Tumpe Faraja Rais Samia kwa namna anavyofanya kazi bila kupumzika wala kukaa kwa ajili yetu Watanzania

Tumpe Faraja Rais Samia kwa namna anavyofanya kazi bila kupumzika wala kukaa kwa ajili yetu Watanzania

Pamoja na kumpa faraja, tafadhari wasaidizi wa Rais Samia,Tunaomba Rais wetu apumzike tunampenda..

Rais amesafiri San toka Mbeya tena kesho yuko ziarani na leo mwenyewe kasema akitoka Tanga anaenda DRC..

Alikuwa anawaambia Tarura wachape Kazi bila kuchoka maana na yeye hachoki anakomaa ila pamoja na kwamba anaweza kuwa anawaambia yuko fit ila ni vyema apate mapumziko..

Huku Mali wamempumzisha Waziri wao Mkuu 👇
Kabisa mkuu yaani mh Rais anafanya kazi kubwa Sana bila kupata muda wa kupumzika hata kidogo, Naomba ratiba ya mh Rais iangaliwe vyema ili Rais wetu awe anapata nafasi ya kupumzika kidogo ziarani,

Kupumzika nakozungimzia Ni kule Rais anakaa kidogo Ikulu, najuwa Rais wetu anatamani aonane na watanzania muda wote ili kuwatumikia kwa kuwasikiliza na kuwajibu maswali yao, kwa kutoa suluhisho penye utata
 
Tunaomba apate muda wa kupumzika bado tunampenda Raisi wetu
 
Ndugu zangu Mh Rais mama Samia suluhu Hassani Ni mwanadamu mwenye damu na moyo na mwili wa nyama Kama Tulivyo sisi wengine.

Nikawaida kuona hata watumishi wa umma ikikaribia wikend wanafurahi ili wapate muda wa kupumzisha akili na hata kupata muda wa kukaa na Familia zao, kutokanaa na kazi za wiki nzima zinazowaweka bize na mbali na familia zao.

Ndugu zangu pamoja na kuwa mh Rais wetu Ni mwanadamu, Mama mwenye familia lakini ameamua kutumia nguvu zake zote na muda wake wote kututumikia watanzania kwa utumishi ulio tukuka.

Hana muda wakupumzika, Familia yake kwa Sasa Ni watanzania, watoto wake kwa Sasa Ni watanzania, wajukuu zake kwa Sasa Ni watanzania, Mawazo yake kwa Sasa yapo kwa watanzania tu.

Muda wote ukisikiliza vyombo vya habari au kupita vibanda umiza na kuchungulia TV unaona mh Rais wetu yupo kugusa maisha ya watu, yupo kutatua matatizo na kero, yupo kuzindua miradi ya maendeleo, yupo kutoa matumaini kwa waliokata tamaa, yupo kutoa majibu kwa maswali ya wananchi, yupo kutoa maelekezo kwa watendaji wake, yupo kuhoji juu ya matumizi ya Fedha za umma, yupo kuunganisha watu, yupo kuleta umoja kwa watumishi ili wawatumikie watu bila kiburi Wala majivuno, yupo kuwakumbusha watumishi kuwa vyeo Ni dhamana.

Ni mama kwa maama ya mama kweli kwelii, mlezi Bora ambaye anahitaji kuona Familia yake hii ya watanzania inaboreka siku Hadi siku.

Amedhamilia kuijenga Tanzania iliyo Bora ambayo kila mtu atafaidika na matunda yake, Anataka kuona keki ya Taifa inamfikia kila mtu, Hataki kuona Kuna watu au kundi linabaki nyuma na kujiona kutengwa, anataka kila mtu ajisikie fahari kuzaliwa katika nchi hii.

Anataka kuona mtu akienda hospitali anahudumiwa bila ubaguzi au Hali yake ya kiuchumi, Anataka kuona mwanafunzi aliyemaliza kidato Cha nne au sita anaendelea mbele bila kukwama au kukwamishwa na uchumi wa nyumbani, Ndio maana unaona ameweka Elimu bure Hadi kidato Cha sita na kuongeza bajeti katik Elimu ili wengi wapate mikopo vyuo vikuu.

Ndugu zangu kwa kazi hii kubwa aifanyayo mh Rais wetu tuna kila sababu ya Kuendelea kumtia moyo mh Rais wetu, Tuendelee kumwombea Rais wetu ili mwenyezi Mungu aendelee kumlinda na kumpigania wakati wote.

Uongozi unatoka kwa mungu, hivyo kwa wale wasaidizi wa mh Rais na watendaji wote mliobahatika kupata Nafasi ya kuwa serikalini, Nawaombeni mfanye kazi kwa uadilifu na weledi kuwatumikia watanzania, sisi watanzania hasa sisi vijana tunawategemea Sana mtusaidie.

Muwe wanyenyekevu wenye busara hekima na upendo kwetu, mtangulizeni mwenyezi Mungu katika kazi zenu, Tendeni haki kwa wote Kama anavyo sisitiza Rais wetu, Fanyeni kazi kwa bidii na kujituma kwa kuacha Alama njema hata Kama mtahamishwa kesho au kustaafu.

Ni Bora jina jema kuliko Mali nyingi, hivyo jengeni majina mema kwa kufanya kazi vyema kwa kugusa maisha ya watanzania.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaungana na mamillion ya watanzania kumuombea mh Rais wetu katika majukumu yake ya Urais.
Si aliiomba kazi mwenyewe!! Faraja ya nini wakati unamlipa kwa kazi aliyoomba, hatumiki kwa hisani, ni wajibu wake, tunahitaji afanye zaidi ya hapo, mafaili yazunguke kitanda chake chote
 
Nyie chawa wa sasa bado sana kufikia level za chawa wa JPM.Hadi mje kufikia level za kina BIA YETU,KAWE ALUMNi huyo boss wenu atakua ameshaondoka madarakani.Wenzako walikua wanawekaga namba ya simu wewe vip au umesahau?.
 
Kwani anafanya kazi Bure?si tunamlipa mshahara?no tumempa na mamlaka ya kujipangia mshahara!

Anacho Fanya ni kuzurura tu,na kutumia pesa yetu vibaya!

Mosi,msafara wake unatumia magari Mengi na watendaji wengi wanaolipwa posho hapa hakuna tija, Raisi anaenda kuzindua chuo Cha uamiaji Tanga,sio kipya kipo muda mrefu,sasa anazindua nini!.

Pili kutoka Dom kwenda kuzindua barabara ya km 147 chunya!serious!
Waziri yupo,RC yupo,DC yupo,hizi ni safari zisizo na tija,zinatumia pesa Bure.

Anacho kijua kikubwa ni kuteua tu,hata majambazi yanapewa ulaji,Cha msingi yawe upande wa ccm.

Nchi Haina Raha, ukiwa mpinzani ni kusumbuliwa tu, Katiba mpya ije,Tume huru ije,tuwe na mfumo wa uchaguzi kama wa Kenya,hapo ndio atajua watz wapo upande gani.

Mwisho mwambie Raisi wako, aweke wazi mapato na matumizi ya filamu ya royal tour,nani alichanga na kiasi gani,na atuambie hizi ziara zake anatumia pesa kiasi gani.

Unachoma mafuta na pesa Kiasi Cha milioni 200,unaenda kuzindua barabara ya milioni 300!!wizi mtupu
Hamjulikani mnataka nini akitoka nje kelele akizungukia wananchi mikoani kelele kweli wewe ni 🚮🚮
 
Usawa huu wa vita ya Ukraine bado kuna watu mna mawazo namna hii? Matumizi mabaya ya rasilimali akili
 
Bei ya mafuta unayoiona kwa Sasa inatokana na kupanda katika soko la Dunia, lililochangiwa kwa kiasi kikubwa na Vit
Hatuhitaji Raisi wakupigiwa promo

Tunahitaji creative ,innovative, inventive
Person.

Akishakuwa na hizo sifa hapo juu wala haitaji Chawa kumpigia promo .


Aishi kama MKAPA leo Mkapa hayupo lkn Legacy yake inaishii.

Tunaona TRA,NSSF NA MASHIRIKA MENGI YA UMMA AMBAYO YAMEKUWA MSAADA KWA TAIFA HILI.

CHECK JPM vitu alivyofanya vinazungumzaa.


Wala huyu Mama hajajitahidi chochote.

Zaidi sasa ivi mnatumia nguvu ooo hadi 30
Wala hatuna habari hizo

Nina uhakika UCHAGUZI UKIWA HURU NA HAKI

HACHOMOKI YEYE NA YULE WA KULE SIJUI ZANZIBAR

NIMEMSISKIA JANA HUYO MPEMBA SHAKA ANASEMA HIVYO.




Usimuambie habari ya usalama wa raia na mali zao maana ni swala la kikatiba


Leo habari ya kazi kwa vijana wetuu tunapata kwasababu mtoto wa shangazi,sijui shemeji,sijui mtoto wa dada.








Bei ya mafuta unayoiona kwa Sasa inatokana na kupanda katika soko la Dunia, lililochangiwa kwa kiasi kikubwa na Vitaa
 
Ndugu zangu Mh Rais mama Samia suluhu Hassani Ni mwanadamu mwenye damu na moyo na mwili wa nyama Kama Tulivyo sisi wengine.

Nikawaida kuona hata watumishi wa umma ikikaribia wikend wanafurahi ili wapate muda wa kupumzisha akili na hata kupata muda wa kukaa na Familia zao, kutokanaa na kazi za wiki nzima zinazowaweka bize na mbali na familia zao.

Ndugu zangu pamoja na kuwa mh Rais wetu Ni mwanadamu, Mama mwenye familia lakini ameamua kutumia nguvu zake zote na muda wake wote kututumikia watanzania kwa utumishi ulio tukuka.

Hana muda wakupumzika, Familia yake kwa Sasa Ni watanzania, watoto wake kwa Sasa Ni watanzania, wajukuu zake kwa Sasa Ni watanzania, Mawazo yake kwa Sasa yapo kwa watanzania tu.

Muda wote ukisikiliza vyombo vya habari au kupita vibanda umiza na kuchungulia TV unaona mh Rais wetu yupo kugusa maisha ya watu, yupo kutatua matatizo na kero, yupo kuzindua miradi ya maendeleo, yupo kutoa matumaini kwa waliokata tamaa, yupo kutoa majibu kwa maswali ya wananchi, yupo kutoa maelekezo kwa watendaji wake, yupo kuhoji juu ya matumizi ya Fedha za umma, yupo kuunganisha watu, yupo kuleta umoja kwa watumishi ili wawatumikie watu bila kiburi Wala majivuno, yupo kuwakumbusha watumishi kuwa vyeo Ni dhamana.

Ni mama kwa maama ya mama kweli kwelii, mlezi Bora ambaye anahitaji kuona Familia yake hii ya watanzania inaboreka siku Hadi siku.

Amedhamilia kuijenga Tanzania iliyo Bora ambayo kila mtu atafaidika na matunda yake, Anataka kuona keki ya Taifa inamfikia kila mtu, Hataki kuona Kuna watu au kundi linabaki nyuma na kujiona kutengwa, anataka kila mtu ajisikie fahari kuzaliwa katika nchi hii.

Anataka kuona mtu akienda hospitali anahudumiwa bila ubaguzi au Hali yake ya kiuchumi, Anataka kuona mwanafunzi aliyemaliza kidato Cha nne au sita anaendelea mbele bila kukwama au kukwamishwa na uchumi wa nyumbani, Ndio maana unaona ameweka Elimu bure Hadi kidato Cha sita na kuongeza bajeti katik Elimu ili wengi wapate mikopo vyuo vikuu.

Ndugu zangu kwa kazi hii kubwa aifanyayo mh Rais wetu tuna kila sababu ya Kuendelea kumtia moyo mh Rais wetu, Tuendelee kumwombea Rais wetu ili mwenyezi Mungu aendelee kumlinda na kumpigania wakati wote.

Uongozi unatoka kwa mungu, hivyo kwa wale wasaidizi wa mh Rais na watendaji wote mliobahatika kupata Nafasi ya kuwa serikalini, Nawaombeni mfanye kazi kwa uadilifu na weledi kuwatumikia watanzania, sisi watanzania hasa sisi vijana tunawategemea Sana mtusaidie.

Muwe wanyenyekevu wenye busara hekima na upendo kwetu, mtangulizeni mwenyezi Mungu katika kazi zenu, Tendeni haki kwa wote Kama anavyo sisitiza Rais wetu, Fanyeni kazi kwa bidii na kujituma kwa kuacha Alama njema hata Kama mtahamishwa kesho au kustaafu.

Ni Bora jina jema kuliko Mali nyingi, hivyo jengeni majina mema kwa kufanya kazi vyema kwa kugusa maisha ya watanzania.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaungana na mamillion ya watanzania kumuombea mh Rais wetu katika majukumu yake ya Urais.
Pamoja na kuzunguka kwake na maisha yamezid kuwa magumu bora apumzike na mumewe tu.
 
Faraja peke atakayopata kutoka kwangu ni kimueleza ukweli kwamba ANADANGANYWA vibaya mnoo na wasaidizi wake aliowateua.

Ukweli ni huu. Kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele ndivyo anavyozidi kufutika kwenye mioyo ya wapigakura wengi. Sababu ni hizi
1. Hajali hali mbaya ya kiuchumi ya wananchi
2. Nyongeza ya mishahara iliyojaa ghiliba nyingi
3. Kutoukubali ukweli kwamba vita vya Ukraine siyo sababu kuu ya inflations
4. Wateule wake wanatoa matamko na hakuna tija yeyote
5. Kuendelea kuuminya upinzani hususan kutoruhusumikutano yao
6. Kuendelea kupambana na marehemu bafala ya kuyarekebisha yale anayoyaona yalikosewa
7. Tozozisizowianana vipato vya wananchi na visivyozingatia mzunguko wa fedha

mwambie mama kuwa hali ni mbaya na aeneelee kushikilia hapo hapo ili CCM iendelee kuporomoka kwa kasi ya jiwe kwenye maji
Ndugu zangu Mh Rais mama Samia suluhu Hassani Ni mwanadamu mwenye damu na moyo na mwili wa nyama Kama Tulivyo sisi wengine.

Nikawaida kuona hata watumishi wa umma ikikaribia wikend wanafurahi ili wapate muda wa kupumzisha akili na hata kupata muda wa kukaa na Familia zao, kutokanaa na kazi za wiki nzima zinazowaweka bize na mbali na familia zao.

Ndugu zangu pamoja na kuwa mh Rais wetu Ni mwanadamu, Mama mwenye familia lakini ameamua kutumia nguvu zake zote na muda wake wote kututumikia watanzania kwa utumishi ulio tukuka.

Hana muda wakupumzika, Familia yake kwa Sasa Ni watanzania, watoto wake kwa Sasa Ni watanzania, wajukuu zake kwa Sasa Ni watanzania, Mawazo yake kwa Sasa yapo kwa watanzania tu.

Muda wote ukisikiliza vyombo vya habari au kupita vibanda umiza na kuchungulia TV unaona mh Rais wetu yupo kugusa maisha ya watu, yupo kutatua matatizo na kero, yupo kuzindua miradi ya maendeleo, yupo kutoa matumaini kwa waliokata tamaa, yupo kutoa majibu kwa maswali ya wananchi, yupo kutoa maelekezo kwa watendaji wake, yupo kuhoji juu ya matumizi ya Fedha za umma, yupo kuunganisha watu, yupo kuleta umoja kwa watumishi ili wawatumikie watu bila kiburi Wala majivuno, yupo kuwakumbusha watumishi kuwa vyeo Ni dhamana.

Ni mama kwa maama ya mama kweli kwelii, mlezi Bora ambaye anahitaji kuona Familia yake hii ya watanzania inaboreka siku Hadi siku.

Amedhamilia kuijenga Tanzania iliyo Bora ambayo kila mtu atafaidika na matunda yake, Anataka kuona keki ya Taifa inamfikia kila mtu, Hataki kuona Kuna watu au kundi linabaki nyuma na kujiona kutengwa, anataka kila mtu ajisikie fahari kuzaliwa katika nchi hii.

Anataka kuona mtu akienda hospitali anahudumiwa bila ubaguzi au Hali yake ya kiuchumi, Anataka kuona mwanafunzi aliyemaliza kidato Cha nne au sita anaendelea mbele bila kukwama au kukwamishwa na uchumi wa nyumbani, Ndio maana unaona ameweka Elimu bure Hadi kidato Cha sita na kuongeza bajeti katik Elimu ili wengi wapate mikopo vyuo vikuu.

Ndugu zangu kwa kazi hii kubwa aifanyayo mh Rais wetu tuna kila sababu ya Kuendelea kumtia moyo mh Rais wetu, Tuendelee kumwombea Rais wetu ili mwenyezi Mungu aendelee kumlinda na kumpigania wakati wote.

Uongozi unatoka kwa mungu, hivyo kwa wale wasaidizi wa mh Rais na watendaji wote mliobahatika kupata Nafasi ya kuwa serikalini, Nawaombeni mfanye kazi kwa uadilifu na weledi kuwatumikia watanzania, sisi watanzania hasa sisi vijana tunawategemea Sana mtusaidie.

Muwe wanyenyekevu wenye busara hekima na upendo kwetu, mtangulizeni mwenyezi Mungu katika kazi zenu, Tendeni haki kwa wote Kama anavyo sisitiza Rais wetu, Fanyeni kazi kwa bidii na kujituma kwa kuacha Alama njema hata Kama mtahamishwa kesho au kustaafu.

Ni Bora jina jema kuliko Mali nyingi, hivyo jengeni majina mema kwa kufanya kazi vyema kwa kugusa maisha ya watanzania.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaungana na mamillion ya watanzania kumuombea mh Rais wetu katika majukumu yake ya Urais.
 
Ndugu zangu Mh Rais mama Samia suluhu Hassani Ni mwanadamu mwenye damu na moyo na mwili wa nyama Kama Tulivyo sisi wengine.

Nikawaida kuona hata watumishi wa umma ikikaribia wikend wanafurahi ili wapate muda wa kupumzisha akili na hata kupata muda wa kukaa na Familia zao, kutokanaa na kazi za wiki nzima zinazowaweka bize na mbali na familia zao.

Ndugu zangu pamoja na kuwa mh Rais wetu Ni mwanadamu, Mama mwenye familia lakini ameamua kutumia nguvu zake zote na muda wake wote kututumikia watanzania kwa utumishi ulio tukuka.

Hana muda wakupumzika, Familia yake kwa Sasa Ni watanzania, watoto wake kwa Sasa Ni watanzania, wajukuu zake kwa Sasa Ni watanzania, Mawazo yake kwa Sasa yapo kwa watanzania tu.

Muda wote ukisikiliza vyombo vya habari au kupita vibanda umiza na kuchungulia TV unaona mh Rais wetu yupo kugusa maisha ya watu, yupo kutatua matatizo na kero, yupo kuzindua miradi ya maendeleo, yupo kutoa matumaini kwa waliokata tamaa, yupo kutoa majibu kwa maswali ya wananchi, yupo kutoa maelekezo kwa watendaji wake, yupo kuhoji juu ya matumizi ya Fedha za umma, yupo kuunganisha watu, yupo kuleta umoja kwa watumishi ili wawatumikie watu bila kiburi Wala majivuno, yupo kuwakumbusha watumishi kuwa vyeo Ni dhamana.

Ni mama kwa maama ya mama kweli kwelii, mlezi Bora ambaye anahitaji kuona Familia yake hii ya watanzania inaboreka siku Hadi siku.

Amedhamilia kuijenga Tanzania iliyo Bora ambayo kila mtu atafaidika na matunda yake, Anataka kuona keki ya Taifa inamfikia kila mtu, Hataki kuona Kuna watu au kundi linabaki nyuma na kujiona kutengwa, anataka kila mtu ajisikie fahari kuzaliwa katika nchi hii.

Anataka kuona mtu akienda hospitali anahudumiwa bila ubaguzi au Hali yake ya kiuchumi, Anataka kuona mwanafunzi aliyemaliza kidato Cha nne au sita anaendelea mbele bila kukwama au kukwamishwa na uchumi wa nyumbani, Ndio maana unaona ameweka Elimu bure Hadi kidato Cha sita na kuongeza bajeti katik Elimu ili wengi wapate mikopo vyuo vikuu.

Ndugu zangu kwa kazi hii kubwa aifanyayo mh Rais wetu tuna kila sababu ya Kuendelea kumtia moyo mh Rais wetu, Tuendelee kumwombea Rais wetu ili mwenyezi Mungu aendelee kumlinda na kumpigania wakati wote.

Uongozi unatoka kwa mungu, hivyo kwa wale wasaidizi wa mh Rais na watendaji wote mliobahatika kupata Nafasi ya kuwa serikalini, Nawaombeni mfanye kazi kwa uadilifu na weledi kuwatumikia watanzania, sisi watanzania hasa sisi vijana tunawategemea Sana mtusaidie.

Muwe wanyenyekevu wenye busara hekima na upendo kwetu, mtangulizeni mwenyezi Mungu katika kazi zenu, Tendeni haki kwa wote Kama anavyo sisitiza Rais wetu, Fanyeni kazi kwa bidii na kujituma kwa kuacha Alama njema hata Kama mtahamishwa kesho au kustaafu.

Ni Bora jina jema kuliko Mali nyingi, hivyo jengeni majina mema kwa kufanya kazi vyema kwa kugusa maisha ya watanzania.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaungana na mamillion ya watanzania kumuombea mh Rais wetu katika majukumu yake ya Urais.
Uchawa mwingine bwana! By the way umesahau kuweka namba kwa ajili ya uteuzi. Mwambie apunguze msafara wake maana ni mkubwa mno utakuja kukausha hazina yetu
 
toka mjue anafuatilia jf bas mnajipendekeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afarijiwe kwa lipi mafuta kupanda tozo za miamala gharama za maisha toa ufakeni wako hapa
 
Hebu tutolee upuuzi sie,
Yeye ni Mtumishi wa Umma, yupo kazini, anapata mshahara na likizo pia anayo,

Angekua anajitolea huku hana anufaikacho kidoooooogo ungetushawishi.
 
Kama anataka kupumzika akae pembeni wapo watu wanaitaka hiyo kazi

Faraja atapewa na mumewe!
 
Watu wanakunywa chai kavu wanalala halafu unaleta maneno gani hayo mleta mada??
 
Ila jamaniii!
Kwahiyo sisi tumekaa tu yeye anatufanyia?
Mbona watanzania wasio viongozi ndio wanaoteseka zaidi kwa ajili ya nchi yao! Nani anawapa faraja?

Pamoja na mateso yao juani, machimboni, ofisini nk, wanaambulia ujira mdogo na wanalipa kodi.

Watanzania tufike mahali tuelewe kwamba maendeleo hayaletwi na rais bali ni kodi za watanzania. Tuachane na sifa zisizo na mantiki.
Maneno mazito sana haya mkuu.

Nimetokwa na machozi.
 
Mama haihitaji chawa maana kazi zake zinajieleza na Kuendelea kuwakongo nyoyo watanzania, msafara wa Rais umesheheni watendaji wote muhimu kwa ajiri ya kutoa ufafanuzi kwa Mambo mbalimbali yanayotekelezwa na serikali yetu
Uchawa mwingine bwana! By the way umesahau kuweka namba kwa ajili ya uteuzi. Mwambie apunguze msafara wake maana ni mkubwa mno utakuja kukausha hazina yetu
 
Nyie chawa wa sasa bado sana kufikia level za chawa wa JPM.Hadi mje kufikia level za kina BIA YETU,KAWE ALUMNi huyo boss wenu atakua ameshaondoka madarakani.Wenzako walikua wanawekaga namba ya simu wewe vip au umesahau?.
Sin haja ya kuweka namba ya simu maana Namuunga mkono mama yangu bila shuruti yoyote ile
 
toka mjue anafuatilia jf bas mnajipendekeza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afarijiwe kwa lipi mafuta kupanda tozo za miamala gharama za maisha toa ufakeni wako hapa
Mafuta hayajapandishwa na mh Rais wetu, Ndio maana unaona juhudi za mh Rais kupunguza Bei kwa kuweka Ruzuku ya billioni mia moja, ili kupunguza makali ya Bei, Hali ikitengemaa utaona Hali ikirudi Kama awali
 
Hafanyi kwa ajili yetu ndio maana unaona kila kitu kipo juu. Tuliokuwa tunaishi kwa kipato cha halali tumesimamisha ujenzi baada ya gharama za vifaaa vya ujenzi kuwa juu.

Kwa sasa kula ubwabwa imekuwa kitu cha anasa maana mchele haushikiki tena.

Yeye anafanya kwa ajili yake, familia yake na marafiki zake. Hapo anatafuta kujijenga kwa ajili ya 2025.
 
Ndugu zangu Mh Rais mama Samia suluhu Hassani Ni mwanadamu mwenye damu na moyo na mwili wa nyama Kama Tulivyo sisi wengine.

Nikawaida kuona hata watumishi wa umma ikikaribia wikend wanafurahi ili wapate muda wa kupumzisha akili na hata kupata muda wa kukaa na Familia zao, kutokanaa na kazi za wiki nzima zinazowaweka bize na mbali na familia zao.

Ndugu zangu pamoja na kuwa mh Rais wetu Ni mwanadamu, Mama mwenye familia lakini ameamua kutumia nguvu zake zote na muda wake wote kututumikia watanzania kwa utumishi ulio tukuka.

Hana muda wakupumzika, Familia yake kwa Sasa Ni watanzania, watoto wake kwa Sasa Ni watanzania, wajukuu zake kwa Sasa Ni watanzania, Mawazo yake kwa Sasa yapo kwa watanzania tu.

Muda wote ukisikiliza vyombo vya habari au kupita vibanda umiza na kuchungulia TV unaona mh Rais wetu yupo kugusa maisha ya watu, yupo kutatua matatizo na kero, yupo kuzindua miradi ya maendeleo, yupo kutoa matumaini kwa waliokata tamaa, yupo kutoa majibu kwa maswali ya wananchi, yupo kutoa maelekezo kwa watendaji wake, yupo kuhoji juu ya matumizi ya Fedha za umma, yupo kuunganisha watu, yupo kuleta umoja kwa watumishi ili wawatumikie watu bila kiburi Wala majivuno, yupo kuwakumbusha watumishi kuwa vyeo Ni dhamana.

Ni mama kwa maama ya mama kweli kwelii, mlezi Bora ambaye anahitaji kuona Familia yake hii ya watanzania inaboreka siku Hadi siku.

Amedhamilia kuijenga Tanzania iliyo Bora ambayo kila mtu atafaidika na matunda yake, Anataka kuona keki ya Taifa inamfikia kila mtu, Hataki kuona Kuna watu au kundi linabaki nyuma na kujiona kutengwa, anataka kila mtu ajisikie fahari kuzaliwa katika nchi hii.

Anataka kuona mtu akienda hospitali anahudumiwa bila ubaguzi au Hali yake ya kiuchumi, Anataka kuona mwanafunzi aliyemaliza kidato Cha nne au sita anaendelea mbele bila kukwama au kukwamishwa na uchumi wa nyumbani, Ndio maana unaona ameweka Elimu bure Hadi kidato Cha sita na kuongeza bajeti katik Elimu ili wengi wapate mikopo vyuo vikuu.

Ndugu zangu kwa kazi hii kubwa aifanyayo mh Rais wetu tuna kila sababu ya Kuendelea kumtia moyo mh Rais wetu, Tuendelee kumwombea Rais wetu ili mwenyezi Mungu aendelee kumlinda na kumpigania wakati wote.

Uongozi unatoka kwa mungu, hivyo kwa wale wasaidizi wa mh Rais na watendaji wote mliobahatika kupata Nafasi ya kuwa serikalini, Nawaombeni mfanye kazi kwa uadilifu na weledi kuwatumikia watanzania, sisi watanzania hasa sisi vijana tunawategemea Sana mtusaidie.

Muwe wanyenyekevu wenye busara hekima na upendo kwetu, mtangulizeni mwenyezi Mungu katika kazi zenu, Tendeni haki kwa wote Kama anavyo sisitiza Rais wetu, Fanyeni kazi kwa bidii na kujituma kwa kuacha Alama njema hata Kama mtahamishwa kesho au kustaafu.

Ni Bora jina jema kuliko Mali nyingi, hivyo jengeni majina mema kwa kufanya kazi vyema kwa kugusa maisha ya watanzania.

Mimi Lucas Mwashambwa ninaungana na mamillion ya watanzania kumuombea mh Rais wetu katika majukumu yake ya Urais.
Nilivyoona heading nikajua umeandika kitu cha maana kumbe ni hizi pumba haya wale wakusifu na kuabudu kazi kwenu.
 
Back
Top Bottom