Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana

Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana

Pamoja na kuishi kwangu kidogo duniani na kutokuona mengi nilichogundua mataifa yangu ya bara langu zuri na ninalolipenda la Africa lina watu wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo , kama wa Africa tu ndo wangekuepo kwenye dunia hii toka kuanzishwa kwake hadi leo 2023 bhas bado tungekuwa tunavaa kaniki na tunaishi mwituni.
Sio kweli mkuu, tulikuwa pazuri kiuvumbuzi mpaka wakoloni walipokuja na "Destruction of industries"

Point za olevel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vzr tuwe open tu.. CDM, ACT, NCCR MAGEUZI, UDP, wala chama cha ma old azz nigga RUNGWE havijawah tawala, So tuwe wawazi CCM ndio main probes!!
Na nyie ndo akili ndogo zaidi, tangu 1992 hadi leo bado mmeshindwa kutumia akili ili kuja na mbinu ya kuitoa hiyo ccm madarakani?!!!! Na mmeshindwa sababu akili zenu ni ndogo zaidi yao. Najua mnakimbilia kwenye kijisababu chenu cha kisungo eti 'wanatumia vyombo vya dola!' Si ndo mutumie akili sasa kulimaliza hilo! Kuna kingine zaidi ya akili?!!!!

Tena hapo kuna kundi limefanya kioja cha mwaka 2015......watu wao wooooote walienda ccm; for your information, wapo huko mpaka leo. Na bado hako kakundi hakaonyeshi tu dalili ya kukua kiakili hata kidogo.....wanakesha kumtukana Zitto tu ambaye hajibu kitu zaidi ya kuwaonyesha moja ya vidole vyake. Ukiacha hilo, eti juzi bila aibu wanatangaza bifu na mtoto mdogo tu na msanii wa kizazi kipya bifu ambalo wameshindwa kabla ya kuanza. Uko sahihi mtoa mada, akili hakuna kabisa!!!
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
Assumption tu kwa kuwa wewe unadhani kwamba labda thinking capacity yako ni kubwa. Taifa haliendelei na malalamiko kama haya uliyoyaandika. Start with yourself
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
Tumekuwa tukichezea elimu na madhara lazima yajionyeshe tu.
 
Leo Rais Samia kawasimamisha Wenyeviti wa Bodi,haloo ni Wazee watupu,sasa sijui lengo ni lipi hasa na anawasisitiza eti walete mabadiliko kwenye Mashirika ya Umma,kweli!
Rais Ruto huwa naona kwenye social media Wenyeviti wa Bodi ni vijana na CV nzito.
Kweli serikalini kuna watu wenye upeo mdogo sana!
Kiufupi wana rudisha walewale walioleta matatizo. Ni circle ya watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri 🤣🤣🤣 inayojirudiarudia
 
Duh! Hebu elezea, inawezekana una hoja. Maana haya ma gmo na mambolea isijekuwa yanapunguza uwezo wa kufikiri
GMO upunguza uhalisi wa kitu kiwe ktk mfumo wa artificial na Sio natural.
Kitu artificial uzalishaji watu jamii ya robot wenye upeo finyu wa kufikiri sababu hawana utu ndani yake.
 
GMO upunguza uhalisi wa kitu kiwe ktk mfumo wa artificial na Sio natural.
Kitu artificial uzalishaji watu jamii ya robot wenye upeo finyu wa kufikiri sababu hawana utu ndani yake.
Kwa hiyo haya ma GMO yanaathiri ubongo? Huko USA, Ulaya, Asia ambako kuna maendeleo makubwa, hawali GMO? Mbona wana maendeleo?
 
Huwezi kuwa na jamii ya hovyo halafu ukazalisha viongozi wazuri. Hao wazuri watashusha toka mbinguni? Unamuoona mtu kama Tulia, Ndugai unasikitika wamewezaje kuwa maspika
🤣
Maana yake jamii ya watanzania ni jamii ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri 🤣🤣🤣
 
Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
Yes ni kweli,
Ndio maana unakuta wizara au taasisi fulani ikiongonzwa au kusimamiwa na flani mambo yanasonga hakuna malalamiko bali pongezi lakini akija mwingine ni full matatizo na malalamiko wakati mfumo ni uleule.
So, thinking and reasoning capacities ni ombwe kubwa sana katika Jamii, ndani na nje ya serikali.
 
Back
Top Bottom