Tumsaidieni Rais Samia kufikia malengo ya pamoja; Kumvunja moyo na kumchanganya kwa unafiki na roho mbaya sio sawa

Tumsaidieni Rais Samia kufikia malengo ya pamoja; Kumvunja moyo na kumchanganya kwa unafiki na roho mbaya sio sawa

Utakuwa houseboy wa waziri wewe, ndio maana unachawa sana ili bosi wako aendelee kula kwa urefu wa kamba yake.
Huwezi kumsafisha mtu kwakunchafua mwingine...Acha hizo tabia...Ulikuwa una point ila kwakua huu mkweli kwa nafsi yako umejikuta unafanya unafiki...
 
Huwezi kumsafisha mtu kwakunchafua mwingine...Acha hizo tabia...Ulikuwa una point ila kwakua huu mkweli kwa nafsi yako umejikuta unafanya unafiki...
Mkuu, wengine humu JF tumekuwa tukisema toka miaka mingi kwamba TZ Tuna tatizo kubwa zaidi la kijamii kuliko la kuungozi lakini bado watu wanapata shida kutuelewa. Fikiria sasa kama jamii imejaa watu kama huyo jamaa hapo, na viongozi wanatakana na jamii hiyo hiyo ili kuwaongoza watu wa aina hiyo hiyo, fikiria nini kinatarajiwa kutokea sasa.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Dah! kazi kweli kweli. Hata mada huelewi unakurupuka tu.
Sindiyo kumuunga mkono mama ,kwani mama kuna kitu gani cha maana anacho fanya zaidi ya upuuzi wa kuvaa ngozi na matambiko ,nitajie kimoja tu kama kipo
 
Back
Top Bottom