Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Kwel mataga ni mataga
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.

Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora

Japo Magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana

USSRView attachment 1665817View attachment 1670488
 
Mkuu,

Two days past the voting trail was in Magufuli favour, however as from yesterday 4th January 2021 the voting count down clobbered Magufuli shifting to Nana Akufo from Ghana. Today 5th January 2021 the trend reversed by gradual droppage from Nana Akufo with voting garnering to Magufuli with slight percentage gain. The competion is so tense whereas dvelopment and democratic supporters are overwhelmingly challenging to each other........as who is who for what and why......the yeballs and ears are spread aprt to hear and see what is elevating the spirit in favour.
Can you come again.
 
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.

Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora

Japo Magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana

USSRView attachment 1665817View attachment 1670488
Ama kweli bara la Africa ni kama lina laana hivi! Yaani kama katika maraisi wote zaidi ya hamsini JPM kachomoza unabaki kujiuliza hao waliobaki ni viongozi wa aina gani!!
 
Mwenye 'apudeti puliiz' nani anaongoza mpaka sasa?

Jembe letu ana asilimia ngapi huko?
 
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.

Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora

Japo Magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana

USSRView attachment 1665817View attachment 1670488
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tayari hiyo hapo
IMG_20210110_112237.jpg
 
Sizitaki mbichi hizi, mlihamasishana weee kumchagua mmeona kaangua lipua tayari ndo mnaanza oooh haitaki hii tuzo, kashindwa tu uyo mwizi wenu wa kura pia muuaji
Hivi kuna mahali Magufuli amesema anaitaka hii tuzo? Naona vijana wanapambana kuhamisha watu wampigie....
 
Back
Top Bottom