Tumeyataka wenyewe, ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianze kurusha mawe

Tuliwaonya wakati wa Magufuli mkatucheka tunawaambia tena wazungu sio wenzenu chekeni. Nyie mna kina Mafwele wenzenu wana Mossad.
Kamwe nyumbu hawezi kufikiri sawasawa. Mliwazalo au mliombalo halipo. Kauli za kwenye majukwaa ni za kawaida tu hizo na Wana mikutano na maeneo yao wanakutana na kufanya 'reconciliation'. We kalagha bao!!
 
JPM aliwatukana kwa sababu he was clean..

Sasa huyu anawatukana meanwhile ana makandokando kila mahali..

It is too late kufuata nyayo za mwamba..
Magu kivipi alikuwa clean wakati huo mvujo unatokana na yale yaliyifanywa kipindi cha utawala wakr?
 
Kamwe nyumbu hawezi kufikiri sawasawa. Mliwazalo au mliombalo halipo. Kauli za kwenye majukwaa ni za kawaida tu hizo na Wana mikutano na maeneo yao wanakutana na kufanya 'reconciliation'. We kalagha bao!!
Sawa
 
Msalimie Mafwele mwambie watanzania tupo zaidi ya milioni 60 hatotumaliza kabla ya yeye kufa.
Mafwele haangaiki na watanzania, anahangaika na vinabo flani hivi vya mbowe na lissu........,havifiki hata 100.
 
Naona mnawatisha eatawala.
 
Kosa kubwa la kibibi ni kumuweka muuaji Bashite kwenye sistim
Tulionya kipindi cha jiwe

Kama Rais Magufuli anamtumia Makonda kulipiza kisasi anakosea sana​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…