Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,231
- 2,904
Sio kweli mkuu, tulikuwa pazuri kiuvumbuzi mpaka wakoloni walipokuja na "Destruction of industries"Pamoja na kuishi kwangu kidogo duniani na kutokuona mengi nilichogundua mataifa yangu ya bara langu zuri na ninalolipenda la Africa lina watu wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo , kama wa Africa tu ndo wangekuepo kwenye dunia hii toka kuanzishwa kwake hadi leo 2023 bhas bado tungekuwa tunavaa kaniki na tunaishi mwituni.
Point za olevel
Sent using Jamii Forums mobile app