Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ata bachelor hana, unadhani thinking capacity yake iko vipi..?😂Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
ccm wakisha iba kura wanakwambia hakuna chama chenye uwezo wakutawala zaidi yao,hiki chama tunawezo kiondoa kwanguvu ila sio kwenye ballots, hawa jamaa ni wezi mno wanambinu nyingi chafu sana pia wanaogopa kukamatwa na kustakiwa na malizao kupigwa mnada wakiondolewa.Ni vzr tuwe open tu.. CDM, ACT, NCCR MAGEUZI, UDP, wala chama cha ma old azz nigga RUNGWE havijawah tawala, So tuwe wawazi CCM ndio main probes!!
Ccm ikatupa saa100 mwenye akili kisodaChanzo Cha Matatizo CCM
Ccm ikianzia TANU kilikuwa chama kizuri sana kupitia;Ni vzr tuwe open tu.. CDM, ACT, NCCR MAGEUZI, UDP, wala chama cha ma old azz nigga RUNGWE havijawah tawala, So tuwe wawazi CCM ndio main probes!!
Kisoda ni kikubwa mno. Kiufupi bila ya microscope hauwezi kuona akili yake. Ni ndogo ndogo ndogo ndogo sana kuliko virusiCcm ikatupa saa100 mwenye akili kisoda
Uwezo mdogo wa kufikiri ndio uliingia ndani ya hicho chama na ndio chanzo cha matatizo yoteCcm ikianzia TANU kilikuwa chama kizuri sana kupitia;
Imani yake
Madhumuni yake
Masharti na itikadi yake.
Japo sikukubali ujamaa kwa msingi wa kuishi pamoja, kufanya kazi pamoja na kugawana mapato kwa usawa.
Ccm ilikiuka misingi yake huku iki ihubiri, ikajenga kikundi cha walanchi dhidi ya wananchi
Walanchi hujuana, hulindana, hupeana mapande na wana wivu mkubwa sana kulinda kundi lao.
Wananchi hupumbazwa tu waone wanatetewa kumbe wanang"atwa huku wakipulizwa...
Ukombozi halisi ni kujenga demokrasia ya kweli kupitia katiba rafiki kwa demokrasia makini.
Katiba bora itasaidia kujenge vyama huru na imara na itaweka utaratibu bora wa kujitawala. Short of that ccm watatupumbuza na mapambio feki tu
😂ccm wakisha iba kura wanakwambia hakuna chama chenye uwezo wakutawala zaidi yao,hiki chama tunawezo kiondoa kwanguvu ila sio kwenye ballots, hawa jamaa ni wezi mno wanambinu nyingi chafu sana pia wanaogopa kukamatwa na kustakiwa na malizao kupigwa mnada wakiondolewa.
🤣Mtu ata bachelor hana, unadhani thinking capacity yake iko vipi..?😂
Duh!
🤣Uafrika hasa utanzania ni laana.
Unazungumzia wapi jomba specifically..au unataka kutuambia nchi nzima..itakuwa matusi hayo..your assumptions are wrong..issue si low-level issue ni ubinafsi tu jomba kwa baadhi ya watu...kukosa uzalendo..finish..watu wamekwenda kitabu na knowledgeable sana..including technology..hata kuzidi hao mnaowategemeaKama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
Tofautisha kati ya ubinafsi na uwezo mdogo wa kufikiri. Hasa kuanzia kwa viongozi wa serikaliUnazungumzia wapi jomba specifically..au unataka kutuambia nchi nzima..itakuwa matusi hayo..your assumptions are wrong..issue si low-level issue ni ubinafsi tu jomba kwa baadhi ya watu...kukosa uzalendo..finish
CCM Wengi ni failures au wenye gentlemen passesKama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
Jomba unaumwa nini..uitoe ccm uweke nani..embu tufafanulie..usidhan watanzania wajinga kubaki njia kuu..Wana akili sana labda umebaki pekeyakoUpo sahihi.
Lakini kwa upande mwingine kwa nini mpaka leo tumeshindwa kuwatoa ccm madarakani. Maana yake hata sisi tuna akili ndogo sana, hasahasa vyombo vya dola (polisi, jeshi, usalama). Kama vyombo vya dola vingekuwa na watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri, basi wasingekubali kutumika kuiba kura na kuchakachua uchaguzi.
Nawaza nje ya box
🤣CCM Wengi ni failures au wenye gentlemen passes
Hii nakataa...uwezo tunao mkubwa na wapo viongozi wazuri sana..sema Ile culture yetu ya kizalendo hatujai tune vizuri..Tofautisha kati ya ubinafsi na uwezo mdogo wa kufikiri. Hasa kuanzia kwa viongozi wa serikali
🤣Jomba unaumwa nini..uitoe ccm uweke nani..embu tufafanulie..usidhan watanzania wajinga kubaki njia kuu..Wana akili sana labda umebaki pekeyako
Labda mfumo umekaa kuwabeba zaidi watu wenye uwezo mdogo wa kufikiriHii nakataa...uwezo tunao mkubwa na wapo viongozi wazuri sana..sema Ile culture yetu ya kizalendo hatujai tune vizuri..
Tatizo ni mfumo wa upatikanaji viongozi, wateule wote wanawajibika kwa Rais kumfurahisha badala ya wananchi