Sitti mtampenda tu..time will tell
roho inakuuma unatamani wewe ndio ungekuwa miss Tanzania..
roho inakuuma unatamani wewe ndio ungekuwa miss Tanzania..
Amezaa lini? wapi? lete ushahidi wa picha alivyokuwa anaingia leba。 Amekanusha kuwa na mtoto
Wanaohusika na vyeti vya uzazi na vifo wanatakiwa kujichunguza kwanza, cheti cha kubumba live kabisa
hehehehe kwendraaaaaaaaaaaaa kule Mpambe wewe unadhani kila mtu kalelewa kuonyesha vipaja vyake mbele ya halaiki ?? Ukweli utabaki pale pale Bibi sitti Mtemvu hana vigezo vya kuwa Miss TZ , Angejiunga MCC angepewa hata Ukatibu uenezi ndio vinaendana na Umri wake mfyuuuuuuuuuuuuu!
Shida ya watanzania ujanja ujanja tu Kila kona... Ngoja wakalete cheti chake alichoombea passport ndhani utaondoka kimya kimya ...
duh hongera kwa kujitahidi kuzuia mafuriko kwa mikono
lete ushahidi, acha kuropoka
Wewe umepewa nini??
lete ushahidi, acha kuropoka
mi najiuliza mtu anawezaje kuwa na umri tofauti mara nne, yaani 18; 23; 25; 29. Only Sitti, Mama anajua 29, Baba anajua 18, Lundenga anajua 23, Watanzania na taarifa huko Marekani wanajua 25.Duh huyu mtu atakuwa maarufu sana muda si mrefu
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
Wewe na hayo matege yako ukigombea hata MISS MADONGO KUINAMA utakuwa wa mwisho
Kweli kwa Akili ulizonazo kweli unashidwa hata kujiuliza utofauti wa cheti chake cha kuzaliwa alichokupata mwaka huu na miaka iliyoandikwa kwenye passport yake ambayo alipata baada ya kupeleka cheti cha kuzaliwa...??? Mbona majibu unayo kabisa...
Nainua mikono haya anamiaka unayosema.. ngoja nikubali yaishe.. maana umeshupaa shingo kumtetea hadi nimeanza kujiuliza mwenyewe... Why unatetea sana???
Sitti ameleta ushahidi wa cheti cha kuzaliwa. Na wewe lete ushahidi wa huu umbea wako
Ndiyo maana sijagombea kwa kuwa sikidhi vigezo , Nimewaachia Mabinti wadogo wanaokidhi Vigezo na Masharti hata Bibi yako Sitti Hakutakiwa kugombea vile vile ...Ushauri wa Bure mwambie angeheshimiwa sana kama angerudisha Taji , Tungemuelewa kila mtu anamapungufu yake ila hiyo Kungangana haita mfikisha popote !
hivi unajua kule miss world mtaaibika sana