Hutaki?Kizembe zembe huu uzi unaweza kufika mbali kinyama
Ahaaa tupo wengiNimekuita kwa siri nikwambie ukwel tu, ebu jaribu na upande wa pili
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kizembe zembe huu uzi unaweza kufika mbali kinyama
Hebu weka yako kwanza leo iwe zamu yangu kuwa na wivu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Weka status yako Jojo nione wivu miye kama kawaida yangu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Namna Gani Mchumba, Miss youHebu weka yako kwanza leo iwe zamu yangu kuwa na wivu