Tumuombee mzee Wasira

Tumuombee mzee Wasira

Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

View attachment 3211251
Biden kaamua kupumzika huyu Wasira anajiandaa kuanza kazi
 
Tatizo sio umri Ila uwezo wake umekaaje?.


Nafikiri kapewa cheo cha molto ambacho anaweza akadumu nacho mwaka mmoja kuanzia sasa na sio cheo cha maamuzi wala heka heka.


Kitu pekee nachohua Ccm wanazingatia ni kulinda na kupambana ili wasitoke madarakani kwa gharama yoyote.


Na pia ukiwa Ccm hauruhisiwi kuwa na mawazo mbadala.


Miaka 80 inaweza kuwa Mingi katika kuishi na sio kufanya Kazi.
 
Tatizo sio umri Ila uwezo wake umekaaje?.


Nafikiri kapewa cheo cha molto ambacho anaweza akadumu nacho mwaka mmoja kuanzia sasa na sio cheo cha maamuzi wala heka heka.


Kitu pekee nachohua Ccm wanazingatia ni kulinda na kupambana ili wasitoke madarakani kwa gharama yoyote.


Na pia ukiwa Ccm hauruhisiwi kuwa na mawazo mbadala.


Miaka 80 inaweza kuwa Mingi katika kuishi na sio kufanya Kazi.
Hivi mtu wa miaka 80 anaweza kusimama jukwaani na kuongea dk 90?
Mimi nadhani hii ni mateso, ni kama adhabu. Mimi nisingekubali.
 
Hivi mtu wa miaka 80 anaweza kusimama jukwaani na kuongea dk 90?
Mimi nadhani hii ni mateso, ni kama adhabu. Mimi nisingekubali.

Pale Bukoba alikuepo mzee anaitwa Rwangisa akifariki akiwa na 80+ na alifariki akiwa Diwani.

Amewahi kuwa meya wa Bukoba mjini
Amewahi kuwa Mkuu wa mkoa
Amewahi kuwa Mwenyekiti wa KCU
Amewahi kuwa Mbunge .


Mwaka 1995 Nyerere alipokuja Bukoba ndo alimuondoa katika kura za maoni za Ccm Ila bado alirudi tena mwaka 2000 Kama diwani tena.



Inahitaji hekima Sana mtu kujua kuwa huu muda sasa ni wa vijana au Kuona Kuwa inatosha.


Watu Kama Wasira wapo wengi ni vile wengine hawajulikani Sana.
 
Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

View attachment 3211251
Huyo mzee ana akili kuliko wewe. Vijana wa siku hizi na huo udumavu wa lishe huwezi kuukaribia uwezo wa huyo mzee.
 
Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

View attachment 3211251
Trump ana miaka mingapi.
 
Hu
Hivi kwa sheria za kisasa chaguzi ni maigizo tu. Usama wa taifa na Polisi ndiyo wafanya kampeni za CCM. Yaani nchi hii kupiga kura ni kama bure ndiyo maana kwanza sheria zibadilishwa maana bila hivyo ni bora watu wakee nyumbani wamuache mzee akatumie dawa zake. Bila sheria kuboreshwa watu wengi hawatapiga kura. Kura zitakuwa fake kama hizi za serikali ya mtaa.

Wengi hapa hatujali vyama iwe chama chochote tunajali haki na uhuru wa watu kuchagua wampendae.

Hili ni swala la kifamilia zaidi. Kumsalia mtu ni uamuzi wako lakini sio vizuri kuwatumia wazee na watoto kwa manufaa binafsi
Huna point umebwabwaja tu
 
Pale Bukoba alikuepo mzee anaitwa Rwangisa akifariki akiwa na 80+ na alifariki akiwa Diwani.

Amewahi kuwa meya wa Bukoba mjini
Amewahi kuwa Mkuu wa mkoa
Amewahi kuwa Mwenyekiti wa KCU
Amewahi kuwa Mbunge .


Mwaka 1995 Nyerere alipokuja Bukoba ndo alimuondoa katika kura za maoni za Ccm Ila bado alirudi tena mwaka 2000 Kama diwani tena.



Inahitaji hekima Sana mtu kujua kuwa huu muda sasa ni wa vijana au Kuona Kuwa inatosha.


Watu Kama Wasira wapo wengi ni vile wengine hawajulikani Sana.
Trump ni kijana wa miaka mingapi? Uongozi ni uwezo umri ni namba tu.
 
Huyo mzee ana akili kuliko wewe. Vijana wa siku hizi na huo udumavu wa lishe huwezi kuukaribia uwezo wa huyo mzee.
Angekuwa baba yako wa miaka 80 unge mruhusu akawe Chawa kwa miaka hiyo?
 
Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

View attachment 3211251

Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Kwa nini asikatae?
 
Chadema mnaanza kuogopa mpaka mababu mna hali mbaya sana.
Ccm bila kutumia Polisi hamtoboi!! Ndio maana mama Abdul kwa uelewa wake mdogo anawaomba JWTZ wasaidie wakati wa uchaguzi mkuu mwezi wa kumi!! Hajui kuwa JWTZ HAWASHUHILIKI na mambo ya siasa!!
Ukiwaingiza wanajeshi kwenye siasa zenu, next time watakupindua😳😳
 
Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.

Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.

Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏

View attachment 3211251

Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
We subiri tu siku Heche akianza kumpelekea Sokomoko kama watu wa Mara wanavyosemaga... Kambale (emome) na masharubu yake yanaweza kwenda 6ft kwa pressure ya kuto deliver. CCM muoneeni huruma huyu mzee kwa kweli. Vipaji vipo vingi humo ndani vya kutosha. Kwa nini Wasira? Ingefaa apumzike kama Warioba tu.
 
Back
Top Bottom