Tumuombee kwa Mungu brother Stevie B ainuke

Tumuombee kwa Mungu brother Stevie B ainuke

Kiukweli hii habari nilipoisikia imenisikitisha sana. Unaweza kukuta mpaka inatangazwa tayari hali ni mbaya sana. Wadau na wapenzi wa burudani tushikamane na familia yake kumsaidia na kumuombea.
 
Nlikuwa kwa siku nakataa nyagi kubwa 2 na kasichana juu na visafari kadhaa bia
Sahv nmepungza kasi Sana [emoji23][emoji23]

Ova
Punguza aisee! Ukinywa usiku asubuhi kunywa maji mengi sana kutwa nzima ,jioni unapiga tena tungi,inasaidia kidogo,ingawa sometimes kuumwa ugojnwa fulani ni mipango ya Mungu.ila kinga ni bora kuliko tiba.

Ova
 
Kiukweli hii habari nilipoisikia imenisikitisha sana. Unaweza kukuta mpaka inatangazwa tayari hali ni mbaya sana. Wadau na wapenzi wa burudani tushikamane na familia yake kumsaidia na kumuombea.
Inasikitisha sana mkuu,inaonekana ameanza kupata changamoto ya ugonjwa mwanzoni mwa mwaka 2019 feb-april.
 
Mkuu mbona ambao hawatumii pombe ndio waathirika wakubwa,mimi naona haijalishi unakunywa pombe au juice ....nliwahi fiks muhimbili jengo jirani na jk watoto wengi nliwaona hapo wanatatizo la figo,nliumia sana kuona tabu wanazopata
Ndy hpo Sasa.....
Maajabu Kweli

Ova
 
I remember back in the days at Tambaza, we used to rock crowds. Stevie B more in the low key, Saigon (Dewplomatz), Y-Thang (Kwanza Unit) and quite a few other brothers styling and profiling impeccably.

Stevie always came correct with that crisp and sharp delivery, debonair flair with perfect savoir-faire.

Get well soon my brother.
 
I remember back in the days at Tambaza, we used to rock crowds. Stevie B more in the low key, Saigon (Dewplomatz), Y-Thang (Kwanza Unit) and quite a few other brothers styling and profiling impeccably.

Stevie always came correct with that crisp and sharp delivery, debonair flair with perfect savoir-faire.

Get well soon my brother.
Waliturusha sana enzi zile,get well soon...
 
Sababu ziko nyingi sana jitahid kufanya checkup ya mwili marakwamara.
-kutokunywa maji ya kutosha kwa siku
-kutokufanya mazoez
-kunywa dawa bila ushaur wa dactar km Antibiotics
-kunywa pombe kwa wing zile kali
Jiepushe kupata magonjwa km
/malaria,kisukari,high blood pressure,UTI,
HIV.haya magonjwa hupelekea figo kupata shida
Tatizo la figo sasa linakuwa kwa kasi sana na hii ni kutokana na life style yetu tunavyoish..
Kwa luga rahis figo kwny mwili kaz yake ni kuchuja taka zilizopo mwilin na kutoka kwa njia ya mkojo
Point ya kwanza na ya pil tuzingatie sana usipokunya maji unaichosha figo kuchuja taka mfano ukinywa maji mengi utakojoa mkojo clear huna rang na haunuk inamaanisha dilution ilikuwa kubwa nazimetoka kirahis ila usipokunywa mkojo uko concetrated sana na harufu kali inamaanisha nying zimebak na dilution ilikuwa ndogo.
Chief umefanya mpaka ninunue maji makubwa na kuyanywa kwa fujo
 
Inasikitisha sana mkuu,inaonekana ameanza kupata changamoto ya ugonjwa mwanzoni mwa mwaka 2019 feb-april.
Naona kampeni ya kumchangia haiko effective kivile zaidi ya watu kurepost ujumbe wa DJ Venture. Kwanza nilitegemea Clouds wenyewe washikie hili bango maana DJ Steve B ndio DJ nembo halisi ya Clouds ukimtoa DJ Boniluv na DJ Charles. He deserve special attention ASAP.

Bila kusahau ukimtoa DJ John Dilinga hakuna DJ mwenye mchango mkubwa kwenye kupiga bongofleva kama Steven Mdoe. Radio Clouds wanaweza kuendesha kampeni maalum ya kiburudani kuokoa maisha ya Steve. No more delays, tumsaidie kwa kila kidogo tulichonacho akatibiwe.
 
Hili linafikirisha sana. Imagine enzi hizo DJ Steve B simu ngapi zilikuwa zinaita kutoka kwa wasanii wakitaka apige nyimbo zao! Leo kutosikika for sometimes wengine hata kurepost tatizo lake wanaona uzito achilia mbali kupita hospitali kumjulia hali! Kwakweli tusijisahau kwasababu ya nafasi zetu za sasa, hatujui kesho yetu, Mungu atusaidie [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom