Tuna miaka miwili na Mwanaume wangu ila hana anachonipa

Mi sina demu sababu sina hela ila mwamba kwa mujibu wako ni kama kazidi hv anyway muite na yeye ajielezee ili tubalace mzani
 
Tafuta mwanaume mwenye pesa. Sasa hapo akikupa Mimba atakukimbia utahaha na mtoto. Huyo bado anajitafuta hakuna mapenzi bila pesa
 
Ndio umekuja huku kunisimanga sio
 
Ungeanza kwa kutuambia kile unachompa ili tujadili vizuri.
 
Miaka miwili una-tiwa tu bure.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Your so sweet,unaonekana unataka care tu hata ya mambo madogo madogo lakini hupati.Hali hiyo inanikuta na mimi,kuna ka demu nakapenda kweli,ila hakana time na mm kabisa.Ukikacall ulajulie hali kenyewe kako bize tu muda wote.Unaweza ukakapelekea kiepe,au juice kazini.Kapo kapo tu macho makavu hata hakatambui kwamba nakaonyesha CLASSICAL LOVE.
Kama wewe unapemda hivyo na mm huwa napenda kufanya hivyo,hebu tujaribu kulink.
 
Huyu jamaa anaonekana ni mwanachama hai wa UWABATA, Na yale tunayoyazungumza kwenye vikao ameyaelewa na anayafanyia kazi inavyostahili,

Anyway pole dada angu hapo kimbia mbio, Huyo jamaa anaonekana sio kwamba anaroho mbaya ila anaonekana yuko makini sana na hela yake, lakini pia bado hajakuamini kama kwako yuko peke yake anaogopa ku risk kuanza kukuhudumia sahv unaweza ukaja ukam'bwaga akala hasara
 
Just Drink a COLD WATER then Move On.....ME!!,Mamii,,kama hutojali lakini
 
𝑴𝒃𝒐𝒏𝒂 π’π’Šπ’Žπ’†π’π’π’‚ π’Žπ’–π’Žπ’Žπ’š 𝒏𝒂 π’…π’‚π’…π’…π’š 𝒂𝒖 π’Žπ’Šπ’Žπ’Š 𝒏𝒅𝒐 π’Žπ’”π’‰π’‚π’Žπ’ƒπ’‚
 
Si bora yeye anakudanganya yuko mbali na maduka je ungekutana na mimi ukiniomba hela najifanya network inakatakata sikusikii vizuri na ukituma meseji nazima simu masaa manne ungevumilia kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…