Tumsaidieni Rais Samia kufikia malengo ya pamoja; Kumvunja moyo na kumchanganya kwa unafiki na roho mbaya sio sawa

Tumsaidieni Rais Samia kufikia malengo ya pamoja; Kumvunja moyo na kumchanganya kwa unafiki na roho mbaya sio sawa

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,186
Reaction score
7,492
Ndugu zangu, ili tufanikiwe kwenye jambo lolote kama taifa, ni lazima tuwe na ‘collective effort’ kuyaendea mafanikio hayo.

Hata tuwe na Rais mwema na muadilifu kama Malaika, hatuwezi kuwa na taifa lenye uadilifu na mafanikio ya maana ikiwa tutafikiri kuwa yeye pekee ndio mwenye jukumu la kutufikisha tuendako na sisi jukumu letu ni kumvunja moyo na kumchanganya. Ikumbukwe, binadamu hata awe muungwana vipi, ikiwa atapata 'external negative pressure kubwa' anaweza kubadilika, sio kwa kuwa anapenda bali kwa kuwa akili ya binadamu hufanya kazi katika mfumo huo.

Hatimaye baada ya kilia lia, hatimae tumefanikiwa tena kupata rais ambaye ni muadilifu ‘down to the earth’ ambaye anataka kujenga nchi iliyotamalaki uadilifu. Chaajabu, tuliokuwa tunaombea apatikane mtu kama huyu, baadhi yetu tumeamua kuchukua upande wa kumvunja moyo na kumchanganya huku tukitengeneza tatizo ambalo badae sisi sisi ndio tutakuja kulaumu.

Kwa mfano; Amewaasa viongozi wafanye mambo kwa kiasi, wafanye mambo kwa kuzingatia wigo wao kisheria (Sphere of influence) na kuchukua haki na stahili zao kwa mujibu wa sheria tu na si vinginevyo.

Hatimaye, tumekuwa tunapindua, maelekezo hayo ambayo ni sahihi kabisa katika angles zote, tumeshadidia eti ameelekeza watu wafanye ufisadi!Ni nini hiki?

Kwa kawaida duniani kote, mtu yoyote akipewa kazi yoyote, anapewa wajibu na haki/stahili (kwa mujibu wa sheria) so tulitaka Mhe. Rais aseme, “Naagiza, kila mtu aende kufanya atakavyo na kuchukua atakacho kwa namna atakavyo”? Au tulitaka aseme ‘Nawaagiza mkatekeleze majukumu yenu na hamtalipwa chochote, yaani mna wajibu bila haki”? Kwa nini tunakuwa na roho mbaya na wanafiki kiasi hiki?

Mnakumbuka wakati falsafa ikiwa 'hapa kazi tu' ilizuka rai kuwa, inapaswa kuwa 'Kazi na bata' kwa kuwa hapa kazi tu maana yake ni wajibu bila haki na kazi na bata ni wajibu na haki? au tushasahau mara hii?

Je!

Si kulikwa na kipindi haijulikani kati ya mkuu wa wilaya kwa mfano, mkuu wa mkoa na Waziri nani mkubwa? Je! Tunaitaka hali hiyo tena?

Si tulikuwa na wakati mkuu wa wilaya kwa mfano aliweza kupiga matukio yenye utata kokote nchini hadi sasa wengine wamehukumiwa kama majambazi? So tunachopinga tena sasa tunapoambiwa kila mtu afanye vitu kwa kiasi na kwa mujibu wa sheria ni nini? Mbona tunakuwa na roho mbaya na wanafiki namna hii?na tabia hii ni kwa maslahi ya nani hasa?
Matukio ni mengi hatuwezi kuyarudia yote.

Kwa ujumla Mhe.Rais ni mtu muadilifu anayetaka kujenga nchi ya kiadilifu na yenye haki ambapo kila mtu atafanya anachopaswa kufanya na kupata anachostahili kupata bila kudhulumiwa au kudhulumu wengine na hiyo ndio Tanzania tunayoitaka.

Hata hivyo, hawezi kulifanikisha hilo peke yake ikiwa hatutamsaidia na kumpa ushirikiano wa kutosha. Kitendo cha kumkatisha tamaa, kuchanganya, kupindisha anachosema na kuleta roho mbaya badala ya kumsaidia ili tufikie malengo ya pamoja, tunakuwa hatujitendei haki wenyewe wala hatutendei haki nchi hii.

Ni bora tukajisahihisha. Unafiki na roho mbaya ni tatizo ambalo madhara yake hayachagui wa kumuangukia.
 
Ndugu zangu, ili tufanikiwe kwenye jambo lolote kama taifa, ni lazima tuwe na ‘collective effort’ kuyaendea mafanikio hayo.

Hata tuwe na Rais mwema na muadilifu kama Malaika, hatuwezi kuwa na taifa lenye uadilifu na mafanikio ya maana ikiwa tutafikiri kuwa yeye pekee ndio mwenye jukumu la kutufikisha tuendako na sisi jukumu letu ni kumvunja moyo na kumchanganya. Ikumbukwe, binadamu hata awe muungwana vipi, ikiwa atapata 'external negative pressure kubwa' anaweza kubadilika, sio kwa kuwa anapenda bali kwa kuwa akili ya binadamu hufanya kazi katika mfumo huo.

Hatimaye baada ya kilia lia, hatimae tumefanikiwa tena kupata rais ambaye ni muadilifu ‘down to the earth’ ambaye anataka kujenga nchi iliyotamalaki uadilifu. Chaajabu, tuliokuwa tunaombea apatikane mtu kama huyu, baadhi yetu tumeamua kuchukua upande wa kumvunja moyo na kumchanganya huku tukitengeneza tatizo ambalo badae sisi sisi ndio tutakuja kulaumu.
Utakuwa houseboy wa waziri wewe, ndio maana unachawa sana ili bosi wako aendelee kula kwa urefu wa kamba yake.
 
Utakuwa houseboy wa waziri wewe, ndio maana unachawa sana ili bosi wako aendelee kula kwa urefu wa kamba yake.
Katika mifumo ya ulimwengu, ili kufanikiwa kwenye jambo lolote ni lazima kile kinachotakiwa kifanyike kiwekewe incentives na kinachotakiwa kisitokee kiwe na discouragement.

Kwa mantiki hiyo, kama tunataka nchi yenye uadilifu, na tukapata kiongozi muadilifu, incentive kwake ni kumuunga mkono na kumsaidia anapotaka kusimamia uadilifu, lakini tunapomkatisha tamaa huku tukilaumu kuwa uadilifu uko chini, tunakuwa sisi ni sehemu ya tatizo la msingi.
 
Huko nyuma tulishawahi kueleza kwa kina sana kuwa wanasiasa sio corrupt kwa asili yao. Wapo ambao ni watu waungwana sana. Kinachokuja kuleta shida ni 'Law of demand and supply" Kwa mfano, kama wewe ni mtu wa haki, jamii (mteja) inapenda kusikia unoko unoko tu, wewe unafanyaje? kama wewe ni mkweli, population inataka kusikia uongo unafanya nini?

Kimsingi utakosa incentives na utaamua kuwapa wateja wako wanachotaka . Hili ndilo tatizo Na.1 linalotukabili Tanzania. So tujitahidi kutoa postive incentives ili kuwasaidia watu wema wanataka kusimamia uadilifu badala ya kinyume chake
 
Acha Uchawa
Tatizo letu ni kuwa wengi wetu tunapenda sana kuangalia vitu kwa jicho negative. Ndio maana kibongo bongo hata watu wakisikia mtu kafilisika kwa mfano, wanafurahi kweli.Wakisikia mtu kapigwa wanafurahi zaidi n.k yaani wanapenda sana negativity. Hivyo hata kitu ambacho ni positive watatafuta namna wakipindue ili wa appeal kionekane kama ni negative hivi.

Hatari iiyopo ni kwamba utaratibu huo unajenga jamii ya ajabu ambayo haiwezi kukwamuka hata iweje kwa sababu anayejaribu kukwamua wenzake, wanamvuta chini kurudi shimoni angalau kwa kukatishwa tamaa kama inavyofanyika sasa.
 
KImtu kama Polepole ni vibaya sana kwenye jamii hii leo kimezidi kuniudhi sana
 
Mama anatakiwa azoee, hata rais magufuli alipigwa, alitukanwa na kudhihakiwa hadharani na baadhi ya wateule wa mama huo sio unafiki? pamoja na ubinadamu wake wakutenda mazuri na mabaya, sisi hatuangalii maneno tuu ya mama "kula kwa urefu wa kamba", sasa mbona yanaendana na vitendo alicho kiongea kinaakisi utawala wake
 
Katika mifumo ya ulimwengu, ili kufanikiwa kwenye jambo lolote ni lazima kile kinachotakiwa kifanyike kiwekewe incentives na kinachotakiwa kisitokee kiwe na discouragement.

Kwa mantiki hiyo, kama tunataka nchi yenye uadilifu, na tukapata kiongozi muadilifu, incentive kwake ni kumuunga mkono na kumsaidia anapotaka kusimamia uadilifu, lakini tunapomkatisha tamaa huku tukilaumu kuwa uadilifu uko chini, tunakuwa sisi ni sehemu ya tatizo la msingi.
Kwa hiyo unataka na sisi tushiriki upumbavu wa kuvaa ngozi za nguruwe na uchifu ,kwani ujui wachaga wamemvisha ngozi ya[emoji241][emoji241]
 
Katika mifumo ya ulimwengu, ili kufanikiwa kwenye jambo lolote ni lazima kile kinachotakiwa kifanyike kiwekewe incentives na kinachotakiwa kisitokee kiwe na discouragement.

Kwa mantiki hiyo, kama tunataka nchi yenye uadilifu, na tukapata kiongozi muadilifu, incentive kwake ni kumuunga mkono na kumsaidia anapotaka kusimamia uadilifu, lakini tunapomkatisha tamaa huku tukilaumu kuwa uadilifu uko chini, tunakuwa sisi ni sehemu ya tatizo la msingi.
Unapo ongea hivyo ujue huku chini kuna watu wanafirisika kwa kukosa wateja na biashara zao zingine zinahalibika na kukosa mauzo, na wengine wanafukuzwa kwenye nyumba kwa kukosa kodi ya pango

Wakati wengine wana ambiwa wajipimie.
Kauli za kiongozi zikikosa uthabiti hakuna mtu atahangaika kumsapoti wakati anaona wengine wako vizuri na wengine wako vibaya.

Sasa nakutuma kamwambie huku hali ya chini watu wana hali ngumu sana mauzo yameshuka kiwango cha kutisha na faida hakuna wakati ghalama za uendeshaji zinakuwa kubwa saana kiasi cha kufilisi watu.
Mzunguko haupo kabissa na wale waliokuwa wakisema vyuma vimekaza nao sasa hawapigi kerere tena, sasa sijui wao vimelainiaka?

Afanye mzunguko huku chini ikiwezekana aondoe tozo na kupunguza vitu bei aidha kwa kushusha ghalama ya mafuta iludi 2300 aone watu watakavyochangamka na kumpa hiyo sapoti.
 
Katika mifumo ya ulimwengu, ili kufanikiwa kwenye jambo lolote ni lazima kile kinachotakiwa kifanyike kiwekewe incentives na kinachotakiwa kisitokee kiwe na discouragement.

Kwa mantiki hiyo, kama tunataka nchi yenye uadilifu, na tukapata kiongozi muadilifu, incentive kwake ni kumuunga mkono na kumsaidia anapotaka kusimamia uadilifu, lakini tunapomkatisha tamaa huku tukilaumu kuwa uadilifu uko chini, tunakuwa sisi ni sehemu ya tatizo la msingi.
Lete huo uadilifu unaojinasibu nao hapa. Ni upi huo????
 
Hakuna uhalali wa kisiasa..wa hao unaosema tuwaunge mkono..tunaunga mkono wenye uhalali wa kisiasa..sio wezi wa kura.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kweli tunamtakia Kila la heri afanikiwe vizuri kwa manufaa ya Nchi yetu lakini ni ngumu sana kwa Sababu yeye mwenyewe ameamua kuongoza Nchi ambayo kutokana na madhira ya uchaguzi mkuu wa 2020 kulipekea Taifa kugawanyika na hivo lilihitaji miafaka wa kisiasa ili liwe moja lakini kaja na inavoonekana kanogewa na madaraka hapendi Tena umoja wa kitaifa.
Sasa kwa Hali ya uonevu hawezi kifanikiwa Tena .
 
Alipingwa Nyerere aliyeleta uhuru, sembuse hangaya.
 
Ndugu zangu, ili tufanikiwe kwenye jambo lolote kama taifa, ni lazima tuwe na ‘collective effort’ kuyaendea mafanikio hayo.

Hata tuwe na Rais mwema na muadilifu kama Malaika, hatuwezi kuwa na taifa lenye uadilifu na mafanikio ya maana ikiwa tutafikiri kuwa yeye pekee ndio mwenye jukumu la kutufikisha tuendako na sisi jukumu letu ni kumvunja moyo na kumchanganya. Ikumbukwe, binadamu hata awe muungwana vipi, ikiwa atapata 'external negative pressure kubwa' anaweza kubadilika, sio kwa kuwa anapenda bali kwa kuwa akili ya binadamu hufanya kazi katika mfumo huo.

Hatimaye baada ya kilia lia, hatimae tumefanikiwa tena kupata rais ambaye ni muadilifu ‘down to the earth’ ambaye anataka kujenga nchi iliyotamalaki uadilifu. Chaajabu, tuliokuwa tunaombea apatikane mtu kama huyu, baadhi yetu tumeamua kuchukua upande wa kumvunja moyo na kumchanganya huku tukitengeneza tatizo ambalo badae sisi sisi ndio tutakuja kulaumu.

Kwa mfano; Amewaasa viongozi wafanye mambo kwa kiasi, wafanye mambo kwa kuzingatia wigo wao kisheria (Sphere of influence) na kuchukua haki na stahili zao kwa mujibu wa sheria tu na si vinginevyo.

Hatimaye, tumekuwa tunapindua, maelekezo hayo ambayo ni sahihi kabisa katika angles zote, tumeshadidia eti ameelekeza watu wafanye ufisadi!Ni nini hiki?

Kwa kawaida duniani kote, mtu yoyote akipewa kazi yoyote, anapewa wajibu na haki/stahili (kwa mujibu wa sheria) so tulitaka Mhe. Rais aseme, “Naagiza, kila mtu aende kufanya atakavyo na kuchukua atakacho kwa namna atakavyo”? Au tulitaka aseme ‘Nawaagiza mkatekeleze majukumu yenu na hamtalipwa chochote, yaani mna wajibu bila haki”? Kwa nini tunakuwa na roho mbaya na wanafiki kiasi hiki?

Mnakumbuka wakati falsafa ikiwa 'hapa kazi tu' ilizuka rai kuwa, inapaswa kuwa 'Kazi na bata' kwa kuwa hapa kazi tu maana yake ni wajibu bila haki na kazi na bata ni wajibu na haki?
Alichosema hakistahili kabisa kwa rais wa jamhuri kusema. Na kimedhihirisha tabia yake kuhusiana na uongozi. Ni vigumu sana mtu kuficha character yake. Samia ni mpenda upigaji na amedhihirisha ni muongo aliposema yeye na magufuli ni kitu kimoja.
 
Kila mtu apambane na hali yake.
Kwa maana kila kila kiachwe kijise
Alichosema hakifai kabisa kwa rais wa jamhuri kusema. Ndio Na hicho kinadjihirisha ni mtu wa nna gani. Ni vigumu sana mtu kuficha character yake. Watu lazima watakuelewa.
Alichosema hakistahili kabisa kwa rais wa jamhuri kusema. Na kimedjihirisha tabia yake kuhusiana na uongozi. Ni vigumu sana mtu kuficja character yake. Samia ni mpenda upigaji na amedhihirisha ni muongo aliposema yeye na magufuli ni kitu kimoja.
Amepiga nini na wapi? Ushawahi kusikia watu wanakuambia mtu hawezi kufanikiwa hadi awe mshirikina kwa mfano, hivyo watu wenye mtizamo huo wakiona mtu yoyote aliyefanikiwa kwenye jambo fulani, wanamhusisha na uchawi. Usije kukuta mtizamo wako uneathiriwa katika mtindo huo.
 
Kwa hiyo unataka na sisi tushiriki upumbavu wa kuvaa ngozi za nguruwe na uchifu ,kwani ujui wachaga wamemvisha ngozi ya[emoji241][emoji241]
Dah! kazi kweli kweli. Hata mada huelewi unakurupuka tu.
 
TRA wakitekeleza hii kampeni basi tutafika mbali 👇

IMG-20220130-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom