Aya usiku huu nenda kamsusie mumeo mbususuEwaaa haina mjadala mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya usiku huu nenda kamsusie mumeo mbususuEwaaa haina mjadala mkuu
Yaani hiyo ngozi nyeupe kwa ubaguzi hao wanarudi na Usichana wao kwao nyinyi endeleeni kujipitisha hapo Muhimbili mwisho mpelekwe kwenye wodi ya Vichaa😁😁😁Tayari hao ni madaktari hapo wamefata vyeti tu.
Saizi ni zamu yetu, nyie mlivyokuwa mna bang kwa dokta kumbuka na dokta mwaka sisi tulikaa kimya
🙏🏽Aya usiku huu nenda kamsusie mumeo mbususu
Sio kweli, sema kwakuwa bado UNATEGEMEA wazazi ujakuwa siku ukikuwa utaelewa.Shida sio kuwa mbongo.. shida ni elimu kubwa kama ya udaktari.
Nashukuru mama yangu pia ni high value woman maana ana elimu ya uhasibu..na amefanya kazi kama mhasibu mpaka alivyostaafu.
Wanawake wasio na elimu hata awe mzuri vipi ni low value woman.
Wanachojua ni kupanua mapaja tu
Hata nyinyi wenye ngozi nyeusi mna ubaguzi huwa tukiwafata mnatuambiaga sisi sio type yenuYaani hiyo ngozi nyeupe kwa ubaguzi hao wanarudi na Usichana wao kwao nyinyi endeleeni kujipitisha hapo Muhimbili mwisho mpelekwe kwenye wodi ya Vichaa😁😁😁
Mabior Garang de-Mabior mtoto wa aliyekua rais wa Sudan, na yeye akaja kuwa waziri.
Wale Janjaweed nao mnawahesabia kuwa ni ngozi nyeupe? Kama wale ni ngozi nyeupe basi wairaq wote peponiUnawajua ngozi nyeupe kwa ubaguzi hao watakaa Tanzania mpaka wataondoka wanarudi na bikra zao kwao.
Safiiii sanaSa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
View attachment 2665612
Huyu pia mchanganyiko.....sup matumbi pureSa huyu mrembo wa Kitanzania anatofauti gani na hao Wasudani yaani bongo vitu vya kipuuzi ndo vinazungumzwa.
View attachment 2665612
😂😂😂Mimi kama mpenzi wangu anaandika ushubwada huo nampiga chini siwezi kuwa na ukaribu na mwehu.
Daah hizo Nchi za ukanda huo mpaka Eritrea pana mabinti wazuri sana nilipokua naenda Addis Ababa nilikua naenda nje ya mji nikitaka pisi naikuta pisi ya kijijini harafu nzuri balaa ukiiona laaini kama vile ukiiminya unaweza kuitoboa kosa kubwa pale usiwape mimba unaenda Jela na wao wanataka mimba zetu ilikua mtihani ukitaka kutumia Kinga harafu wanafurahi kuja kulala mjini balaa ukiwa unasafiri mara kwa mara nunua zawadi za kariakoo umpe au kama upo Transit wasiliana nae muachie mfanyakazi wa Airport hapo siku ukibahatika kuingia watakuja ndugu wengi harafu wengine pisi za ukweli na wanataka kuja Dalsm kama Wanyarwanda tuu...Bro mm nilijua watakua weusii kama wale kaka zao waliocheza na Yanga asee kumbe daaa hatari