Lisu sasa aniandae kuapishwa?Tiyari nishafanya yangu kwa udhamini mnene wa VPN
Jiwe hali mbaya huko inabidi jeshi la polisi lipelekwe likaongeze nguvu
Tafadhali sana, hunijui. Kama huwezi kuwa mstaarabu na kujibu hoja kwa hoja unaweza pia kukaa kimya.Najua akili yakoalishaondoka nayo Lisu
Imani yao kina Crimea ni kuwa kila anaekosoa jambo muhimu kwa viongozi wetu ni Cdm !!. Aibu sanaTafadhali sana, hunijui. Kama huwezi kuwa mstaarabu na kujibu hoja kwa hoja unaweza pia kukaa kimya.
Tabia ya kudhania kila mtu ni shabiki wa vyama vya siasa na wanasiasa ni tabia mbovu sana!
Hawa hawajui lolote wala hawana wanalojua hapa dunianiHapana
Rais Nana Akufo Addo, wa Ghana ameshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, kwa kupata asilimia 51.6 ya Kura, dhidi mpinzani wake wa karibu, Rais wa Zamani wa taifa hilo, John Mahama aliyepata asilimia 47.4 ya kura zote...
Hata mkeo humwamini??mbona unakula gizani uogopi kung’atwa?kwa wakubwa tuSijawahi kumwamini yeyote katika maisha yangu, Ila naomba Wana Lumumba tuendelee kuaminiana. Asanteni kwa kunielewa.
Huyo ni kawaida ya waimba mapambio.Hii tabia inaudhi sana. Inalifanya jukwaa la JF kama mechi ya Simba na Yanga hata kwenye maswala muhimu.
Hana huo ujanja. Ngoja tukampigie rais wa Ghana🤣🤣🤣na safari hii atapigiwa hadi na mataifa mengine
Meko doesn’t deserve to be nominated, nevertheless winningWatanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka...
Sasa nani kakwambia anamjua mtu humu?Tafadhali sana, hunijui. Kama huwezi kuwa mstaarabu na kujibu hoja kwa hoja unaweza pia kukaa kimya.
Tabia ya kudhania kila mtu ni shabiki wa vyama vya siasa na wanasiasa ni tabia mbovu sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwepo tu kwenye hicho kinyanganyiro na kuwapiga bao south na senegal mbona ni promo kubwa sana kwake?Meko doesn’t deserve to be nominated, nevertheless winning
Ndio Magu anakuwa siyo rais wa tz?Hana huo ujanja. Ngoja tukampigie rais wa Ghana
Polepole atakuwa amefungua account 100 ili ampigie kura za kutisha!Mwambie Pole Pole ampigie kura PAPO KWA PAPO.
Amezipata kwa watanzania 84%, waEAC, waSADC, waCENTRAL, WEST na NORTH AFRICA
mkuu usimpigie kura tu, mpe na t.go kabisa...hakika itapendeza sana!.Tunampigia kila baada ya dakika 5 , ushindi ni lazima. Magufuli the best leader !
Kwani amekwambia na yeye ni mwana faraga kama alivyowashauri mgombea wenu?mkuu usimpigie kura tu, mpe na t.go kabisa...hakika itapendeza sana!.
Naona una hasira sana! Huoni hapo kawabwaga hadi wa south na senegal? Lisu angepata 0 kabisaHuyu Mbuzi anahangaikiwa sana