mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
mkiambiwa aliipenda hata wakati wa corona mnang'aka.kisa tu aliyetoa kauli hiyo ni magufuli.Mungu anapenda sana nchi yetu asipofanya reform nae atamfuata jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkiambiwa aliipenda hata wakati wa corona mnang'aka.kisa tu aliyetoa kauli hiyo ni magufuli.Mungu anapenda sana nchi yetu asipofanya reform nae atamfuata jiwe
Akiwaendekeza hao ataishia kuwa rais wa vitu vidogovidogo asiye na legacy yoyote ya maanaNi vyema Mama akasimama vyema katika nafasi yake kama kiongozi wa taasisi nyeti na ya juu kabisa hapa nchini. Asimamie vyema sera, katiba, sheria, kanuni na miongozo mbalimbali ya nchi ili akapate kuwatendea watu wote haki pasipo kujali itikadi, dini, kabila ama tamaduni zao.
Akwepe sana kutoa ahadi kwa makundi mbalimbali, bali ajikite zaidi katika kutekeleza ilani ya chama ambayo aliinadi mwaka 2020 wakati wa uchaguzi mkuu. Makundi yote ya kijamii kama vile vijana, kinamama, wafanyabiashara, viongozi wa dini na mingine kama hayo, zipo wizara husika ambazo zinaweza kuratibu namna bora ya kushighulikia changamoto zilizopo.
Kitu ambacho serikali inayoiongoza inaweza kukifanya ni kujenga mazingira rafiki na wezeshi ya kiuchumi, kisayansi, kisiasa, kijamii na kisheria ili kufanisha jambo hili. Akwepe sana mtego wa misimamo ya makada wahafidhina waliopo ndani ya chama chake ambao wamepitwa na wakati wa kidira na kimaono.
Ki ukwel hata sielew huyu mama anapotupeleka.kama taifa bado hatujui ukubwa wa matatizo tuliyo nayo.
wakati jpm anaonyesha misimamo yake,wapo wanaume lege lege walimdhihaki.
huyu atatuweka lockdown muda sio mrefu.
Kwako. Siyo kwa wengine.kwa taifa hili jpm atabaki kuwa kiongozi bora wa muda wote,pamoja na kutiwafaa watu wachache kwa ubinafsi wao
JPM alikuwa mbaya sana.Kwako. Siyo kwa wengine.
Unajichanganya mwenyewe katika mistari miwili tu uliyoandika, vipi, unakumbukumbu fupi kiasi hicho?
Kwani upo hapa kunifurahisha?JPM alikuwa mbaya sana.
haya umefurahi sasa!!!b
au bado utaendelea kweweweseka!!!
unajua kwanini??
kama haiwezekani kufurahishwa na mtu mwingine,ulitarajia jpm afanye hivyo kama malaika ama!!!Kwani upo hapa kunifurahisha?
Kakutuma nani uje hapa kunifurahisha kama siyo kiherehere chako mwenyewe.
Mbona huelewi kitu.kama haiwezekani kufurahishwa na mtu mwingine,ulitarajia jpm afanye hivyo kama malaika ama!!!
nasema alikuwa kiongozi bora wa muda wote hutaki, unakasirika kwa kisirani chako.pole mkuu.
una stress bro.Mbona huelewi kitu.
Nimekwambia alikuwa hivyo kwako, shida ipo wapi?