Tetesi: Tumtegemee RC Mtaka Dar?

Tetesi: Tumtegemee RC Mtaka Dar?

Anaongozaje mabalozi? Huyu ni kiongozi mzembe. Hafanyi kazi na watu wake badala yake anaongoza. Watu hawapendi kuongozwa ila wanapenda muwe wote kwenye aamuzi ndipo takapofanikiwa!
Halafu anaposema anaongoza mabalozi, je yeye ataongozaje mabalozi na viongozi wengine wakati Rais yuko hapa? Yeye anajiona rais msaidizi?
Nakumbuka siku moja alisema kuwa Rais akihamia Do anaomba aachiwe ofisi ndogo ya Dar.
I hope rais hatafanya makosa hayo kwani Bashite ataletea nchi aibu nyingi sana sana 🙂 🙂 🙂
 
RC Mtaka akae chonjo; kuna watu wa kuwaamini kwa kauli zao na wengine kauli zao zinaweza kuwa na maana tofauti sana!
Labda kama tafsiri ya neno "kichaa kichaa" imebadilika siku hizi tofauti na enzi za Shaabani Robert na mwalimu Kiimbila!!
 
Sikutegemea kama ungewaza namna hii. Mimi pia namuonaga mzee kama anatania hivi...

Unakumbuka issue ya zile ndinga kwenye makontena ya viatu!!? Ivi wale wenye makontena walishapelekwa mahakamani?
Hakika kauli za magu siyo za kushangilia sana anaweza akajicontradict mwenyewe on the same event
 
Wewewe funga semeo lako hili ni jiji langu na nimlufuku kurudia maneno hayo ukiwa hapa mkoani kwangu
 
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.

Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.

Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Nadhani wewe ni miongoni mwa wengi wasiomjua mpaka sasa mkuu wa nchi!
 
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.

Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.

Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Inawezekana amefanikiwa huku Simiyu lakini akashindwa kupambana na changamoto za Dar. Halafu pia, kila Simiyu nayo ni sehemu ya Tanzania inahitaji kiongozi mzuri, mwenye utendaji mzuri
 
Pia haumsikii sana "akigombania" nafasi kwenye vyombo vya habari au mitandao ya kijamii. Kiukweli RC Mtaka anajitahidi sana.

Kama ataletwa Dar, natuamini mipango na utekelezaji wa miradi ya maendeleo aliyoanzisha Simiyu haita suasua au kufa kabisa.
Vp huyu DC mpya huko Arumeru hajatajwa na mzee!
 
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.

Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.

Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.

Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.

Mchumi Halisi
Sept 08

RC Mtaka piga kazi!! Huko Arumeru kuna Kaboka mchizi anarusha maneno, sijui kwenye record za mzee atakuwa namba ngapi jamani!!
 
Back
Top Bottom