King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Aiseee na Mwana FA kapiga Bilioni za tigo inabidi amsaidie.“...sasa wanaulizia Steve B eti ni DJ au MC, me sijiviki uwakili na nakaa nje ya hii..”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee na Mwana FA kapiga Bilioni za tigo inabidi amsaidie.“...sasa wanaulizia Steve B eti ni DJ au MC, me sijiviki uwakili na nakaa nje ya hii..”
Wamewambia wameshindwa kumtibu!?
Aiseee na Mwana FA kapiga Bilioni za tigo inabidi amsaidie.
Ubarikiwe kakaNimesikiliza interview yake Global tv ikanisikitisha sana. Mahojiano yale yanafikirisha sana na ili kutoleta sintofahamu au kutokuelewana bora kuyaacha ili wadau wamsaidie apate matibabu.
Ila tujifunze kuwa siku yatakapokuja kukupata ya kukupata, ni familia yako ndio itayoangaika na wewe. Uzima na nafasi yako ndio kitu kinachofanya uheshimiwe na vikitoweka wote wanaojifanya kukupenda hutowaona.
Fikiria DJ Steve B akiwa active pale Clouds alikuwa anafuatwa na wangapi awasaidie? Alikuwa na marafiki including wasanii wakubwa wangapi? Simu ngapi zilikuwa zikiita kila dakika? Imagine yule ni icon wa XXL kipindi kikubwa mno cha vijana Tanzania, Kuna wakati ndio alikuwa DJ tegemeo na kichwa pekee pale Clouds baada ya Boniluv kuacha lakini sasa yupo peke yake akihangaika na ndugu zake!
Tuwe karibu na familia zetu na hasa muumba wetu. Sometimes tunaishi kama tutaishi milele, mtu hata hukumbuki hata lini mara ya mwisho kukanyaga Kanisani/msikitini! Hata ule utii na nia ya kushirikiana na Kanisa au waamini wenzako huna time zaidi ya kukimbizana na dunia!
Kama Mungu anakuhitaji na wewe mkaidi anaweza kutumia hata njia ngumu sana kukurudisha kwake kama alivyomfanyia Yona. Una siku saba za wiki tenga siku moja ya kuhudhuria ibada, kila siku omba/mshukuru Mungu hata kwa dakika chache, itakujenga na kukuokoa na mengi.
Tujitahidi kumsaidia ndugu yetu Steve B kwa kila hali ili arejee afya yake. Nimeona huruma sana. Kristo kupitia mateso na madonda yake pale msalabani amponye ndugu yetu.
Jiepushe kuongea mambo usiyoyajua vizuri kwenye mitandao kiongozi...Gharama za matibabu ya figo NHIF hawawezi kutoa,sababu ni kubwa, gharama za kusafisha figo ni zaidi ya laki tano kwa wiki.
Kila wiki unatakiwa usafishe mpaka hali itapotengemaa.
Miaka mitatu nilisikia intv ITV wagonjwa wa Figo wakihojiwa hii huduma haikuwepo,labda hivi sasa na hata ikiwepo labda kwa mchangiaji na si mtegemeaji.Wewe mtegemeaji hata miwani hapewi anaishiwa kupimwa basi miwani utanunua mwenyewe.Jiepushe kuongea mambo usiyoyajua vizuri kwenye mitandao kiongozi...
NHIF hiyo huduma ipo
Utajua kwann walimlilia ruge kwa sauti sana. Jamaa ndio ilikuwa engine ya maarifa leo clouds unaiona ipo ipo tu hakuna ubunifu wowote unaofanyika, ukiona mtu anakufa kwa mshtuko wa kifo cha mwingine jua the true mastermind is gone.Madj wenzake na clouds waandae tamasha moja linatosha kumsaidia muda upo ila naona iko shida cmg....clouds huwa wanabeba kitu na kukifanya kwa haraka ila kwenye hili sioni
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Umeongea vizuri sana mkuu,kiburi cha uzima kinaponza wengi sana...Nimesikiliza interview yake Global tv ikanisikitisha sana. Mahojiano yale yanafikirisha sana na ili kutoleta sintofahamu au kutokuelewana bora kuyaacha ili wadau wamsaidie apate matibabu.
Ila tujifunze kuwa siku yatakapokuja kukupata ya kukupata, ni familia yako ndio itayoangaika na wewe. Uzima na nafasi yako ndio kitu kinachofanya uheshimiwe na vikitoweka wote wanaojifanya kukupenda hutowaona.
Fikiria DJ Steve B akiwa active pale Clouds alikuwa anafuatwa na wangapi awasaidie? Alikuwa na marafiki including wasanii wakubwa wangapi? Simu ngapi zilikuwa zikiita kila dakika? Imagine yule ni icon wa XXL kipindi kikubwa mno cha vijana Tanzania, Kuna wakati ndio alikuwa DJ tegemeo na kichwa pekee pale Clouds baada ya Boniluv kuacha lakini sasa yupo peke yake akihangaika na ndugu zake!
Tuwe karibu na familia zetu na hasa muumba wetu. Sometimes tunaishi kama tutaishi milele, mtu hata hukumbuki hata lini mara ya mwisho kukanyaga Kanisani/msikitini! Hata ule utii na nia ya kushirikiana na Kanisa au waamini wenzako huna time zaidi ya kukimbizana na dunia!
Kama Mungu anakuhitaji na wewe mkaidi anaweza kutumia hata njia ngumu sana kukurudisha kwake kama alivyomfanyia Yona. Una siku saba za wiki tenga siku moja ya kuhudhuria ibada, kila siku omba/mshukuru Mungu hata kwa dakika chache, itakujenga na kukuokoa na mengi.
Tujitahidi kumsaidia ndugu yetu Steve B kwa kila hali ili arejee afya yake. Nimeona huruma sana. Kristo kupitia mateso na madonda yake pale msalabani amponye ndugu yetu.
Weka link ya hiyo video wengine hatujaiona bro.Mkuu Mimi Nina utapeli gani? Namba ya simu ambayo nimeiweka ni ya DJ Steve b mwenyewe nimeiweka baada ya yeye mwenyewe kuitaja kwenye interview, pitia interview yake you tube aliyofanya na global publishers. Usiwe mwepesi wa kuhukumu, pengine we we ndo tapeli mkuu.
Walikula Mpunga wewe,hauoni AY kanunua Jumba L.A?Waliangukia pua kesi yao
Jingo alipiga ABEL MOTIKA."Sitivuu biii, ni wewe nasababisha muji kutishingika kinoooma nooma tupa sisi rubudaniii...asaaanduuu" hahaha ilikuwa ni jingle jmosi bongoflava clouds fm kuanzia ngoma nne hivi...
Dah! Maisha haya ...huyu Abel namkumbuka enzi akifanya R&B watu wa Arusha enzi zile watakuwa wanamkumbuka sana!Jingo alipiga ABEL MOTIKA.