Tumpe nani maua yake kati ya Steve Mweusi ama Kicheche?

Tumpe nani maua yake kati ya Steve Mweusi ama Kicheche?

Tumpe nani maua yake kati ya Steve Mweusi ama Kicheche?

  • Steve Mweusi

  • Kicheche


Results are only viewable after voting.
Steve yuko vizuri, huyo kichche honestly huwa sielewi anachochekesha!
 
Hamna kitu hapo, comedy ya bongo haijawahi kunichekesha
Comedy inatakiwa ichekeshe na kufurahisha lakini ya Bongo inakasirisha. Comedy ya Bongo ni kwa low-minded people. Ila mitaani siyo kama hakuna wachekeshaji, wapo wengi mno mno. Infact niseme kuna vipaji vizuri sana. Tatizo ni kuwa wanaoonekana kwenye TV ni ma-imposter fulani hivi, wajanja wajanja wanaolazimisha kazi.
 
Jana kifurushi kilikata, nikaweka Clouds Cheka tu...asee badala ya kuchekesha wanaboa balaa! Wengi wanalazimisha.

Joti naye siku hz pugi tu na CCM yake...[emoji706]
 
Huyo kicheche hana maadili, matusi mengi na sio rafiki kwa watoto
Sasa wamuangalie kuanzia saa 4 usiku ama
Hachekeshi ila matusi mengi tu na kuita Malaya na mbwa
Hana kipaji kabisa bora Steve hana matusi
Kuna haja gani ya kutukana ili uchrkeshe watu?
 
Back
Top Bottom