Tetesi: Tumtegemee RC Mtaka Dar?

Tetesi: Tumtegemee RC Mtaka Dar?

Niwe muwazi tu ,RC mtaka anatekeleza majukumu yake kwa kiasi , lakini sioni cha ajabu alichokifanya adi kupewa sifa zilizopitiliza(promotion zimezidi).Mkiniambia ya kwamba "anaunafuu" kulinganisha na wakuu wa mikoa mingine apo nitakubali na sitakuwa na ubishi.
 
Niliangalia hotuba ya rais akimsifia rc mh rais alisema kufanya kazi cyo lazma kupigapiga kelele unaweza ukafanya kazi kimya kimza alafu nzuri
Watendaji wa kimya kimya ndo weledi mara nyingi sana. Jamaa wengi wa awamu hii kama uneisoma ni full maonyesho ya saba saba. Ifike sehemu mikoa isimamie ukuaji wa uchumi ili chumi za mikoa ziwe na tija mi naona mikoa mingine inatoa macho tu. Anachokifanya mh Mtaka ndo kinachotakiwa
 
Watendaji wa kimya kimya ndo weledi mara nyingi sana. Jamaa wengi wa awamu hii kama uneisoma ni full maonyesho ya saba saba. Ifike sehemu mikoa isimamie ukuaji wa uchumi ili chumi za mikoa ziwe na tija mi naona mikoa mingine inatoa macho tu. Anachokifanya mh Mtaka ndo kinachotakiwa
Tusikimbilie kuhukumu wakuu wa mikoa mingine, pingine huwa wanafanya vizuri tu lakini midia ndo haziwafikii, Mathalani wangapi hapa wanamfahamu mkuu wa mkoa wa Katavi?
Nadhani itakuwa vizuri sasa kama tunaweza kuorozesha mafanikio ya kila mkuu wa mkoa, mfano mkuu wa mkoa fulani kasimamia ujenzi wa viwanda vingapi, ubunifu wake kuchochea maendeleo ya wananchi, utatuzi wa kero za wananchi na mambo mbalimbali hapo tutakuwa tumeitendea haki jamii forum lakini tukitoa maneno matupu tu na kuishia kulaumu hii sio tabia ya greater thinkers.
 
Kama idara inaongozwa kimajungu majungu na fitina fitina matokeo kama hayo yanatokea.
Kama kweli Raisi anatilia mashaka taarifa kutoka idarani basi kuna tatizo kubwa na ni hatari sana
This explains why baada ya kumtumbua Diwani amegundua walimwingiza chaka sasa kaamua kumpa ukurugenzi TAKUKURU.
 
Ila kwa kauli ya kusema kuwa alipewa taarifa na watendaji wake kuwa mtaka ni mtu asiyefaa hii inadhihirisha kuwa taasisi yetu inafanya kazi kwa majungu na unafiki badala ya kufanya kazi kwa tija na uweledi
Na hiyo kauli yaweza kuwa fundisho tosha kwa tasisi husika
 
Niwe muwazi tu ,RC mtaka anatekeleza majukumu yake kwa kiasi , lakini sioni cha ajabu alichokifanya adi kupewa sifa zilizopitiliza(promotion zimezidi).Mkiniambia ya kwamba "anaunafuu" kulinganisha na wakuu wa mikoa mingine apo nitakubali na sitakuwa na ubishi.
Wabongo mna wivu sana na roho za kwanini hata mwenzio afanye jema lipi kamwe hamuwezi kusifia
 
Niwe muwazi tu ,RC mtaka anatekeleza majukumu yake kwa kiasi , lakini sioni cha ajabu alichokifanya adi kupewa sifa zilizopitiliza(promotion zimezidi).Mkiniambia ya kwamba "anaunafuu" kulinganisha na wakuu wa mikoa mingine apo nitakubali na sitakuwa na ubishi.
Mkuu,
Hata ma Rais wote wa tz kuanzia nyerere hadi huyu aliyejiita Kichaa, hakuna Rais bora bali afadhali.

Hivyo mtaka ana afadhali ya wote
 
Tusikimbilie kuhukumu wakuu wa mikoa mingine, pingine huwa wanafanya vizuri tu lakini midia ndo haziwafikii, Mathalani wangapi hapa wanamfahamu mkuu wa mkoa wa Katavi?
Nadhani itakuwa vizuri sasa kama tunaweza kuorozesha mafanikio ya kila mkuu wa mkoa, mfano mkuu wa mkoa fulani kasimamia ujenzi wa viwanda vingapi, ubunifu wake kuchochea maendeleo ya wananchi, utatuzi wa kero za wananchi na mambo mbalimbali hapo tutakuwa tumeitendea haki jamii forum lakini tukitoa maneno matupu tu na kuishia kulaumu hii sio tabia ya greater thinkers.
Mkoa wa simiyu ni mchanga, hivyo suala la media halina mashiko.

Katavi ipo juu zaidi ya simiyu.

Mtaka kajitahidi Simiyu ionekane mkoa imara na wenye ushawishi.
 
Mkoa wa simiyu ni mchanga, hivyo suala la media halina mashiko.

Katavi ipo juu zaidi ya simiyu.

Mtaka kajitahidi Simiyu ionekane mkoa imara na wenye ushawishi.
Hujaelewa nilichomaanisha rudia kusoma uzi wangu unahitaji nini
 
Ila sio wakuamini sana Jiwe, huwa anabadilika kutokana na Mazingira alipokuwa simiyu anawafagilia wafugaji na kuona serikali ndio inaonea wafugaji kwa kuua viwanda vya kusindika nyama na bidhaa zitokanazo na mifugo. Wakati wameshadhulumu sana ng'ombe wa watu mpaka wanajistukia na kuanza kuona nouma na mkuu anajitoa leo wakati mwenzie Kenyata mpaka kalipa fidia kutokana na misimamo ya sifa za kishamba.
Wengine tunaona tunalazimishwa kusikia ujinga huo huo kutoka kwa watu walewale kila siku, kama ingekuwa bus tungeshuka njiani manake hizi sinema tunazoletewa yaani leo Jiwe anataka kutuaminisha hayuko pamoja na Bashite wakati damage walioleta imegharimu mpaka maisha ya watu.
 
kama mnamuona RC bora mbona alipiga marufuku maandamano ya ukuta wenu?
SIMIYU???!lazima ung'ae tu
Mko wenye watu milioni mbili huwezi kulinganisha na mkoa wenye watu milioni 6 kichangamoto
 
Back
Top Bottom