Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Unaweza kuanza na wachache kwanza, kwa kuweka hela kidogo ili kupima uaminifuUaminifu ni zero siku hizi, Ukifanya hivyo unajitafutia tu Stress, Bora pesa yako weka Bank tu aise
π€£utakuwa unashinda na kulala naoUtaanzaje anzaje:-
- Tembelea hayo makundi hapo juu
- Tathmini mauzo yao kwa siku
- Kwa wale wenye mauzo mazuri, ingia nao makubaliano ya kuongeza 'stock' huku mkigawana faida 50/50
- Usiwape fedha, we wapelekee mzigo
- Kama utawapata wengi, na faida pia itakuwa kubwa.
- Kwa namna moja ama nyingine, unakuwa umemuajiri bila yeye kujua.
Kwa nini mkuuAmka usijejikojolea ndotoni
Ingia mzigoni; uoga wako ndio umasikini wakoDaaah ndio mwana jf kashakuja tena kutushauri. Na haka kadogo tuwape watu watufanyie kazi.. daah ndio kanaondoka hivo.
Ukiogopa kuibiwa huwezi kufanikiwa; hata huko maofisini na viwandani wanaibiwaπ€£utakuwa unashinda na kulala nao
Ukimwagilia moyo hairudi kabisaMotivational speakers mmeshaanza Mambo yenu tena,hio Bora ukamwagilie Moyo tu.
Angalau hata utajua uli-invest kwny kiwanda Cha kuchakata mkojo pale bar mkuu.Ukimwagilia moyo hairudi kabisa
Kama bank zinakopesha; kwa nini wewe usikopeshe 'stock'?Angalau hata utajua uli-invest kwny kiwanda Cha kuchakata mkojo pale bar mkuu.
Kwa 50/50 utakua uonevu. Naushia hpoInawezekana una kaela kadogo; labda umepata kama mshahara, au kuuza kitu n.k, na ungependa pesa yako ikuzalishie na isipotee.
Unaweza ukawekeza kwenye haya makundi:-
Utaanzaje anzaje:-
- Wauza mishikaki
- Wauza matunda
- Mama ntilie
- Tembelea hayo makundi hapo juu
- Tathmini mauzo yao kwa siku
- Kwa wale wenye mauzo mazuri, ingia nao makubaliano ya kuongeza 'stock' huku mkigawana faida 50/50
- Usiwape fedha, we wapelekee mzigo
- Kama utawapata wengi, na faida pia itakuwa kubwa.
- Kwa namna moja ama nyingine, unakuwa umemuajiri bila yeye kujua.
Hii itakusaidia ili ajitume zaidiKwa 50/50 utakua uonevu. Naushia hpo
ππ Na collateral ili nimkopeshe itakua Ni Nini mkuu?Kama bank zinakopesha; kwa nini wewe usikopeshe 'stock'?
Nadhani ndiyo huo wali na maharagwe mkuu ,hakuna kingineππ Na collateral ili nimkopeshe itakua Ni Nini mkuu?
Unamfanya awe partner kwenye wazo lakoππ Na collateral ili nimkopeshe itakua Ni Nini mkuu?
Ununuzi unalipa kuliko kulimaAnayetaka tulime ufuta msimu ujao Ani PM