Tumsaidie Steven Mdoe aka Dj Steve B anaumwa sana

Tumsaidie Steven Mdoe aka Dj Steve B anaumwa sana

Gharama za matibabu ya figo NHIF hawawezi kutoa,sababu ni kubwa, gharama za kusafisha figo ni zaidi ya laki tano kwa wiki.
Kila wiki unatakiwa usafishe mpaka hali itapotengemaa.
Wanatoa full bila kinyongo hata ukifanyiwa transplant dawa wanakugharamia for life.
 
Kabla hajaomba msaada mitandaoni, hana watu wake wa karibu?
 
Nimeingia site zote za Clouds fm na TV hawajatangaza hicho kifo,mbona Fred War aliacha Clouds lakini alitangazwa,ndugu acha kuzushia watu vifo
 
Back
Top Bottom