Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Aiseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu sijawahi kuelewa wanasema hata ukiwa na figo moja inapiga kazi sijui inakuaje zinafail kwa pamoja
Inawezekana mfumo wa maisha. Ulaji na aina ya vyakula hasa vinywaji. Mawazo yangu tu lakini.Aisee hatari, hivi hii issue ya figo kufeli imekaaje aisee naona sikuhizi inashika kasi sana tena kwa vijana wadogo. Ni nn hasa nikapelekea hali hiyo[emoji26][emoji26]
Aisee hatari, hivi hii issue ya figo kufeli imekaaje aisee naona sikuhizi inashika kasi sana tena kwa vijana wadogo. Ni nn hasa nikapelekea hali hiyo😥😥
Watu8 haijalishi unafamilia ama hauna. Utajiri wa mwanadamu yeyote ni afya njema.
Habari ya asubuhi lakin
Wakati mwingine maradhi hutokea kama mitihani tu kwa mwanadamu na ukumbusho kwa wengine kuwa sisi SI lolote si chochote mbele ya mola wetu........Inawezekana mfumo wa maisha. Ulaji na aina ya vyakula hasa vinywaji. Mawazo yangu tu lakini.
well saidWakati mwingine maradhi hutokea kama mitihani tu kwa mwanadamu na ukumbusho kwa wengine kuwa sisi SI lolote si chochote mbele ya mola wetu........
Unaweza ukafuata taratibu zote za kiafya lakini ukaangukia kwenye likakutesa na kuyachukua maisha yako.......
Kutokana na hali zetu za kimaisha tulio wengi tunakula na kunywa tunavyovipata na sio tunavyovitaka........
Kitu Cha muhimu ni kuishi kwa wema na wanadamu wenzako maana hakuna ajuae siku wala saa.........
ICU ni hospitali gani hiyo?
HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILIMungu amuinue. Je yuko ICU ya hospitali gani?
Umeongea vizuri mkuuWakati mwingine maradhi hutokea kama mitihani tu kwa mwanadamu na ukumbusho kwa wengine kuwa sisi SI lolote si chochote mbele ya mola wetu........
Unaweza ukafuata taratibu zote za kiafya lakini ukaangukia kwenye likakutesa na kuyachukua maisha yako.......
Kutokana na hali zetu za kimaisha tulio wengi tunakula na kunywa tunavyovipata na sio tunavyovitaka........
Kitu Cha muhimu ni kuishi kwa wema na wanadamu wenzako maana hakuna ajuae siku wala saa.........
Wakati mwingine maradhi hutokea kama mitihani tu kwa mwanadamu na ukumbusho kwa wengine kuwa sisi SI lolote si chochote mbele ya mola wetu........
Unaweza ukafuata taratibu zote za kiafya lakini ukaangukia kwenye likakutesa na kuyachukua maisha yako.......
Kutokana na hali zetu za kimaisha tulio wengi tunakula na kunywa tunavyovipata na sio tunavyovitaka........
Kitu Cha muhimu ni kuishi kwa wema na wanadamu wenzako maana hakuna ajuae siku wala saa.........
Kuwa na utu jitolee wape bureKuna wimbo wake mmoja unaitwa 'Kipi Sijasikia' kuna mstari anasema ' . . . hata maji kwenye glasi wanasema nakunywa pombe . . .'
Nisiwe muongo nafikiria nawapataje ndugu zake niwauzie figo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mods wanafeli sana.
Sasa wewe ni expert wa nini?
Au wa pumba?
Mxxxxxxiiiieeeu.