Tumieni VPN kama internet iko slow sana

Hii kweli Yani nafungua meridian bet ili niweke mkeka ,mambo yanagoma Yani?
 
Itendee haki nafsi yako kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi kwa mabaya yote uliyotendewa na Utawala huu dhalimu.Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
 

They are free

(i) Android phone

(ii) Apple phone
 
Awawezi mind control kwa zama hizi za digital ilifaa zama za Giza enzi za Nyerere aliweza sababu zilikuwa Ni zama za Giza
 
umefanyaje?

(i) Android phone

(ii) Apple phone
 
Tuambie tunaiptaje maana proton inazingua sms ya kuverify

Tumia UFO VPN

(i) Android phone

(ii) Apple phone
 
Unalipia shngap?

Tumia UFO VPN, ni free

(i) Android phone

(ii) Apple phone
 
Sasa Maria Sarungi, Kigogo2014, Farma Karume na Goodluck Haule wataishi vipi bila "Twira"?
Kigogo yupo amejaa tele, Hata Sasa hivi amepost .
Yupo tele Kama mimi nipo singapuri Sasa hv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…