Tumuombee sana Profesa J

Tumuombee sana Profesa J

Ee Mungu msaidie Huyu kijana Professor J kwani naona sasa magonjwa ya figo Tanzania na ulimwenguni yameshika hatama utusaidie !
Nimeanza na sala kwa kuwa najua mazingira hayo nimeuguza ndg yangu ugonjwa huu kwa sasa kila week anakwenda kufanya analysis
Kwa kweli omba yasikukute ndg zangu
Maana gharama zake ni kubwa sana sana
Any way kila wakati tumwombe sana Mungu
 
Mungu wetu Mponye Kaka Mkubwa wetu huyu. Ni nguzo ya muhimu sana kwa Vijana haswa wanamuziki, kati ya vijana wachache waliofanikiwa kutumia Vipaji vyao kufanya makubwa. Injili yake imetufariji sana Maghetoni tulipokua na uhuru wa kuthubutu kuota ndoto bila kujali zitatimia ama la! Muziki wake umejaa mashairi yenye jumbe zinazoakisi chimbuko la mawazo yake ya kila siku ( Mawazo ya kiungwana).

Baada ya kumaliza kusoma Uzi wa Geronimo Pratt wa Mdau wa humu, nikiwa namuwaza legendary tupac na mchango wake wa kiukombozi wa fikra kwa Vijana weusi wa Huko mambele nikahamia kwenye huu uzi na kiukweli nikawiwa kuandika jambo kuhusu huyu Mtu. Mungu amuweke Muda mrefu baado tunahitaji huduma yake. Amin!
 
na hakuna kitu kinapulizwa dawa nyingi Kama matango na bamia.
Tango si unaweza ukalimenya mkuu? Au kemikali zinakuwa zimeshaingia ndani tayari?

Kuepuka makemikali kwa mnaoishi mijini haiwezekani kwa sababu karibu kila mnachokula kimetiwa makemikali.
 
Inasemekana Ipo hata bongo wanafanya japo wanaipunguza makali raia wasijisikie vibaya. Inaitwa palliative care
Me mwenyewe nahisi hawa palliative care ile dawa walimpa mama yangu ndo ilimmaliza kabisa
 
Ee Mungu msaidie Huyu kijana Professor J kwani naona sasa magonjwa ya figo Tanzania na ulimwenguni yameshika hatama utusaidie !
Nimeanza na sala kwa kuwa najua mazingira hayo nimeuguza ndg yangu ugonjwa huu kwa sasa kila week anakwenda kufanya analysis
Kwa kweli omba yasikukute ndg zangu
Maana gharama zake ni kubwa sana sana
Any way kila wakati tumwombe sana Mungu
Itabdi sahv tupunguze kupiga vitu vikali

Ova
 
mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.
Nani kakuambia kansa ni gonjwa la mjini?
Nenda karudie utafiti wako pale ocean road utapata jibu
Tabora,Shinyanga,Mwanza,na mikoa ya Singida wengi mnoo pale hospital
 
Kuna nyimbo zaidi ya tatu nimemsikia Jay wa Mitulinga akisema "mshazusha sana kua nimeathirika",Jay Ana miwaya..pia kalapina kwenye ngoma yake beef akisema Jay kaungua..najua yote sanaa tu,mwamba atapona tunamuombea...
hii inajulikana kitambo sana,
 
dah namombea kwa Allah ampe shifaa..boss wangu anashida ya figo over two years ila yeye anamadaktari bingwa from saudi arabia kwenye payroll,hawa madaktari wanacontrol kula,kusafiri, dawa, kulala na kuangalia magonjwa mengine.. ana dialysis machine zake mwenyewe..anafanyiwa dailysis mara mbili mpaka tatu kwa wiki..imagine mpaka nyingine amenunua na kutoa msaada serikalini kwao Pakistan..huyu namzungumzia tajiri ambae anasambaza gesi UAE ..ni ngumu kwa raia mwenye hela ya mbuzi kusurvive labda kwa kudra zake Mwenyezi Mungu.
 
Kwa kweli ni mtihani sana.

Tunaongea tu lkn kubadilika inakuwa ngumu. Maisha yanaenda kadi sana. Kila mtu Ana mambo mengi muda haumtoshi.

Kwa lifestyle ya wanaoishi mjini ni wachache sana wanaokula natural food.

Hatuna muda wa kwenda sokoni kununua mihogo na viazi Ulaya tukamenya tu kapika na mchicha au tembele.

Kutwa tumo makazini mpk magharibi au usiku kabisa.

Tukitoka hapo ni mwendo wa chips, pizza na burger. Na mbaya zaidi mpk wtt wetu nao tunawapa hizo hizo wangali wadogo sana. Mtt anakwambia hataki wali, hataki ugali, hataki uji unamnunulia piza na burger na chocolate.

We are killing ourselves softly yaani

Acha Kabisa Daaah.

Na haya masoda tunayobugia daily yani tunajimaliza big time aisee.
 
"Seed Oil" kama alizeti na mafuta mengi ya kupikia ni sumu na hatari sana kwa mwili kuliko wengi wanavyoelewa. Mafuta ambayo ni safe hadi sasa kwa mujibu wa wataalamu wa Lishe ni Olive Oil na Ghee/Samli Ukishindwa hayo gonga chukuchuku tuu.
Naona wanashauri pia Avocado Oil

Screenshot_20220128-175720_1.jpg
 
dah namombea kwa Allah ampe shifaa..boss wangu anashida ya figo over two years ila yeye anamadaktari bingwa from saudi arabia kwenye payroll,hawa madaktari wanacontrol kula,kusafiri, dawa, kulala na kuangalia magonjwa mengine.. ana dialysis machine zake mwenyewe..anafanyiwa dailysis mara mbili mpaka tatu kwa wiki..imagine mpaka nyingine amenunua na kutoa msaada serikalini kwao Pakistan..huyu namzungumzia tajiri ambae anasambaza gesi UAE ..ni ngumu kwa raia mwenye hela ya mbuzi kusurvive labda kwa kudra zake Mwenyezi Mungu.

Ebwana Eeeh Daaah
 
Kwa kweli ni mtihani sana.

Tunaongea tu lkn kubadilika inakuwa ngumu. Maisha yanaenda kadi sana. Kila mtu Ana mambo mengi muda haumtoshi.

Kwa lifestyle ya wanaoishi mjini ni wachache sana wanaokula natural food.

Hatuna muda wa kwenda sokoni kununua mihogo na viazi Ulaya tukamenya tu kapika na mchicha au tembele.

Kutwa tumo makazini mpk magharibi au usiku kabisa.

Tukitoka hapo ni mwendo wa chips, pizza na burger. Na mbaya zaidi mpk wtt wetu nao tunawapa hizo hizo wangali wadogo sana. Mtt anakwambia hataki wali, hataki ugali, hataki uji unamnunulia piza na burger na chocolate.

We are killing ourselves softly yaani

Kweli kabisa Ukimchukua Mtoto ukampeleka Clinic, Urefu wake na Uzito Wake Havilingani Kabisa.

Walio ajiria Hasa wako kwenye wakati mgumu kulingana na Mfumo wa Upatikanaji wa Chakula Makazini Kwao. Wengi wanalazimishwa kula Vitu ambavyo hawakutegemea kula. Mwishowe wanajikuta Wameingia Kwenye Mazoea. Ni ngumu sana kubadirisha Lakini Pale tunapo pata nafasi ni vyema Tukabadili mfumo wa Maisha.

Mtu ameajiriwa Wiki Nzima Hajawi Kutoa Jasho yeye ni Mkavu Wiki nzima mwishowe akipata Stress kidogo, Mishipa Ya Damu Inapasuka Anapata Stroke, Sahizi Vijana Wadogo wanapata Stroke, Kitu tulichokuwa tunakiona Kwa Wazee wa Miaka 60 na Kuendelea wanapata Vijana Wadogo kabisa.

Kuna Makala Niliwahi kuanzisha Jukwaa la Siasa Kuhoji Ni Doctor Gani ambaye Alimshauri Mhe JPM kugombea Urais Huku Akijua Fika Kabisa Ana Matatizo Ya Moyo, Kwa Sababu Uraisi Ni Stress na Stress na Moyo ni vitu viwili tofauti… huenda tumlipoteza mapema zaidi kutoka na Stress za Kazi Vs Matatizo aliyokuwa Nayo.

Sasa hii Inaenda Kwa Watu wengi sanaa… Kifupi tunapo Weza Tujaribu kubadirisha Mfumo wa Maisha
 
Inasemekana Ipo hata bongo wanafanya japo wanaipunguza makali raia wasijisikie vibaya. Inaitwa palliative care
Palliative care ni huduma za kupunguza maumivu kama dawa, ushauri na nasaha, uangalizi anaopewa mgonjwa haswa wagonjwa wenye magonjwa yasiyopona kama kansa, figo n.k kinachofanyika ni ushauri lakini pia ndugu wanakuwa wanafundishwa jinsi ya kumuhudumia uyo mgonjwa maana kuna wagonjwa wengine wanaumwa mpaka inafikia muda wanagoma kuendelea kunywa dawa au kufanya chochote kinachohusu tiba
 
Back
Top Bottom