Tuna ma-commando wazuri, lakini je tuna Rapid Response Force?

Tuna ma-commando wazuri, lakini je tuna Rapid Response Force?

kutoka kwenye kujadili uwezo wa makomandoo wetu kukabiliana na magaidi mpaka uwezo wa kuandika kingereza.the conversation is heading north now.pathetic!,BOOOOOO!!!!.
 
kutoka kwenye kujadili uwezo wa makomandoo wetu kukabiliana na magaidi mpaka uwezo wa kuandika kingereza.the conversation is heading north now.pathetic!,BOOOOOO!!!!.

Uko sahihi lakini usishangae ni kawaida ya watu wanaodhani wamesoma, wakishindwa kujitetea wanatukana kwa kiingereza ili uwaone wako juu yako. Si unaona wanaanza na vijimisemo vya kimarekani? Utadhani walizaliwa huko. Mimi sasa nawapa za dunia nzima. Subiri sasa!
 
kutoka kwenye kujadili uwezo wa makomandoo wetu kukabiliana na magaidi mpaka uwezo wa kuandika kingereza.the conversation is heading north now.pathetic!,BOOOOOO!!!!.

Kuna mjinga mmoja yulee.....
Sijui kala maharage gani yuleeeee.......
Anawadharau makomandoo wetu yulee.....
Sijui anavaa pampas yulee.......

Mpeni vipande vyake cash, msimkopeshe,tena mlipeni si kwa instalments.
On a seriuos note: wakati wa vita kuu ya pili , enemy agents walinigwa kimya kimya.
 
Mkuu sema tu kitu kimoja!
Mcheza kwao hutuzwa, je wewe ulipelekwa lini utumwani?
Na inaelekea ulisha hasiwa!!!!!
Chunga sana waarabu wa isis.

Na wewe umesoma? Angalia mpangilio wako wa maneno ya kiswahili, hovyo! Au unadhani ukikosea kiswahili siyo tatizo?
Nawe umekuja kwa matusi. Waarabu, kuhasiwa, nk. Vipi mambo haya yanakupa sababu ya kusifu makomandaoo?

umeandika, Mkuu sema tu kitu kimoja, andika hivi Mkuu sema kitu kimoja tu. Yaonekana muko wengi.
 
Na wewe umesoma? Angalia mpangilio wako wa maneno ya kiswahili, hovyo! Au unadhani ukikosea kiswahili siyo tatizo?
Nawe umekuja kwa matusi. Waarabu, kuhasiwa, nk. Vipi mambo haya yanakupa sababu ya kusifu makomandaoo?

umeandika, Mkuu sema tu kitu kimoja, andika hivi Mkuu sema kitu kimoja tu. Yaonekana muko wengi.

Utapelekwa Kota Gadi upate push ups za juu.... Up..
Ndani ya green vesti ya kijani!
Unaipata?
 
Kama makomandoo wenyewe ndio wale waliokuja taifa na kuvunja vitofali vilivyojaa mchanga mwingi kuliko cement naona tz hatuna makomandoo.
 
Kama makomandoo wenyewe ndio wale waliokuja taifa na kuvunja vitofali vilivyojaa mchanga mwingi kuliko cement naona tz hatuna makomandoo.

Haya maneno yenu ndio husababisha kama yale ya aliyemshika na kumdhihaki mke wa OG halafu mtajaza thread kulalama. . . . . . . . . .some creatures are really battle hardened. . . .Only that they remain and look like human beings
 
Kama makomandoo wenyewe ndio wale waliokuja taifa na kuvunja vitofali vilivyojaa mchanga mwingi kuliko cement naona tz hatuna makomandoo.

Kawe wewe ili Tz tuwe na makomando.. Acha dharau mkuu unadhani ni rahisi kama kunya!??
 
Rapid response force kama ipo basi iiteni response force,ondoeni hiyo ''rapid''.

Majukumu yake ni nini?

Maana kuna wadau hapa wameleta habari za Comoro na DRC, kwa ninavyojua issue ya Comoro na DRC hazina sifa ya kuzitanabaisha na rapid response
 
Mkuu sikushambulii, hiyo ni reflection ya ulivo katika jamii.
You aint any better.

You aint any batter? Good american english! Ulimbukeni! kwa lugha mi limbukeni kuliko wewe! Pensez-vous que tous connaissent tout les gens doivent parler l'anglais américain?

pole sana!
 
You aint any batter? Good american english! Ulimbukeni! kwa lugha mi limbukeni kuliko wewe! Pensez-vous que tous connaissent tout les gens doivent parler l'anglais américain?

pole sana!
Mkuu watoka wapi weye kwenye watu wanaonunulika kirahisi hivo.
For a Tanzanian thats too cheap!!!
nyway makomandoo oyee.
 
Mkuu watoka wapi weye kwenye watu wanaonunulika kirahisi hivo.
For a Tanzanian thats too cheap!!!
nyway makomandoo oyee.

Yeap! Ndo ufahamu kwamba kwa ujinga tunazidiana.

Jeshi letu bado ni la misuri. Hatuna physists, hatuna chemists, hatuna engineers, sasa hapo unategemea nini enzi hizi za particle accelerator? Hizi siyo enzi za kujua kulenga shabaha, watu wanatumia thermal signature tracers na infrared sensors. Nilipokutajia Angola, nilidhani uta google ujue walichokifanya nchini DRC.

Ndo maana nikakusomesha kwamba tuachane na mtindo wanappreciations za kisiasa. Wao hata siku moja hawasemi udhaifu wa jeshi. Hata idadi kubwa ya askari wanapokuwa wezi, wao watasema jeshi linachafuliwa na wachache. Rubish!

Nawe bado unasema hayo kama kibwagizo, Makomandoo hoyee! Purely, nationalistic rhetoric!
 
I know the power of our military to its mitochondria. The problem you are trying to portray replicates typical of politicians' stupidity. Unazungumza kama Lowasa kuwatisha wamalawi bungeni, baadaye kila mtu akainuka kusema hawatuwezi hawatuwezi. Of course kila mwanasiasa anawambia watawaliwa hivyo but is it a sesnible announcement ktk nchi ambayo haiwezi hata kulinda walemavu wa ngozi?

huwezi kulinda tembo, huwezi kulinda walemavu, halafu unahangaika kusifu jeshi for what? Software problem!
Mkuu mifano yote uliyotoa ni irelevant when it comes to this topic, marekani yenyewe imeshindwa kulinda blacks wanaouwawa kila siku lakini haimaanishi kwamba ina jeshi dhaifu..
 
Yeap! Ndo ufahamu kwamba kwa ujinga tunazidiana.

Jeshi letu bado ni la misuri. Hatuna physists, hatuna chemists, hatuna engineers, sasa hapo unategemea nini enzi hizi za particle accelerator? Hizi siyo enzi za kujua kulenga shabaha, watu wanatumia thermal signature tracers na infrared sensors. Nilipokutajia Angola, nilidhani uta google ujue walichokifanya nchini DRC.

Ndo maana nikakusomesha kwamba tuachane na mtindo wanappreciations za kisiasa. Wao hata siku moja hawasemi udhaifu wa jeshi. Hata idadi kubwa ya askari wanapokuwa wezi, wao watasema jeshi linachafuliwa na wachache. Rubish!

Nawe bado unasema hayo kama kibwagizo, Makomandoo hoyee! Purely, nationalistic rhetoric!

Waswahili kwa midomo?
Ka ushuzi vile!
PArticle accelerators umeziona wapi?
 
Back
Top Bottom