Tumuombee mzee Wasira

Tumuombee mzee Wasira

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Sijui kwanini familia ya Mzee Wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo.

Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

1737642905477.jpeg


Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
 
Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

View attachment 3211251
Kanzu ya ijumaa hufuliwa alhamisi. Mzee bado nguvu anazo sana ngojeni October ifike kampeni zikianza ndio mtajua kuwa umri ni namba tu lakini akili ya Mzee Wasira ni sawa na kijana wa miaka 38 tu!
 
Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

View attachment 3211251
Hapo alipofikia akipiga chafya inakuwa kama kapiga screenshot🤣🤣🤣.

Kila sehemu inatoa mzigo wake.
 
Kanzu ya ijumaa hufuliwa alhamisi. Mzee bado nguvu anazo sana ngojeni October ifike kampeni zikianza ndio mtajua kuwa umri ni namba tu lakini akili ya Mzee Wasira ni sawa na kijana wa miaka 38 tu!

Hivi kwa sheria za kisasa chaguzi ni maigizo tu. Usama wa taifa na Polisi ndiyo wafanya kampeni za CCM. Yaani nchi hii kupiga kura ni kama bure ndiyo maana kwanza sheria zibadilishwa maana bila hivyo ni bora watu wakee nyumbani wamuache mzee akatumie dawa zake. Bila sheria kuboreshwa watu wengi hawatapiga kura. Kura zitakuwa fake kama hizi za serikali ya mtaa.

Wengi hapa hatujali vyama iwe chama chochote tunajali haki na uhuru wa watu kuchagua wampendae.

Hili ni swala la kifamilia zaidi. Kumsalia mtu ni uamuzi wako lakini sio vizuri kuwatumia wazee na watoto kwa manufaa binafsi
 
Kama mnamsikiliza na kumuelewa haina haja ya kumlazimisha astaafu siasa. Sisi wengine tumejikita kulima kilimo cha magimbi hatujui hata ana cheo gani.
 
Na makuzi ya Marekani Sio ya Tanzania ndugu..
Angalia hata wastani wa kuishi ukiwa kule na ukiwa hapa Tanzania.

Japo pia iko hivyo ila Biden alikuwa muungwana akaachini usukani. Angekuwa Africa Wasingekubali
Hoja dhaifu. Ngoja nikuache.
 
Back
Top Bottom