Tumsaide huyu mtanzania mwenzetu

Sema kila kitu usaidiwe unasitasita nini! Mbona wewe ni muoga nani atakukamata kama unasema ukweli na ushahidi upoo
Watanzania wengi ni waoga sana kutetea haki zao,hasa zile haki zinazo mwinywa na taasisi fulani!!
 
Atakua mwalimu huyo.

Uoga kama huo. Pesa yako unaendaje kuomba akaunt ifunguliwe.

Nenda na barua ya kuwapa ultimatum ama wafungue akaunti au wakupe maelezo. Ultimatum ikifika kutaneni mahakamani
 
Si afungue kesi ya madai apige mpunga mrefu!Hana mwanasheria?
Kama account yake imeshikiliwa na Bank, hizo pesa za kumlipa Mwanasheria atazipata wapi!? Na unajua kabisa bila mpunga mbele hakuna Mwanasheria atakae kuelewa, wataona kama unawapigia kelelee tu!!
 
This is a serious case, kama ana ushahidi usiotia shaka apeleke malalamiko yake kwa HR yaanzie hapo, haiwezekani HR kaniwekea mzigo wangu Bank alafu Bank eti wauuzie kisa hivyo vimashine vyao vibovu kusingizia,sasa mimi vinanihusu nini!!??
 
Kila kitu kiko wazi kabisa ni ww tu kama kweli upo tayari toa msaada. Sielewi inasaidia nini kutaka kujua jina la mhanga
Nadhani wewe ndo mpuuzi kuliko huyo jamaa yako mwenye tatizo na benki. Utawezaje kumsadia mtu hujui hata jina la benki na branch? Acha upumbavu
 
Sio kwamba naogopa mkuu ila naamini waliofanya makosa ni watumishi wachache tu wasiokuwa waadilifu kwa kazi zao. Sio vizuri kuichafua taasisi yote
Usingeandika humu ungewafuata hao wachache wasio waadilifu warekebishe hilo tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…