Hii nakataa...uwezo tunao mkubwa na wapo viongozi wazuri sana..sema Ile culture yetu ya kizalendo hatujai tune vizuri..ulTofautisha kati ya ubinafsi na uwezo mdogo wa kufikiri. Hasa kuanzia kwa viongozi wa serikali
Sio kweli..nadhan ndio wenye hazina kubwa na wasomi na viongozi..we li giant party hili utalinganisha na nani jomba...embu leta takwimu kama unazo...hahahaCCM Wengi ni failures au wenye gentlemen passes