Tumsaidie Rais Samia

Tumsaidie Rais Samia

Akina Siro na Mabeho ndio wanatawala.
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli??? kuwa rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine...

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

hao mawaziri wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana ??.....

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao....

..Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.....

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE...
 
Heheheh chadema watu wahuni sana. Walitegemea kumpelekesha mama kumtisha tisha kumpangiabnn cha kufanya walipoona hatetereki hawaamini kama nibyeye anaendesha nchi na sasa wameamua waje na hii ya kuendeshwa na kikundi.

Chadema is a disaster to this nation. Baada ya kuona gaidi yuko lupango wameamua kieneza ujinga.
 
Mkuu huyaoni yanayoendelea nini hapa nchini mwetu?? Kuna tatizo kubwa la kiuongozi hasa pale Juu. Yaani pamepwaya mno. Nikupe mf mmoja tu: Gwajiboy katamka wazi kuwa kuna Viongozi wamekula rushwa ili chanjo iingie nchini. Hii alimlenga Rais. Waziri wa Afya ambae ni sehemu ya Serikali akatoa amri akamatwe kisha ahojiwe. IGP kachomoa. Ndugai katoa maelekezo Kwa IGP nae kagomewa. Mama kimyaaaa. Kwako wewe unapata picha gani kwenye Uongozi wa Juu??

Au hadi Serikali itakaposhindwa kuwalipa mishahara watumishi wake ndio utaelewa??
So ulitaka vitu vidogo vidogo hivyo aingilie. Vita ya gwajima vs makonda, ndugai vs Assad umeisahau? Magufuli aliingilia.

Nyie tangu gaidi aqekwe selo ndo mmejitoa akili kumchafua rais. Stupid hila zenu zinajulikana.
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli??? kuwa rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine...

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

hao mawaziri wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana ??.....

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao....

..Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.....

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE...

Hii nchi ngumu sana:

Tumsaidie Rais Samia kuwaondoa Watendaji Mizigo

Yaonesha dokezo la bwana Venance halikufua dafu.
 
So ulitaka vitu vidogo vidogo hivyo aingilie. Vita ya gwajima vs makonda, ndugai vs Assad umeisahau? Magufuli aliingilia.

Nyie tangu gaidi aqekwe selo ndo mmejitoa akili kumchafua rais. Stupid hila zenu zinajulikana.
Suala la kuwa Mkuu wa Nchi Kala rushwa sio dogo au kwako unalichukulia poa???
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli? kuwa Rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine.

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

Iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

Hao Mawaziri na Wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

Halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana?

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao.

Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE.
Mwacheni
 
Suala la kuwa Mkuu wa Nchi Kala rushwa sio dogo au kwako unalichukulia poa???
Kiongozi mzuri ni yule anaepotezea wajinga. Sio kama yule jiwe kila anaeongea anamtafuta anamminya p*mb. Watu aina ya JK na Samiah ndo viongozi wazur.
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli? kuwa Rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine.

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

Iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

Hao Mawaziri na Wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

Halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana?

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao.

Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE.
Huyu huyu lissu si ndio alisema magufuli yupo nairobi? Ndio huyu huyu alisema bodyguard wa magufuli kafariki na tukamuona msibani

Lema juzi kasema gwajima aliwapa taarifa lissu kushambuliwa baadae lissu akazikanusha
.
Nachotaka kusema hakuna rais nusu kuna rais mwenye mamlaka kamili

Mwanzo mlisema anaongozwa na kikwete sasa hivi mnasema majaliwa hicho kitu ni nadharia hakipo
 
Mawazo na ajenda za ChADeMa...etu mama Samia kawekwa kivuli! Kisa Mbowe!
Si aliwaambia hataki Siasa za fujo?
Anajifanya mbishi eti kwa kuwa Rais mwanamke!

Katiba inamtambua yeye ndiye Rais..ushauri wako hauingii akilini na ni wa hovyo. Kinyume na katiba

Alafu huyo mpuuzi anadai Mama yuko hostage' wakati yeye ndiye refugee. Akija kukamatwa kwa kutoa taarifa za uongo na kusabisha taharuki yeye na wenzake watadai Mama Samia dikteta anakamata wapinzani!
Walianza mama samia anaendesha na kikwete leo wamehamia kwa magufuli

Nchi ina rais kamili na sio rais nusu, juzi lema kasema gwajima kawapa taarifa kuwa lissu atashambuliwa baadae lissu akasema kwamba ni taarifa za uongo
 
Mkuu yupo hapo mpaka 2025, tumsaidie pale penye mapungufu..tukisusa ni sisi ndio tunaumia zaidi...
Tatizo miongoni new wasaidizi wa karibu wanamchonganisha wazi wazi na wananchi . Mfano rahisi wanaponyamazishwa wanao ibua mapungufu ya serikali.Kupitia ukosoaji jenga.
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli? kuwa Rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine.

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

Iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

Hao Mawaziri na Wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

Halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana?

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao.

Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE.
Atafika tuu kwani yeye ndio mwanamke wa kwanza kuongoza hapa Duniani? Kwani amekwambia haUpjiamini au wewe mtoa mada unaona hajiamini?

Mnapenda kujilisha Sana upepo,kama hadi sasa ameshafanya mambo mengi kinyume na Mwendazake sasa wewe una lipi la kuhoji confidence ya Mh.Rais?

Sema hivi nyie mlizoea kufika foka kujitutumua and the likes mkajua ndio uongozi
 
Duuuuuh idea hii uliyoitoa kuna jamaa angu aliwahi niambia tukiwa tunajadiliana masuala mbalimbali yanayoendelea nchini,,yeye alisema inatakiwa kuwe na think tank ya taifa ya watu kama 10,,hivi wawe huru na Raisi akikosea wamuweke sawa cha msingi maslahi mapana ya taifa yalindwe n sio maslahi binafsi ya chama au vingozi.so nahisi hii idea ni nzuri
Kuna nchi zina hii kitu, na inasaidia sana but tatizo ni jinsi ya kuwapata ili wawe neutral...
 
Kinachotakiwa ni mama atumie mamlaka yake tu.
Nje ya hapo hao waluohodhi mamlaka ya rais/amiri jeshi watatupeleka pabaya sana! Kama ni kweli, basi hao ni wahaini

Mama Samia please, tumia mamlaka yako kwa faida ya watanzania na kwako pia
Kauli za mlevi zimpelekee kujiondoa madarakani??!!!

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli? kuwa Rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine.

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

Iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

Hao Mawaziri na Wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

Halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana?

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao.

Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE.
UnaombA maoni au unatoa unachofikiri..!??
 
Heheheh chadema watu wahuni sana. Walitegemea kumpelekesha mama kumtisha tisha kumpangiabnn cha kufanya walipoona hatetereki hawaamini kama nibyeye anaendesha nchi na sasa wameamua waje na hii ya kuendeshwa na kikundi.

Chadema is a disaster to this nation. Baada ya kuona gaidi yuko lupango wameamua kieneza ujinga.
Pale issues nzito zinapozungumzwa mnakimbilia kujuficha kwa kichaka cha Chadema, mkiambiwa akili kisoda mnaanza kulia lia [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom