Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Sitti ameleta ushahidi wa cheti cha kuzaliwa.. Na wewe lete ushahidi wa kudanganya umri..
Sitti ameleta ushahidi wa cheti cha kuzaliwa.. Na wewe lete ushahidi wa kudanganya umri..
Hahahahhahahaha!! Nakubaliana na wewe!inasemekana"binadamu anachoka kufikiri anapatikana tanzania"
Amekanusha wapi?
Picha anayoingia leba ndo uthibitisho madhibuti kabisa kwako wewe siyo?
Duu hajafanya plastic surgery kweli kwan mi ckielewi kidevu, mashav na pua yake ilivyokaa
Ni mtoto wa sita nini?
Na una miaka 18 eeeeh?Ulianza kusoma na miaka mingapi?
Wakuu.
Kuna vitu nimekaa na kuvifikiria kuhusu hili sakata la umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu.,Hebu tujiulize, mamiss Tanzania waliopita ambao walikuwa watoto( wadogo kiumri) waliifanyia nini Tanzania? Zaidi ya kwenda Ulaya kuchezacheza tu na kushangaa magorofa..?
Kuna sifa za ziada ambazo miss Tanzania Sitti Mtemvu anazo kulinganisha na na mamiss wengine waliopita
1. Siti amesoma Marekani hawezi kuanza kushangaa shangaa magorofa.
2.Sitti anaijua vizuri lugha ya kiingereza ambayo taka usitake ndio lugha kuu ya mawasiliano kwenye mashindano hayo
3. Sitti ana elimu kubwa kulinganisha na mamisa wengine.
4.Sitti amekaa na wazungu muda mrefu so hawezi kujifeel inferior atakapokuwa nao kwenye mashindano.
5. SITTI ANA AKILI NA ANAJITAMBUA
Halafu uzaliwe miaka ya 90 ukose cheti ?? na waliokuzaa wote wanaufahamu? Abeg mmejidharirisha Familia nzima , Toa Maelezo kuhusu Pass yako ilikuwaje iwe na mwaka tofauti ??? Kila la kheri na safari yako ya kwenda kumuwakilisha Lundenga na Mashoga zako sio sisi Watanzania wote ...