Tumia pesa yako ndogo watu wakufanyie kazi

Tumia pesa yako ndogo watu wakufanyie kazi

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Inawezekana una kaela kadogo; labda umepata kama mshahara, au kuuza kitu n.k, na ungependa pesa yako ikuzalishie na isipotee.

Unaweza ukawekeza kwenye haya makundi:-
  • Wauza mishikaki
  • Wauza matunda
  • Mama ntilie
Utaanzaje anzaje:-
  • Tembelea hayo makundi hapo juu
  • Tathmini mauzo yao kwa siku
  • Kwa wale wenye mauzo mazuri, ingia nao makubaliano ya kuongeza 'stock' huku mkigawana faida 50/50
  • Usiwape fedha, we wapelekee mzigo
  • Kama utawapata wengi, na faida pia itakuwa kubwa.
  • Kwa namna moja ama nyingine, unakuwa umemuajiri bila yeye kujua.
 
Utaanzaje anzaje:-
  • Tembelea hayo makundi hapo juu
  • Tathmini mauzo yao kwa siku
  • Kwa wale wenye mauzo mazuri, ingia nao makubaliano ya kuongeza 'stock' huku mkigawana faida 50/50
  • Usiwape fedha, we wapelekee mzigo
  • Kama utawapata wengi, na faida pia itakuwa kubwa.
  • Kwa namna moja ama nyingine, unakuwa umemuajiri bila yeye kujua.
🤣utakuwa unashinda na kulala nao
 
Inawezekana una kaela kadogo; labda umepata kama mshahara, au kuuza kitu n.k, na ungependa pesa yako ikuzalishie na isipotee.

Unaweza ukawekeza kwenye haya makundi:-
  • Wauza mishikaki
  • Wauza matunda
  • Mama ntilie
Utaanzaje anzaje:-
  • Tembelea hayo makundi hapo juu
  • Tathmini mauzo yao kwa siku
  • Kwa wale wenye mauzo mazuri, ingia nao makubaliano ya kuongeza 'stock' huku mkigawana faida 50/50
  • Usiwape fedha, we wapelekee mzigo
  • Kama utawapata wengi, na faida pia itakuwa kubwa.
  • Kwa namna moja ama nyingine, unakuwa umemuajiri bila yeye kujua.
Kwa 50/50 utakua uonevu. Naushia hpo
 
Back
Top Bottom