Wewe lijamaa ni lijinga sana .
Unaulizwa mkoa husika hautaji , benki hautaji , Sasa ulifungua uzi wako ili kuturingishia malalamiko yenu na huyo ndugu yako ?
Kama unaamini unaweza kupata msaada embu tiririka hapa kila kitu labda kama mlitimia hela iliyoongezwa hapo potea kwenye uzi usirudi tena .
Ikiwa unaamini hamjafanya lolote basi weka kila kitu wazi na kwa msaada zaidi weka namba ya manager wa benki hiyo kama unayo itupe PM ndani ya masaa utapata hela yako .
Siku nyingine kuwa muwazi sio kuwa lioga kama watu wa mikoani bana .
Sent from my SM-J410F using
JamiiForums mobile app