atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Nyerere alitunyima elimu kijanja hilo lipo waziNyerere alikuwa na udikteta wa chini kwa chini nahisi ndio maana alitengeza mfumo mbovu sana. Na ndio maana kuna wanajeshi walijaribu kumpindua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere alitunyima elimu kijanja hilo lipo waziNyerere alikuwa na udikteta wa chini kwa chini nahisi ndio maana alitengeza mfumo mbovu sana. Na ndio maana kuna wanajeshi walijaribu kumpindua.
Viwanja karibu vyote vya mpira ccm imejimilikisha na ndio huko viongozi wa ngazi mbali mbali wanatajirikiaccm wakisha iba kura wanakwambia hakuna chama chenye uwezo wakutawala zaidi yao,hiki chama tunawezo kiondoa kwanguvu ila sio kwenye ballots, hawa jamaa ni wezi mno wanambinu nyingi chafu sana pia wanaogopa kukamatwa na kustakiwa na malizao kupigwa mnada wakiondolewa.
Mkuu najua na wewe upo nje ya mzinga unaongea haya maneno huku ukupigania nafasi ya kuingia ndani ya mzinga,ukifanikiwa tuu naamini haya maneno utayakana[emoji1787]Unazungumzia wapi jomba specifically..au unataka kutuambia nchi nzima..itakuwa matusi hayo..your assumptions are wrong..issue si low-level issue ni ubinafsi tu jomba kwa baadhi ya watu...kukosa uzalendo..finish..watu wamekwenda kitabu na knowledgeable sana..including technology..hata kuzidi hao mnaowategemea
Ukishakua na uwezo mdogo wa kufikiri automatically lazima uwe mbinafsiTofautisha kati ya ubinafsi na uwezo mdogo wa kufikiri. Hasa kuanzia kwa viongozi wa serikali
Wakishastaafu nafasi zao za uongozi wanakuja kutuandikia mavitabu yao ya kujutia[emoji1787]
Pia kuna maprofesa ila mawazo yao na wanachozungumza kwenye uongozi wao inatia mashaka kuhusu uwezo wao wa kufikiri
Leo nimekaa mahali na mshikaji wangu nikamwambia fulani ana bahati kupata kazi TANAPA ukizingatia anatoka familia duni,jamaa akanijibu fulani ndio alimbeba,huyo fulani sasa ni libosi lipo ndani ya mfumoHuo mfumo ni mbovu sana. Kwa umetengenzwa kibovu na unasimamiwa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri. Ndio maana tunapata viongozi wabovu
Leo Rais Samia kawasimamisha Wenyeviti wa Bodi,haloo ni Wazee watupu,sasa sijui lengo ni lipi hasa na anawasisitiza eti walete mabadiliko kwenye Mashirika ya Umma,kweli!Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
Wewe ni mmojawapo unazungumziwa kwenye huu uzi,una uwezo mdogo wa kudadavua mamboNdio nilisema ubinafsi na kukosa uzalendo tu..kwa baadhi yao..na huu mfumo tulionao tunahitaji ku tune kuunyoosha ili mindset zibadilike..kwanini JPM na Mama SSH waliweza kuanzisha na kufanya mageuzi makubwa vile na matokeo tukkaanza kuyaona
Kumbe mnajua ila huwa mnafanya makusudi,mapaka nyie....Ikiwa ni kweli, basi tuangalie upya mfumo wetu wa elimu na walimu.
Ikiwa si kweli basi tatizo ni lishe duni.
Huko kwenye vetting ukute Mkuchika ndiyo Kiongozi!,uko ni kuangalia ukada kwa kwenda mbele.Basi watu wa vetting wana uwezo mdogo wa kufikiri [emoji1787]
Hao ndio wapo ndani ya mfumo,wakiingia hapo ni kuchomeka watoto/ndugu zao kwenye manafasi nyeti nyeti kabla hawajafaLeo Rais Samia kawasimamisha Wenyeviti wa Bodi,haloo ni Wazee watupu,sasa sijui lengo ni lipi hasa na anawasisitiza eti walete mabadiliko kwenye Mashirika ya Umma,kweli!
Rais Ruto huwa naona kwenye social media Wenyeviti wa Bodi ni vijana na CV nzito.
Kweli serikalini kuna watu wenye upeo mdogo sana!
Double entendre...Chanzo Cha Matatizo CCM
Interview watakuja kweli makada na Masters zao kufanyiwa mitihani na kuandikiwa Dissertation![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanapewa maagizo, ilitakiwa kazi zitangazwe watu wapige public interview, mtu anaeleza sera zake atakavyosaidia shirika/taasisi mission na vision, kuna watanzania wengi sn wana uwezo wa kuongoza lakini hawawezi kupata hizo nafasi sababu ni za shukrani kwa makada na chawa
Akilindogo sana ameandika kuhusiana na ndugu zake wenye akili ndogo sana. Hii ni thread ya ukoo😂😂Kama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.
@AkilindogosanaKama Taifa. Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana (low thinking capacity/ low reasoning capacity) pia wengine wapo ndani ya serikali tena kwenye sehemu nyeti na muhimu, na wengine ni viongozi wakubwa sana. Na ndio maana kama taifa hatuendelei. Hapo tuombe Mungu dunia iishe mapema, labda tutatoboa Mbinguni.