King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
-
- #61
Kabisa Clouds wasimamie show nzima maana Kidney transplant/implantation zipo sana india na atapona wakifanya hivyo.Naona kampeni ya kumchangia haiko effective kivile zaidi ya watu kurepost ujumbe wa DJ Venture. Kwanza nilitegemea Clouds wenyewe washikie hili bango maana DJ Steve B ndio DJ nembo halisi ya Clouds ukimtoa DJ Boniluv na DJ Charles. He deserve special attention ASAP.
Bila kusahau ukimtoa DJ John Dilinga hakuna DJ mwenye mchango mkubwa kwenye kupiga bongofleva kama Steven Mdoe. Radio Clouds wanaweza kuendesha kampeni maalum ya kiburudani kuokoa maisha ya Steve. No more delays, tumsaidie kwa kila kidogo tulichonacho akatibiwe.
We msukuma utamjulia wapitupatie hadithi yake kidogo huyu bwana steve b..... MIMI SIMJUI NA SIWEZI KUMTAKIA LOLOTE NISIYEMJUA.
Msu?We msukuma utamjulia wapi
KMsu?
Kwa jina la Yesu tumeomba ...Upone haraka Steve.
Asante maana tatizo la figo ni balaa siku hizi na matibabu yake ni balaa. Get well DJ Steve B ..Sababu ziko nyingi sana jitahid kufanya checkup ya mwili marakwamara.
-kutokunywa maji ya kutosha kwa siku
-kutokufanya mazoez
-kunywa dawa bila ushaur wa dactar km Antibiotics
-kunywa pombe kwa wing zile kali
Jiepushe kupata magonjwa km
/malaria,kisukari,high blood pressure,UTI,
HIV.haya magonjwa hupelekea figo kupata shida
Tatizo la figo sasa linakuwa kwa kasi sana na hii ni kutokana na life style yetu tunavyoish..
Kwa luga rahis figo kwny mwili kaz yake ni kuchuja taka zilizopo mwilin na kutoka kwa njia ya mkojo
Point ya kwanza na ya pil tuzingatie sana usipokunya maji unaichosha figo kuchuja taka mfano ukinywa maji mengi utakojoa mkojo clear huna rang na haunuk inamaanisha dilution ilikuwa kubwa nazimetoka kirahis ila usipokunywa mkojo uko concetrated sana na harufu kali inamaanisha nying zimebak na dilution ilikuwa ndogo.
Kwahiyo mzee baba unaonja siku hizi [emoji41][emoji41]Hiyo #4 inatuhusu ndomana tungi Sahv nmepungza kwa kiasi Kikubwa
Ova
Napiga, kwa ktk wiki Mara 3 doziKwahiyo mzee baba unaonja siku hizi [emoji41][emoji41]
Sio mbaya Mkuu.Napiga, kwa ktk wiki Mara 3 dozi
Ila dozi ya kawaida tu
Ova
Anaendeleaje huyu mgonjwa
Wakuu Salam, huyu dj anaendelea je kwa sasa, ni muda sana sijasikia taarifa yake hasa baada ya kuugua maradhi ya figo.
Ushachelewa we jiandae kusafisha figo hizoHiyo #4 inatuhusu ndomana tungi Sahv nmepungza kwa kiasi Kikubwa
Ova
[emoji28][emoji28]Ushachelewa we jiandae kusafisha figo hizo