Tuna kundi kubwa sana la watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri yaani Akili ndogo sana

Sio kweli mkuu, tulikuwa pazuri kiuvumbuzi mpaka wakoloni walipokuja na "Destruction of industries"

Point za olevel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vzr tuwe open tu.. CDM, ACT, NCCR MAGEUZI, UDP, wala chama cha ma old azz nigga RUNGWE havijawah tawala, So tuwe wawazi CCM ndio main probes!!
Na nyie ndo akili ndogo zaidi, tangu 1992 hadi leo bado mmeshindwa kutumia akili ili kuja na mbinu ya kuitoa hiyo ccm madarakani?!!!! Na mmeshindwa sababu akili zenu ni ndogo zaidi yao. Najua mnakimbilia kwenye kijisababu chenu cha kisungo eti 'wanatumia vyombo vya dola!' Si ndo mutumie akili sasa kulimaliza hilo! Kuna kingine zaidi ya akili?!!!!

Tena hapo kuna kundi limefanya kioja cha mwaka 2015......watu wao wooooote walienda ccm; for your information, wapo huko mpaka leo. Na bado hako kakundi hakaonyeshi tu dalili ya kukua kiakili hata kidogo.....wanakesha kumtukana Zitto tu ambaye hajibu kitu zaidi ya kuwaonyesha moja ya vidole vyake. Ukiacha hilo, eti juzi bila aibu wanatangaza bifu na mtoto mdogo tu na msanii wa kizazi kipya bifu ambalo wameshindwa kabla ya kuanza. Uko sahihi mtoa mada, akili hakuna kabisa!!!
 
Assumption tu kwa kuwa wewe unadhani kwamba labda thinking capacity yako ni kubwa. Taifa haliendelei na malalamiko kama haya uliyoyaandika. Start with yourself
 
Tumekuwa tukichezea elimu na madhara lazima yajionyeshe tu.
 
Kiufupi wana rudisha walewale walioleta matatizo. Ni circle ya watu wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri 🤣🤣🤣 inayojirudiarudia
 
Duh! Hebu elezea, inawezekana una hoja. Maana haya ma gmo na mambolea isijekuwa yanapunguza uwezo wa kufikiri
GMO upunguza uhalisi wa kitu kiwe ktk mfumo wa artificial na Sio natural.
Kitu artificial uzalishaji watu jamii ya robot wenye upeo finyu wa kufikiri sababu hawana utu ndani yake.
 
GMO upunguza uhalisi wa kitu kiwe ktk mfumo wa artificial na Sio natural.
Kitu artificial uzalishaji watu jamii ya robot wenye upeo finyu wa kufikiri sababu hawana utu ndani yake.
Kwa hiyo haya ma GMO yanaathiri ubongo? Huko USA, Ulaya, Asia ambako kuna maendeleo makubwa, hawali GMO? Mbona wana maendeleo?
 
Huwezi kuwa na jamii ya hovyo halafu ukazalisha viongozi wazuri. Hao wazuri watashusha toka mbinguni? Unamuoona mtu kama Tulia, Ndugai unasikitika wamewezaje kuwa maspika
🤣
Maana yake jamii ya watanzania ni jamii ya watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri 🤣🤣🤣
 
Yes ni kweli,
Ndio maana unakuta wizara au taasisi fulani ikiongonzwa au kusimamiwa na flani mambo yanasonga hakuna malalamiko bali pongezi lakini akija mwingine ni full matatizo na malalamiko wakati mfumo ni uleule.
So, thinking and reasoning capacities ni ombwe kubwa sana katika Jamii, ndani na nje ya serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…