Tuna Tatizo la Uwezo wa Uendeshaji Uchumi Wetu?. TAZARA Asante Mchina, Vipi Mingine? Hatutafika Mahali Tukahitaji Kusaidiwa Hadi Ikulu Yetu?.

Yuval Noah Harari, 21 Lessons for the 21st Century
 
Mtu anaanza na basi moja, miaka kumi ana basi kumi na kampuni imekua, DART wanaanza na basi mia moja, miaka mitatu zimebaki 10 Ambazo ziko barabarani nazo sio nzima, tisini zilishakufa unategemea nini hapo
 
Haya maandiko mjomba mayala kwenye ule utawala wa kambale sikuwah yaona naona utawala huu umeyarudi kuyaaandika. Haya sie tupo ila nyie wadingi ndo mnasababisha hili taifa lisisonge kwa kutowaambia ukweli watawala kwa hofu ya kukosa fungu na unadiriki kusema eti china inatoa msada kwa masharti yasiyo magumu pesa za westerners chungu kwa sababu lazima wazifuatilie huwez omba pesa za kuanza program za wamama kupunguzq vifo vya watt kipindi wanajifungua ukanunue V8 westerners wako serious na hayo mambo hamtaki ila mchina yeye hajali hata mkitiana shaba ilimradi yake yanaenda its f*****in wanking kwa kweli ....uwe na weekend njema.
 
Gharama za kupeleka zile convoy china, wangecheza kibati wakawa wanapeana pesa wao kwa wao wangetoboa, wamepeleka china pesa kubwa sana sana Kwa ahadi ya USD 50b
 
Tatizo ni aina ya Viongozi tunaowachagua na Check and balance, wakivurunda wanajua watahamishwa au kupewa promotion kabisa. Hao hao uwapeleka Rwanda au Singapore wangeweza kuwa viongozi wazuri tu, sababu hawapewi nafasi kufanya ujinga na wakifanya ujinga adhabu ni kali na hazikwepeki.

Tatizo ni viongozi hapa Tanzania hauko serious na mali za umma.
 
Bado namkumbuka professor Lumumba wa Kenya "we elect fools to the office ". Huenda meneja wa hilo shirika aliingia kiundugu au kwa rushwa.
 
Asante kwa mchango wako mzuri mimi naandika kitabu cha ujasiriamali ambacho ni fikirishi ni mjasiriamali pia, darasani tulijifunza kwamba asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanategemea mjasiriamali na asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzunguka, hii asilimia 20 kwa wakati ule, 1986, ilihusika na liseni za biashara, mabango, ushuru wa mazao kama vile ngozi za wanyama tunao wafuga, nitaje kwa ufupi, mwaka 1986-1990, nchi nyingi Afrika zilikuwa zinakusanya mapato toka kwenye biashara kupitia wafanyakazi kwa mfumo unaoitwa pay as you earn kwasasa wafanya biashara wanalipa kodi inayotokana na mauzo ya jumla kwa mfumo wa kodi wa mamlaka husika inayo kusanya kodi.

Baadae nimekuwa nikifuatilia kwa ujumla kwanini biashara zinachangamka na kuto changamka na kwanini zinakufa kumbe kwenye hii asilimia 20 kuna, (factors), kuna vijambo vilivyo jificha, (major environmental factors), ambazo mfanyabiashara ama mtu mmoja mmoja hana mamlaka navyo 1. Maamuzi ya kisiasa political decisions, maamuzi haya huwa na matokeo chanya na hasi kulingana na biashara husika
2. Serikali iliyoko madarakani jinsi ilivyo jipange kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja, ( national economy and social development strategies of an existing government)
3.Aina ya watu, elimu yao na shughuli zao katika jamii, wanao izinguka biashara husika, (social democratic variables)
4. Teknolojia, maandalizi ya kuwezesha kuipokea teknolojia kuna wengine hadi sasa hawezi kufanya muamala kwenye simu, (adaptbility skills and technology changes)

Chanzo kikuu kinasababishwa na jamii zetu kuto kuhoji, kwasababu tumeandaliwa kuto kuhoji, na tatizo la kuhoji linaanza kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukivihoji utaambiwa kama umekua uondoke matokeo ya zuio la kuhoji kwenye ngazi mbalimbali za maisha kumejenga tabia ya kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani, yaani kuahirisha kufikiri kizalendo
Hitimisho jamii iwe huru kuhoji, kuhoji kunachagiza jamii kuweza kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto zilizopo na zitakazo kuja ama kutumia mbinu ambazo tayari zina matokeo chanya

Angalizo changamoto husababishwa na majanga, (natural disasters) lakini chanzo kikuu cha changamoto nyingi kwenye jamii zetu ni binadamu, anaweza kujisababishia changamoto kwa uzembe uvivu ujinga na ushamba ama kuwasababishia wengi kwa kutokujua ama kwa makusudi, inamaana endapo jamii itakaa kimya kuto kubuni mbinu za kukabiliana na changamoto anazo sabisha binadamu basi hii asilimia 20 itaendelea kuwa na nguvu hata ya kuziua biashara
 
 
Issue sio CCM issue ni watu walio na Maamunzi ndani ya CCM na nchi kwa ujumla.CCM kama CCM Wala Haina shida.Jiulize kati ya Watu wa CCM na CCM kipi kinaunda nyenzie!?.
Hivyo socially mtu wa pwani swala la kujituma kuvuja Jasho kwaajili ya maendeleo hata yake Binafsi ni Dogo.


Usitegemee Mtu wa pwani au Zanzibar akose usingizii ATI kisa Barabara za Kateshi,Mlowo zimekosa pesa za kujengwa Lami never.
Issue siyo kanda issue ni CCM ni ya hovyo sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…