Tuna judge kwa Avatar?




Fellow T
 
mleta uzi ni mlaini mno uzi wa kweli kivipi kashindwa kushilkilia?
REJAO anisamehe tu ila uzezeta haukwepeki




rejao alipotuma post humu niliruka sikusoma nilisoma alipokua nukuriwa yani huo ndio mfano mzuri.
 
mleta uzi ni mlaini mno uzi wa kweli kivipi kashindwa kushilkilia?
REJAO anisamehe tu ila uzezeta haukwepeki


Marytina unaniona nilivyo handsome?? Kila mtu ananikubali
 
Hii hapa na Avatar yangu ipi ukiiona unaweza kukimbia?
 
Marytina unaniona nilivyo handsome?? Kila mtu ananikubali



toka huu uzi umewekwa hapa jumlisha na avata kweli unaweza laumu kutochukuliwa serious sasa hapo handsome kwa kuku au?
 
ingetokea sina boyfriend nisingekukubali bora nife na bikira yangu kuliko kukukaribia
Nachojua mimi wadada wa siku hizi huwa hawaangalii mvuto wa mwanaume! Mwanaume PESA, ukishakuwa na chapaa basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…