Bashite kutolewa Dar ni sawa na magufuli kuhamia ukawa
extreme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashite kutolewa Dar ni sawa na magufuli kuhamia ukawa
Mtaka ni theorist. Anawaza mambo mengi kweli na akikusimulia yanaleta maana ila hayatendeki. Kamati ya olimpiki ya riadha ilimshinda hivihivi kwasababu ya nadharia. Anafanya ambacho binadamu wengi wenye akili hufanya ( kuwaza mambo mazuri lakini hayatendeki). Katika mashrika makubwa mtu wa aina yake hua kwenye kitengo cha strategic planning and management.Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.
Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.
Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Ni vigumu sana kubadili mpambe wa malkia maana siri nyingi zitavujishwa na yule aliyebadili.Dar kuna RC mtetezi wa wanyonge ambae kwa mapenzi yake amewaletea walimu wa Dar viti na meza kutoka Unyamwezini.
Au watakuwa ma RC wawili Dar?
Huyu labda Mwenyekiti wa kataRC wa Dar ajae ni kada shupavu Jerry Muro.
Ni kweli ni demotion lkn by virtue of being katibu Mkuu naamini ana uzoefu mzuri wa kushughulika na mambo ya mikoani ambapo idara kuu za huduma za jamii zipo Tamisemi.Pili,demotion inaweza ikawa sio kwa utendaji mbovu bali kuhitilafiana katika misimamo.Alifanya nini Tamisemi..kwnz hiyo ni demotion toka katibu mkuu hadi katibu tawala..Mtaka mwenyewe ndio driver wa success hiyo..
Mtaka ni theorist. Anawaza mambo mengi kweli na akikusimulia yanaleta maana ila hayatendeki. Kamati ya olimpiki ya riadha ilimshinda hivihivi kwasababu ya nadharia. Anafanya ambacho binadamu wengi wenye akili hufanya ( kuwaza mambo mazuri lakini hayatendeki). Katika mashrika makubwa mtu wa aina yake hua kwenye kitengo cha strategic planning and management.
Dar inahitaji mfanyabiashara mwenye kaliba ya George Washington, sio Makonda wala Mtaka. Mwanajeshi ambae ni mfanyabiashara ndo anatakiwa disala.
Huyu jamaa nami huwa namkubali ingawa yupo chama ninacho kichukia ila Mataka ni mtendaji anaye jitambua kwenye baadhi ya mamboZiara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.
Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza watendaji wake kuweka watu ndani 'ovyo ovyo' badala yake wawaelimishe, Kitu ambacho watu walianza kusema kuwa hio sio kauli nzuri kwa utawala huu sasa leo Rais kathibitisha kuwa Mtaka ndiye RC BORA kuliko wote kwa mujibu wa taarifa zake ambazo anapatiwa, Hii inaashiria tumtegemee kwenye jiji hili lenye changamoto mbalimbali hivi punde?? Bado najiuliza.!!! Lakini niliwahi kupewa uzi na mtu 'Nyeti' kuwa miongoni mwa watu wanaoeleweka na mzee ni huyo Mtaka..! TUJIPE MUDA TU.
Mchumi Halisi
Sept 08 2018
Huyo wa dar siku zake za kubakia ofisini zinahesabika baada ya kushindwa kula na kipofuDar kuna RC mtetezi wa wanyonge ambae kwa mapenzi yake amewaletea walimu wa Dar viti na meza kutoka Unyamwezini.
Au watakuwa ma RC wawili Dar?
Atatoka tuBashite kutolewa Dar ni sawa na magufuli kuhamia ukawa
Duuu TBC?unamoyo wa ajabuHuyu Mtaka nilisikiliza interview yake siku moja na TBC yuko vizuri kichwani
Acha kuwa na maneno ya taarabu mtoto wa kiume utakuja kuolew.a. Unauliza swali gani ilo la kitoto, ina maana hujui idara gani inayohusika na kufanya vetting na kumshauri mheshimiwa juu ya teuzi zake?Umeshavimbiwa makande sasa unajambajamba tu, kwa akili zako ndogo Rais anapaswa kupata briefing kutoka kwa nani?
Sikutegemea kama ungewaza namna hii. Mimi pia namuonaga mzee kama anatania hivi...Kauli za magufuli siyo za kuamini sana maana huwa anajicontradict after few seconds
Atatolewa tuu!! Subiri kidogo tu.Bashite kutolewa Dar ni sawa na magufuli kuhamia ukawa
Dar nyumbani kwa wakina DIMONDI ndio maana anataka kupelekwa.haswaa... Itakua ajabu mtumishi mzuri eti ndio apelekwe dar, kwani wanasimiyu hawahitaji mtumishi mzuri?
Ndio kwani kidoti sio binadamu mbona yuapokea ushauri wake.Hivi jiwe huwa anasikiliza Ushauri wa binadamu yeyote?
Sasa Simiyu imeonakana ina ushawishi gani?? Kuonyesha jeshi la ngoma au??Mkoa wa simiyu ni mchanga, hivyo suala la media halina mashiko.
Katavi ipo juu zaidi ya simiyu.
Mtaka kajitahidi Simiyu ionekane mkoa imara na wenye ushawishi.
Na mkoa wake pamoja na wananchi wake wa Dar amuachie nanim?Ingekuwa vizuri sana kama DAB angehamishiwa Mbeya.