tunachoongea hasa kuwahusu hawa wazungu.
Cc. Mugabe na Zimbabwe.
Watu wanaiba na wwnaolinda nchi wako kimya mpaka mzungu atusaidieIshu ilianzia huko huko mjini London sisi tulishindwa wakatusaidia kuwajua kina Chenge waliosainishana mikataba hotelini.
Tuliwaonya wakati wa Magufuli mkatucheka tunawaambia tena wazungu sio wenzenu chekeni. Nyie mna kina Mafwele wenzenu wana Mossad.Hahahahaaaaaaa!
Dua za nyumbu bwana, zinashangaza na kuchekwsha wakati huo huo!!!!
Mungu Wabariki WazunguKwa speech ile tumewachokoza wenyewe.
Hapa duniani kuna mashirika makubwa ya kijasusi ambayo yakihitaji kitu au kumhitaji mtu popote pale hayashindwi.
1. CIA - Shirika la kijasusi la Marekani.
2.Mossad - Shirika la kijasusi la Israel.
3. M16 - Shirika la kijasusi la Uingereza.
4. KGB - Shirika la kijasusi la Urusi.
5. ISI - Shirika la kijasusi la Pakstani.
Usijichanganye nayo pamoja na tofauti zao huwa yanabadilishana taarifa. Muulize Yericko Nyerere.
Ishu ya tukio la Tigo - Serikali ya Tanzania - Lissu kuvuja ni tone tuu kati ya mengi yatakayo vuja ikiwa tutaendelea kuwachokoza, tusije kushangaa hata makubaliano ya kuuzwa kwa bandari kwa DP-World na kuuzwa kwa Loliondo kwa falme za kiarabu yatavuja kama kutakuwa na kesi zitakazofunguliwa, nani alihusika nani alipata nini kwa maslahi ya nani. Tuwe waangalifu na kile tunachoongea hasa kuwahusu hawa wazungu.
Cc. Mugabe na Zimbabwe.
CCM ina mizizi mirefu kwa kweli, hadi sasa wako kimya sana ingawaje nao wanatakiwa kutoa kauli- je serikali yao ni hatari kwa kuomba data na kuwasurubisha wao ipinga? nao waje wakanushe.Kwani London ni mbinguni bwashee?
Hapo London kuna TAWI la CCM na kuna miamba ina connection hatari 😂😂😂
Wewe unaamini Mbowe alifika Magomeni kwa Ujanja Ujanja wake? 🐼😃
Mafweke hafui dafu kwa hawa wazungu, wakimtaka hata yeye wanamdaka tu kama mwewe, kazi yake ni kuwaonea vifaranga...Tuliwaonya wakati wa Magufuli mkatucheka tunawaambia tena wazungu sio wenzenu chekeni. Nyie mna kina Mafwele wenzenu wana Mossad.
UKitaka kujua yanashirikiana fuatilia kesi za Julian Assange wa WikiLeaks, Bin Laden.Kuna wakati fulani udadisi wangu ulinifanya nipate muda wa kusoma jinsi CIA, KGB na Mossad zilivyoanzishwa baada ya vita kuu ya kwanza na ya pili ya Dunia.
Haya matatu (CIA,KGB na Mossad) ndo yenye hati miliki ya ujasusi kwa sasa Duniani na hayo mashirika mengine uloyataja yote yalianzishwa kwa kufuata misingi ya hayo matatu.
Na jambo la kushangaza ni kwamba nyuma ya pazia mashirika haya hushirikiana kama kawaida!
Na walokifanya Mossad Ijumaa ile pale Lebanon ndio yalihitimisha kwamba haya mashirika si kama mgambo wa mitaani.
Kuna mambo fulani wamefanya yamenitisha sana.
Hiyo nafahamu walishirikiana sana.UKitaka kujua yanashirikiana fuatilia kesi za Julian Assange wa WikiLeaks, Bin Laden.
Uyo Yericko Nyerere mnam-overate tu, hana maajabu yoyote kwenye anga za kijasusi. Kile kitabu chake tu ujasusi wa kidola ni copy and paste ya maandiko ya habibu Anga, zamani alikua anajiita the bold hapa jfKwa speech ile tumewachokoza wenyewe.
Hapa duniani kuna mashirika makubwa ya kijasusi ambayo yakihitaji kitu au kumhitaji mtu popote pale hayashindwi.
1. CIA - Shirika la kijasusi la Marekani.
2.Mossad - Shirika la kijasusi la Israel.
3. M16 - Shirika la kijasusi la Uingereza.
4. KGB - Shirika la kijasusi la Urusi.
5. ISI - Shirika la kijasusi la Pakstani.
Usijichanganye nayo pamoja na tofauti zao huwa yanabadilishana taarifa. Muulize Yericko Nyerere.
Ishu ya tukio la Tigo - Serikali ya Tanzania - Lissu kuvuja ni tone tuu kati ya mengi yatakayo vuja ikiwa tutaendelea kuwachokoza, tusije kushangaa hata makubaliano ya kuuzwa kwa bandari kwa DP-World na kuuzwa kwa Loliondo kwa falme za kiarabu yatavuja kama kutakuwa na kesi zitakazofunguliwa, nani alihusika nani alipata nini kwa maslahi ya nani. Tuwe waangalifu na kile tunachoongea hasa kuwahusu hawa wazungu.
Cc. Mugabe na Zimbabwe.
Unataka kusaidiwa wewe ukiwa umefanya jitihada gani?Ni wajinga tu,mbona huwa hawatusaidii kura zinapoibiwa wazi wazi
Ameyataka mwenyewe yaliyofanyika sirini sasa yatahubiriwa juu ya majukwaa hakuna namna dunia ijueHaya ni mambo ya Ndani 😀
mbona kwenye listi sijawaona TISSKwa speech ile tumewachokoza wenyewe.
Hapa duniani kuna mashirika makubwa ya kijasusi ambayo yakihitaji kitu au kumhitaji mtu popote pale hayashindwi.
1. CIA - Shirika la kijasusi la Marekani.
2.Mossad - Shirika la kijasusi la Israel.
3. M16 - Shirika la kijasusi la Uingereza.
4. KGB - Shirika la kijasusi la Urusi.
5. ISI - Shirika la kijasusi la Pakstani.
Usijichanganye nayo pamoja na tofauti zao huwa yanabadilishana taarifa. Muulize Yericko Nyerere.
Ishu ya tukio la Tigo - Serikali ya Tanzania - Lissu kuvuja ni tone tuu kati ya mengi yatakayo vuja ikiwa tutaendelea kuwachokoza, tusije kushangaa hata makubaliano ya kuuzwa kwa bandari kwa DP-World na kuuzwa kwa Loliondo kwa falme za kiarabu yatavuja kama kutakuwa na kesi zitakazofunguliwa, nani alihusika nani alipata nini kwa maslahi ya nani. Tuwe waangalifu na kile tunachoongea hasa kuwahusu hawa wazungu.
Cc. Mugabe na Zimbabwe.
Zile jitihada za kusoma, kunakili jambo fulani na kuli hariri kunampa maarifa na uelewa wa hilo jambo kuliko mtu asiyesoma vitabu.Uyo Yericko Nyerere mnam-overate tu, hana maajabu yoyote kwenye anga za kijasusi. Kile kitabu chake tu ujasusi wa kidola ni copy and paste ya maandiko ya habibu Anga, zamani alikua anajiita the bold hapa jf
TISS hii ya leo iliyojaza vibaka toka Uvccm?mbona kwenye listi sijawaona TISS
Na hiyo iko hivyo kwa watu wengi, mkizinguana tu anafunua mambo yako ya nyuma yenye hisia mbaya kama anayajua... Lakini hiyo si jambo zuri kwa kweli.JPM aliwatukana kwa sababu he was clean..
Sasa huyu anawatukana meanwhile ana makandokando kila mahali..
It is too late kufuata nyayo za mwamba..