Tumia lugha ya Hospitali Kuelezea Mahusiano yako ya Kimapenzi kwa sasa.

Tumia lugha ya Hospitali Kuelezea Mahusiano yako ya Kimapenzi kwa sasa.

🤣🙌 Kwahyo umevembewa na mapenzi 😆 au ni yale mayai tango na maharagwe! 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸 penzi limenivimbia
 
M
Mimi:👉👉 ''Jana alikula vizuri Kabisa na Akacheka na sisi pale,
Ila Ya Mungu mengi jamani"

Also👇👇
Mimi:👉👉 ''Tunajaribu Kila Liwezekanalo''


Status yako na mpenzi wako ipoje kwa sasa???
Twende kazi.
Mgonjwa wenu atachomwa sindano nane kweny makalio yote mawili kwa siku, tutampa dawa za usingizi na kila akizinduka tutamdunga sindano tatu za alale zaid
 
Kula vizuri na zingatia maji mara Kwa mara hali hii itapotea kadri unavyozingatia niliyosema
 
Ngoja tuwaandikie rufaa muende hospitali kubwa zenye vipimo vyote mtachagua kcmc au muhimbili
 
Ngoja tumbadilishie dawa za maumivu huku tukisubiri jumatano anapopita daktari bingwa tuone atashauri nini
 
Mimi:👉👉 ''Jana alikula vizuri Kabisa na Akacheka na sisi pale,
Ila Ya Mungu mengi jamani"

Also👇👇
Mimi:👉👉 ''Tunajaribu Kila Liwezekanalo''


Status yako na mpenzi wako ipoje kwa sasa???
Twende kazi.
Tunasubiri vipimo vya mirembe na DNA
 
Back
Top Bottom