We subiri tu siku Heche akianza kumpelekea Sokomoko kama watu wa Mara wanavyosemaga... Kambale (emome) na masharubu yake yanaweza kwenda 6ft kwa pressure ya kuto deliver. CCM muoneeni huruma huyu mzee kwa kweli. Vipaji vipo vingi humo ndani vya kutosha. Kwa nini Wasira? Ingefaa apumzike kama Warioba tu.
Donard Trump kazaliwa June 14 mwaka 1946.USA waliliona hili wakamuondoa BIDEN.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Marekani si alishauriwa ajiondoe na akafanya hivyo? Huku ni kinyume.
Sawa kabisa.Mbona umri wake ni sawa na trump rais mteule wa marekani
Donard Trump kazaliwa June 14 mwaka 1946.Huyu Babu alikuwa ni zamani sasa hivi wamuache awe anatoka kuota jua na kucheza Bao.
Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.🙏🏿👌🏿💪🏿Sijui kwanini familia ya Mzee wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.
Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo. Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.
Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏
View attachment 3211251
Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Ukiachana na umri je haiba zinafanana?Donard Trump kazaliwa June 14 mwaka 1946.
Stefen Wasira kazaliwa July 1 mwaka 1945. Tafauti ya Trump na Wasira ni mwaka mmoja tu.
Kwahiyo kama Wasira haifai na Trump haifai kwakuwa Trump mwakani atakuwa na miaka 80 sawa na Wasira wa Leo.
Biden aliambiwa na alishauliwa apumzikeIla yakifanyika Marekani is not a big deal sio!?
Tangu lini mtu mweupe akawa na nguvu za kiwiliwili kumshinda mtu mweusi?! Wewe unaamini Mzee Wasira akikamatana mieleka na Mzee Trump , Trump atafika hata raundi ya pili?! Miili ya watu weusi ni miili iliyokomaa kutokana na kupambana na shida mbalimbali kama kutembea kwa miguu umbali mrefu nk ukiachilia mbali neema ya kula vyakula vya asili ambavyo havijasindikwa na kuchanganywa na kemikali za viwandani , ndiyo maana hata wanawake wa kizungu wanaenjoy sana kusex na wanaume weusi, kwahiyo mzee Wasira ana nguvu sana za mwili na akili kumshinda mzee Trump.Ukiachana na umri je haiba zinafanana?
Huwezi kuwafananisha Trump Diet yake imejaa Vitamins na huyu Mzee anaeonekana wazi ana malnutrition.Donard Trump kazaliwa June 14 mwaka 1946.
Stefen Wasira kazaliwa July 1 mwaka 1945. Tafauti ya Trump na Wasira ni mwaka mmoja tu.
Kwahiyo kama Wasira haifai na Trump haifai kwakuwa Trump mwakani atakuwa na miaka 80 sawa na Wasira wa Leo.
Donard Trump kazaliwa June 14 mwaka 1946.
Stefen Wasira kazaliwa July 1 mwaka 1945. Tafauti ya Trump na Wasira ni mwaka mmoja tu.
Kwahiyo kama Wasira haifai na Trump haifai kwakuwa Trump mwakani atakuwa na miaka 80 sawa na Wasira wa Leo.
Apumzike kwa amani...Sijui kwanini familia ya Mzee Wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.
Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo.
Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.
Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏
View attachment 3211251
Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Halafu wahuni wamemvisha mavazi ya waganga wa kienyeji tayari kupiga ramli.....Hizi siasa za chama chakavu zinafikirisha sana.Sijui kwanini familia ya Mzee Wasira wameruhusu hili la kuendelea na siasa. Kuna umri mtu unafikia familia ndiyo inatakiwa kufanya maamuzi na umri huo ni wa mzee Wasira.
Huyu ni mzee ambaye anasahau mpaka yupo awamu gani kitendo cha kuwaachia CCM wamtumie mzee wenu hivi ni kitendo cha unyangasaji na sio kitendo cha upendo.
Kwa umri wake anatakiwa kuangaliwa zaidi kuhakikisha anatumia dawa zake, ana fanya mazoezi na ana lala vizuri. Sio umri wa kwenda kushindana na kijana kama Heche.
Tumuweke huyu mzee kwenye sala zetu bila kujali vyama. Angeweza kuwa baba yako🙏
View attachment 3211251
Soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Unafananisha afya za wamarekani na hizi zetuIla yakifanyika Marekani is not a big deal sio!?
Uchaguzi ungekuwa wa haki kama ule wa cdm ungeona wazee wa aina ya Wassira? Huyo mzee hana lolote la maana analoweza kufanya, sana sana atafaidiki na mbeleko ya vyombo vya dola ambayo ndio roho ya hicho chama.Kanzu ya ijumaa hufuliwa alhamisi. Mzee bado nguvu anazo sana ngojeni October ifike kampeni zikianza ndio mtajua kuwa umri ni namba tu lakini akili ya Mzee Wasira ni sawa na kijana wa miaka 38 tu!
nendeni ovyo ovyo babu atulize mtuHuyu Babu alikuwa ni zamani sasa hivi wamuache awe anatoka kuota jua na kucheza Bao.
Mtu wa huku ambae hajakulia haya maisha ya chipsi yai sijui kuku broila ana afya nzuri kuliko huyo mmarekani anaekula mavyakula ya gmo na mifugo yenye kemikali za kutoshaUnafananisha afya za wamarekani na hizi zetu