Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hakosoi serikali na wala rushwa kwani kuna shida gani?Asubuhi kabla ya kuanza shughuli zake anakunjwa energy drink
Mchana na jioni lazima anywe hizi pombe kali smart gin/ double kick. Ni mfumo wa maisha yake kwa kitambo sasa, tumpe conclusion gani kijana huyu.
hahaKuna mbwa anabwekea maendeleo ya mwenzake
Wewe unaweza kunywa energy asubh?
Wakati huna hela
Kumbe anapesa nyingi kwa vinywa tu anaweza akatumia bk 5 je mengineyo, kumbe anapesa mingi huwezi mshauri mwache hatakusikilizaAsubuhi kabla ya kuanza shughuli zake anakunjwa energy drink
Mchana na jioni lazima anywe hizi pombe kali smart gin/ double kick. Ni mfumo wa maisha yake kwa kitambo sasa, tumpe conclusion gani kijana huyu.
Kama kaufyata mkia wa niniKama hakosoi serikali na wala rushwa kwani kuna shida gani?
Atamfugia mbwa wa kizunguKijana wa hivyo haambiliki.
Marehemu wa hivi karibuni. Msamehe tu bure.Asubuhi kabla ya kuanza shughuli zake anakunjwa energy drink
Mchana na jioni lazima anywe hizi pombe kali smart gin/ double kick. Ni mfumo wa maisha yake kwa kitambo sasa, tumpe conclusion gani kijana huyu.
Amwambie anywe maji mengi kila siku asije akawasumbua madaktari na ndugu akiugua figoAweke akiba pesa za kufanya dialysis
Ndio habwekei ndege?Atampigia mbwa wa kizungu
Nilitaka kusema atamfugia mbwa wa kizungu nikimaanisha akimkataza atamkoromea mithili ya sauti ya mbwa wa kizungu, vuta picha umemkuta jamaa anakunywa hivyo vi smart tena bila kimiminika kingine, (without dilution), halafu yuko bwiiNdio habwekei ndege?