TANMO JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 11,763 Reaction score 11,873 Aug 2, 2023 #81 pwilo said: Maisha haya sasa hivi wanachangisha hela ya rambi na kumpa promo marehemu ila bongo noma sana wanafiki kila kona. Click to expand... Jana nimemsikia DJ Venture anasema ilibidi wamchangie huyu Marehemu pesa ya kununulia Bajaji ili aweze kujikimu kimaisha. Nimejiuliza maswali mengi mno. Anyway, R.I.P...
pwilo said: Maisha haya sasa hivi wanachangisha hela ya rambi na kumpa promo marehemu ila bongo noma sana wanafiki kila kona. Click to expand... Jana nimemsikia DJ Venture anasema ilibidi wamchangie huyu Marehemu pesa ya kununulia Bajaji ili aweze kujikimu kimaisha. Nimejiuliza maswali mengi mno. Anyway, R.I.P...
Kichogo JF-Expert Member Joined Jun 10, 2016 Posts 2,094 Reaction score 3,218 Aug 3, 2023 #82 TANMO said: Jana nimemsikia DJ Venture anasema ilibidi wamchangie huyu Marehemu pesa ya kununulia Bajaji ili aweze kujikimu kimaisha. Nimejiuliza maswali mengi mno. Anyway, R.I.P... Click to expand... Kaanza kuumwa muda naukumbuke matibabu yafigo nigharama mno
TANMO said: Jana nimemsikia DJ Venture anasema ilibidi wamchangie huyu Marehemu pesa ya kununulia Bajaji ili aweze kujikimu kimaisha. Nimejiuliza maswali mengi mno. Anyway, R.I.P... Click to expand... Kaanza kuumwa muda naukumbuke matibabu yafigo nigharama mno