Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haisaidii hiyo mkuuNilitaka kusema atamfugia mbwa wa kizungu nikimaanisha akimkataza atamkoromea mithili ya sauti ya mbwa wa kizungu
Daaah aiseee elimu ya afya iwe kwa lazima sasa utake au usitake...Asubuhi kabla ya kuanza shughuli zake anakunjwa energy drink
Mchana na jioni lazima anywe hizi pombe kali smart gin/ double kick. Ni mfumo wa maisha yake kwa kitambo sasa, tumpe conclusion gani kijana huyu.
Kuna jamaa angu anasoma medical lab, huwa anakunywa sana haya madude...Ukiona ameanza kupata ka kitambi hana pesa mwambie aanze kusali jumuiya ili angalau akifa wamsalie azikwe vzr
Kuna jamaa angu anasoma medical lab, huwa anakunywa sana haya madude...
Alafu ananiambia mimi hivi "" hivi PB mi kwa kamwili haka ata hizo glucose kwangu zitakua na madhara gani kaka wee kunywa tuu hamna kitu hapo tunadanganyana tu"""
Sasa jamaa sasa hivi ana kakitambi utafikili kitambi cha wale wapiga nyeto original dronedrake
umenikosea heshima mkuu edit comment yako haraka sana sina hayo mambo
R. I. PKuna jamaa angu anasoma medical lab, huwa anakunywa sana haya madude...
Alafu ananiambia mimi hivi "" hivi PB mi kwa kamwili haka ata hizo glucose kwangu zitakua na madhara gani kaka wee kunywa tuu hamna kitu hapo tunadanganyana tu"""
Sasa jamaa sasa hivi ana kakitambi
Kwani inalipwa kwa dolari?
Dolari ndiyo kipimo (yardstick) cha vimadafu vyote duniani. Na kuna hosipitali hapa hapa Tanzania kama huna dolari hata usijihangaishe kwenda!Kwani inalipwa kwa dolari?
Wataalamu wanasema vidonda vya tumbo chanzo chake moja wapo ni matumizi dawa za kutuliza maumivu, unywaji wa vinywaji vikali kali kama pop pombe bila ya kutanguliza chakula, kukaa muda mrefu bila kula, kula vyakula na vinywaji vinavyo sababisha asid nyingi.Daaah aiseee elimu ya afya iwe kwa lazima sasa utake au usitake...
Nje ya mada mkuu hivi kwa mtu mwenye ratiba ya kunywa juisi ya matunda ile ya kutengeneza mida ya mchana.... Akala na bite tu..
Hapo akapiga pasi ndefu mpaka jioni akala mlo kamili na matunda..
Je anaweza pata vidonda vya tumbo au kujikunja utumbo mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏
Hii ya dawa za kutuliza maumivu ndo kiajee? Em fafanuaa.Wataalamu wanasema vidonda vya tumbo chanzo chake moja wapo ni matumizi dawa za kutuliza maumivu, unywaji wa vinywaji vikali kali kama pop pombe bila ya kutanguliza chakula, kukaa muda mrefu bila kula, kula vyakula na vinywaji vinavyo sababisha asid nyingi.
So kwa mfumo huo ulioekezwa sio rahisi kupata vidonda vya tumbo, kwa mujibu wa wataalam lakini.
Ahsantee kwa somoo, nimeelewaa.