JaidenG
JF-Expert Member
- Oct 4, 2021
- 740
- 969
Huna huo uwezo wew acha keleleMimi kama mpenzi wangu anaandika ushubwada huo nampiga chini siwezi kuwa na ukaribu na mwehu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna huo uwezo wew acha keleleMimi kama mpenzi wangu anaandika ushubwada huo nampiga chini siwezi kuwa na ukaribu na mwehu.
Mabior Garang
Bro mm nilijua watakua weusii kama wale kaka zao waliocheza na Yanga asee kumbe daaa hatariWatarudi wachache sana huko Sudani...labda wapende wao
Ndio niko getini hapa naingia muhi2,dua zenu wadauKuna Wanaume wa hovyo jamanii yaani jitu nzima linaandika naenda muhimbili kuwaona wa Sudan
Kondoa MOJA hiyo!!Sa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
View attachment 2665612
Yeye ni daktari? Mbona unajitoa ufahamu?
Kunywa soda mkuu.Hajui na udaktari unaongeza value ya mwanamke.
Wa sudan ni high value woman warembo.
Usiwalinganishe na low value woman ambao wanajua kutanuarembo peke yake
😁😁Kweli wanaume tumeumbwa Mateso😋😋Kuna Wanaume wa hovyo jamanii yaani jitu nzima linaandika naenda muhimbili kuwaona wa Sudan
Aisee sijui kwa nini wanawake wamestuka sana kuhusu wasudan🤔🤔🤔Kuna Wanaume wa hovyo jamanii yaani jitu nzima linaandika naenda muhimbili kuwaona wa Sudan
watagegedwa tuuuWale wamekuja kusoma mengine papara tu za wabongo
Wala hatujastuka maana kati ya hizo picha zote zinazo zagaa mitandaoni sioni hata moja ya kustua🤨Aisee sijui kwa nini wanawake wamestuka sana kuhusu wasudan🤔🤔🤔
Kwa sababu hawa tako ama? 🤣🤣🤣🤣Wala hatujastuka maana kati ya hizo picha zote zinazo zagaa mitandaoni sioni hata moja ya kustua🤨
Ila kuna watu wanananihiii pazuri jamani!🤔Sa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
View attachment 2665612
Shida sio tako ujue vyeupe sio vitamu😜Kwa sababu hawa tako ama? 🤣🤣🤣🤣
Hapa nakubaliana nawe mia mia.Shida sio tako ujue vyeupe sio vitamu😜