Tumuombee sana Profesa J

Tumuombee sana Profesa J

Hizi Figo hizi. Sijui kuna nini? Ni lifestyle au kitu gani?

Life Style imebadirika sanaa na hii Ndio Hupelekea Shida Za Figo.

Kifupi Tuu… nchi nyingi zilizoendelea duniani, Raia wake hawafi kwa Malaria kama Bongo, Hawafi kwa Ukimwi kama Bongo, Hawafi kwa Typhoid Kama Bongo, Wala hawafi kwa UTI, Ila Ni Kansa, Pressure, na Sukari. Kwasababu ya Nini? Kwasababu ya Life Style.

Sio Ajabu Kwa mtu mwenye pesa Kupata Shida ya Figo, Pressure, Sukari au Kansa sio Ajabu kabisa.

So hata Kwa Professor Jay Sioni Ajabu. Haya Matatizo huwezi kuyaona Vijijini watu wanako kula Clear Natural Food.

Kuwa Waziri Alifariki Ghafla watu walishangaa sanaa Lakini Medically haikuwa kitu cha Ajabu sanaa, Kwasababu ya Life Style, Tunategemea Hilo kwa Viongozi wengi wa Serikali, Wabunge na Mawaziri.

Ule Unene Wa Professor Jay, hichi anachopitia Sio Ajabu. Tumuombee Apone, lakini FIGO huwa HAIPONI, Figo zikisha Pata Ajari (Acute Kidney Injury) Kuja Kupona Ni Majaliwa…. Ila Zinaweza Kutulia na Maisha yakaendelea kwa Muda kwa msaada wa Dialysis lakini haziwezu kupona. Si tunamkumbuka Ruge Alienda hadi Afrika Kusini kwaajiri ya Dialysis Akawa analipa 5-7M kwa Siku? Lakini Matokeo yake? Matokeo ya Figo huwa ni kama Moyo, Ukifail ume Fail.

Tuzingatie sana Life Style, Soda, Bugger, Pizza, Sausage Sausage, Salad [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kama ni Figo nadhani anahitaji zaidi Figo kuliko maombi...., Watu wamchangie, and by the way tuanze utamaduni wa mtu akiaga dunia ku-donate baadhi ya organs kwa kusaidia wanaobaki duniani; huu utamaduni wa kuzika perfectly good organs ni uchoyo kwa wanaobaki
 
Life Style imebadirika sanaa na hii Ndio Hupelekea Shida Za Figo.

Kifupi Tuu… nchi nyingi zilizoendelea duniani, Raia wake hawafi kwa Malaria kama Bongo, Hawafi kwa Ukimwi kama Bongo, Hawafi kwa Typhoid Kama Bongo, Wala hawafi kwa UTI, Ila Ni Kansa, Pressure, na Sukari. Kwasababu ya Nini? Kwasababu ya Life Style.

Sio Ajabu Kwa mtu mwenye pesa Kupata Shida ya Figo, Pressure, Sukari au Kansa sio Ajabu kabisa.

So hata Kwa Professor Jay Sioni Ajabu. Haya Matatizo huwezi kuyaona Vijijini watu wanako kula Clear Natural Food.

Kuwa Waziri Alifariki Ghafla watu walishangaa sanaa Lakini Medically haikuwa kitu cha Ajabu sanaa, Kwasababu ya Life Style, Tunategemea Hilo kwa Viongozi wengi wa Serikali, Wabunge na Mawaziri.

Ule Unene Wa Professor Jay, hichi anachopitia Sio Ajabu. Tumuombee Apone, lakini FIGO huwa HAIPONI, Figo zikisha Pata Ajari (Acute Kidney Injury) Kuja Kupona Ni Majaliwa…. Ila Zinaweza Kutulia na Maisha yakaendelea kwa Muda kwa msaada wa Dialysis lakini haziwezu kupona. Si tunamkumbuka Ruge Alienda hadi Afrika Kusini kwaajiri ya Dialysis Akawa analipa 5-7M kwa Siku? Lakini Matokeo yake? Matokeo ya Figo huwa ni kama Moyo, Ukifail ume Fail.

Tuzingatie sana Life Style, Soda, Bugger, Pizza, Sausage Sausage, Salad [emoji28][emoji28][emoji28]
Mambo km haya bora umurudie Mungu tu utubu ,umuombe akuponye bure!
Na Mungu ni wa rehema sana.
Ushaambiwa magonjwa km haya hayana tiba bado mtu unahangaika kupoteza hela hospital, mi hapana ni kurudi tu kwa muumba !
 
Life Style imebadirika sanaa na hii Ndio Hupelekea Shida Za Figo.

Kifupi Tuu… nchi nyingi zilizoendelea duniani, Raia wake hawafi kwa Malaria kama Bongo, Hawafi kwa Ukimwi kama Bongo, Hawafi kwa Typhoid Kama Bongo, Wala hawafi kwa UTI, Ila Ni Kansa, Pressure, na Sukari. Kwasababu ya Nini? Kwasababu ya Life Style.

Sio Ajabu Kwa mtu mwenye pesa Kupata Shida ya Figo, Pressure, Sukari au Kansa sio Ajabu kabisa.

So hata Kwa Professor Jay Sioni Ajabu. Haya Matatizo huwezi kuyaona Vijijini watu wanako kula Clear Natural Food.

Kuwa Waziri Alifariki Ghafla watu walishangaa sanaa Lakini Medically haikuwa kitu cha Ajabu sanaa, Kwasababu ya Life Style, Tunategemea Hilo kwa Viongozi wengi wa Serikali, Wabunge na Mawaziri.

Ule Unene Wa Professor Jay, hichi anachopitia Sio Ajabu. Tumuombee Apone, lakini FIGO huwa HAIPONI, Figo zikisha Pata Ajari (Acute Kidney Injury) Kuja Kupona Ni Majaliwa…. Ila Zinaweza Kutulia na Maisha yakaendelea kwa Muda kwa msaada wa Dialysis lakini haziwezu kupona. Si tunamkumbuka Ruge Alienda hadi Afrika Kusini kwaajiri ya Dialysis Akawa analipa 5-7M kwa Siku? Lakini Matokeo yake? Matokeo ya Figo huwa ni kama Moyo, Ukifail ume Fail.

Tuzingatie sana Life Style, Soda, Bugger, Pizza, Sausage Sausage, Salad [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa kweli ni mtihani sana.

Tunaongea tu lkn kubadilika inakuwa ngumu. Maisha yanaenda kadi sana. Kila mtu Ana mambo mengi muda haumtoshi.

Kwa lifestyle ya wanaoishi mjini ni wachache sana wanaokula natural food.

Hatuna muda wa kwenda sokoni kununua mihogo na viazi Ulaya tukamenya tu kapika na mchicha au tembele.

Kutwa tumo makazini mpk magharibi au usiku kabisa.

Tukitoka hapo ni mwendo wa chips, pizza na burger. Na mbaya zaidi mpk wtt wetu nao tunawapa hizo hizo wangali wadogo sana. Mtt anakwambia hataki wali, hataki ugali, hataki uji unamnunulia piza na burger na chocolate.

We are killing ourselves softly yaani
 
Back
Top Bottom