Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Uko sahihiNadhani ndiyo huo wali na maharagwe mkuu ,hakuna kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihiNadhani ndiyo huo wali na maharagwe mkuu ,hakuna kingine
Kila siku jioni unapitia hesabuPesa ya mauzo ya matunda na mishikaki yako zitatumika kulipia marejesho ya vikundi kwahiyo utasubiria sana pesa mpaka miguu iingie ndani
😄😄😄😄😄😄😄😄 Duh umeua kabisa mkuu.Nadhani ndiyo huo wali na maharagwe mkuu ,hakuna kingine
Inabidi pale mwanzoni mwa makubaliano, mambo myaweke sawaUaminifu ni F mkuu.
Na kibaya zaidi pesa haijaandikwa kua hii ni ya boss hii ni ya nyumbani hii ni ya mtaji, ila mtumiaji ndo mpangaji wa wapi pesa yake iende!!.
Kwahiyo usijekupigwa na butwaa kuambiwa mama alikua mgonjwa, mtoto kalazwa n.k
Nadhani kuandikishana mikataba mbele ya vyombo vya sheria kabisa.Inabidi pale mwanzoni mwa makubaliano, mambo myaweke sawa
Kuweka bank ni safe ila kwa uchumi huu wa Tanzania vitu vinavopanda bei hela inazidi kushuka thamani ..so kivyovyote ni muhimu kuwekezaUaminifu ni zero siku hizi, Ukifanya hivyo unajitafutia tu Stress, Bora pesa yako weka Bank tu aise
Kwa nini mkuuAcha nicheke kwanza