Tumeyataka wenyewe, ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianze kurusha mawe

Tumeyataka wenyewe, ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianze kurusha mawe

Tuliwaonya wakati wa Magufuli mkatucheka tunawaambia tena wazungu sio wenzenu chekeni. Nyie mna kina Mafwele wenzenu wana Mossad.
Kamwe nyumbu hawezi kufikiri sawasawa. Mliwazalo au mliombalo halipo. Kauli za kwenye majukwaa ni za kawaida tu hizo na Wana mikutano na maeneo yao wanakutana na kufanya 'reconciliation'. We kalagha bao!!
 
JPM aliwatukana kwa sababu he was clean..

Sasa huyu anawatukana meanwhile ana makandokando kila mahali..

It is too late kufuata nyayo za mwamba..
Magu kivipi alikuwa clean wakati huo mvujo unatokana na yale yaliyifanywa kipindi cha utawala wakr?
 
Kamwe nyumbu hawezi kufikiri sawasawa. Mliwazalo au mliombalo halipo. Kauli za kwenye majukwaa ni za kawaida tu hizo na Wana mikutano na maeneo yao wanakutana na kufanya 'reconciliation'. We kalagha bao!!
Sawa
 
Msalimie Mafwele mwambie watanzania tupo zaidi ya milioni 60 hatotumaliza kabla ya yeye kufa.
Mafwele haangaiki na watanzania, anahangaika na vinabo flani hivi vya mbowe na lissu........,havifiki hata 100.
 
Mungu Wabariki Wazungu
Hahaaa Samia slams US and Western countries ENOUGH is ENOUGH.

hq720.jpg
 
Kwa speech ile tumewachokoza wenyewe.

Hapa duniani kuna mashirika makubwa ya kijasusi ambayo yakihitaji kitu au kumhitaji mtu popote pale hayashindwi.

1. CIA - Shirika la kijasusi la Marekani.
2.Mossad - Shirika la kijasusi la Israel.
3. M16 - Shirika la kijasusi la Uingereza.
4. KGB - Shirika la kijasusi la Urusi.
5. ISI - Shirika la kijasusi la Pakstani.
Usijichanganye nayo pamoja na tofauti zao huwa yanabadilishana taarifa. Muulize Yericko Nyerere.

Ishu ya tukio la Tigo - Serikali ya Tanzania - Lissu kuvuja ni tone tuu kati ya mengi yatakayo vuja ikiwa tutaendelea kuwachokoza, tusije kushangaa hata makubaliano ya kuuzwa kwa bandari kwa DP-World na kuuzwa kwa Loliondo kwa falme za kiarabu yatavuja kama kutakuwa na kesi zitakazofunguliwa, nani alihusika nani alipata nini kwa maslahi ya nani. Tuwe waangalifu na kile tunachoongea hasa kuwahusu hawa wazungu.

Cc. Mugabe na Zimbabwe.
Naona mnawatisha eatawala.
 
Kosa kubwa la kibibi ni kumuweka muuaji Bashite kwenye sistim
Tulionya kipindi cha jiwe

Kama Rais Magufuli anamtumia Makonda kulipiza kisasi anakosea sana​

 
Back
Top Bottom