masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #121
Mkuu wala si msomi yule ni jitu jinga jinga tu linaloonyesha kile ambacho hajui.Wazi afande.. Mstari wa mbele kupambana kwa ajili ya hawa wanaojiita "wasomi"...
Ameulizwa matumizi ya hizo technolojia alizo zitaja wala hajui maana yake!
Mi namshabikia sana mtu kama Jidu la Mabambasi ambaye ana moyo wa kizalendo na ana common sense ya kuonyesha kuwa watu wengine wanaojiita "wasomi" ni heri hatta kuwa na mnyama kama mbwa ambaye wakati wa matatixo, vita, machafuko husikiliza amri moja tu, ua adui.